Taarifa ya CCM kunyakua majimbo 176 kati ya majimbo 264 na mengineyo soma hapa
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya CCM, January Makamba.
CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wanachama, wapenzi na washabiki wake na kwa umma Watanzania.
Tathmini ya Upigaji Kura
Kama tulivyoeleza jana, tumeridhishwa na amani na utulivu uliotawala katika sehemu kubwa ya nchi yetu wakati wa zoezi la upigaji kura. Licha ya changamoto zilizojitokeza, ambazo baadhi zimeshughulikiwa, kwa jinsi zoezi la kupiga na kuhesabu kura lilivyoendeshwa kwa uwazi, matokeo ya uchaguzi huu yatakuwa ni...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania27 Oct
CCM: Tumeshinda majimbo 176
VERONICA ROMWALD NA ASIFIWE GEORGE, DAR ES SALAAM
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimejitangazia ushindi wa majimbo 176 kati ya 264 nchini ambayo yamejumlishwa katika matokeo yaliyobandikwa katika vituo mbalimbali.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa na Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya CCM Januari Makamba, alisema chama hicho kimefanikiwa kukomboa majimbo 12 yaliyokuwa yakishikiliwa na vyama vya upinzani.
“Kwa kuwa matokeo yamebandikwa...
9 years ago
Habarileo29 Oct
CCM yashinda majimbo 159, Chadema majimbo 35
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeongoza kwa kunyakua majimbo ya uchaguzi 159, ambayo hadi jana yamethibitishwa na wasimamizi waliopewa mamlaka ya kutangaza matokeo hayo na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), huku Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikifuatia kwa kupata majimbo 35.
9 years ago
Habarileo20 Aug
Waliopitishwa kuwania udiwani CCM majimbo ya Dar hawa hapa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam kimetoa majina ya wagombea udiwani katika kata zote za majimbo 10 ya uchaguzi.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F1x18cQ3VVw/VjEbdOA5FBI/AAAAAAAIDSA/Tskcoaa6-OU/s72-c/g4.jpg)
CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wana-CCM na kwa umma: MALALAMIKO YA CCM KUHUSU MATOKEO KWENYE BAADHI YA MAJIMBO
![](http://2.bp.blogspot.com/-F1x18cQ3VVw/VjEbdOA5FBI/AAAAAAAIDSA/Tskcoaa6-OU/s640/g4.jpg)
Wasimamizi wa uchaguzi katika majimbo haya wamevuruga uchaguzi. Kutokana na utata uliokuwa umejitokeza wakati wa zoezi la kujumlisha kura, CCM iliomba kura zihesabiwe upya...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-nIDD_-suk_I/VQywBNMlaII/AAAAAAAASAY/aHsFBoGhe7M/s72-c/8-chadema.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UKAWA KUGAWANA MAJIMBO
![](http://3.bp.blogspot.com/-nIDD_-suk_I/VQywBNMlaII/AAAAAAAASAY/aHsFBoGhe7M/s1600/8-chadema.jpg)
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO
(CHADEMA)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UKAWA KUGAWANA MAJIMBO
Tangu jana kumekuwa na taarifa kupitia njia mbalimbali za upashanaji habari kuhusu msimamo wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kusimamisha mgombea mmoja katika nafasi ya ubunge kwenye majimbo ya uchaguzi nchini.
Habari hizo ambazo zingine zimeripotiwa kwenye vyombo vya habari hususan magazeti ya jana (Alhamis) na leo (Ijumaa), zimesema kuwa UKAWA ‘wameshagawana’ majimbo kadha wa kadha na kwamba bado...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-lJXKjg8aa3g/VdQ3G3RF4uI/AAAAAAABUF0/3jUypnbwiP4/s72-c/CHADEMA-LOGO.png)
TAZAMA HAPA MAJINA YA WAGOMBEA WA CHADEMA PAMOJA NA MAJIMBO WATAKAYOGOMBEA UBUNGE KUPITIA UKAWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-lJXKjg8aa3g/VdQ3G3RF4uI/AAAAAAABUF0/3jUypnbwiP4/s640/CHADEMA-LOGO.png)
Rorya - STEVEN J OWAWA
Tarime Mjini - ESTHER N MATIKO
Tarime Vijijini - JOHN HECHE
Musoma Vijijini - ZAKARIA MBULA CHIRAGWILE
Butiama - YUSUPH R KAZI
Bunda Mjini - ESTHER BULAYA
Mwibara - HARUN D CHIRIKO
Musoma Mjini - VINCENT J NYERERE
Bunda Vijijini - SULEIMAN DAUDI
SIMIYU
Bariadi - GODWIN SIMBA
Maswa Magharibi - ABDALA PATEL
Maswa Mashariki - SYLVESTER KASULUMBAYI
Kisesa - MASANJA MANANI
Meatu - MESHACK OPULUKWA
Itilima - MARTINE MAGILE
SHINYANGA
Msalala - PAULO MALAIKA
Kahama Mjini - JAMES...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-BIYYbwD8fT8/VhiUV65ruVI/AAAAAAAApvA/0FnoBGrSqrQ/s72-c/1.jpg)
9 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-m20M6DdFqRM/Vep1qRKJLdI/AAAAAAAAyjo/tyx7TGraZeE/s640/3.jpg)
HAPA KAZI TU YA MAMA SAMIA YATIKISA MAJIMBO YA UBUNGO, KINONDONI NA KAWE JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-dvJ6PFhEXBc/VaPlFJN4PZI/AAAAAAADxx4/g0hi1THALTk/s72-c/Majimbo%2B26%2BMapya%2B13%2BJULAI%2B2015.png)