Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliopitishwa kuwania udiwani CCM majimbo ya Dar hawa hapa

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam kimetoa majina ya wagombea udiwani katika kata zote za majimbo 10 ya uchaguzi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KATIKA MAJIMBO 28 HAWA NDIO WALIOPITISHWA KUGOMBEA UBUNGE KUPITIA CCM


KURA ZA MAONI CCM
1. Mwigulu - Iramba2. Nape - Mtama3. Mwakasaka - Tabora Mjini4. Mama Sitta - Urambo5. Kadutu - Ulyankulu6. Bashe - Nzega7. Ngeleja - Sengerema8. Seif - Igunga ktk jimbo jipya.9. Masaburi - Ubungo10. Patel - Ukonga11. Prof Kamala - Nkenge, Misenyi12. Kagasheki - 13. Lukuvi - Isimani14. January - Bumbuli
15. Muhongo - Musoma vijijini16. Ndugai - Kongwa17. Chumi - Mafinga18. Kigola - Mufindi kusini19. Mgimwa - Mufindi kaskazini20. Filikunjombe - Ludewa21. Mgimwa - Kalenga...22....

 

9 years ago

Dewji Blog

Taarifa ya CCM kunyakua majimbo 176 kati ya majimbo 264 na mengineyo soma hapa

123

Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya CCM, January Makamba.

CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wanachama, wapenzi na washabiki wake na kwa umma Watanzania.

Tathmini ya Upigaji Kura

Kama tulivyoeleza jana, tumeridhishwa na amani na utulivu uliotawala katika sehemu kubwa ya nchi yetu wakati wa zoezi la upigaji kura. Licha ya changamoto zilizojitokeza, ambazo baadhi zimeshughulikiwa, kwa jinsi zoezi la kupiga na kuhesabu kura lilivyoendeshwa kwa uwazi, matokeo ya uchaguzi huu yatakuwa ni...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waliokatwa kuwania ubunge, udiwani CCM Singida wakimbilia Chadema

DSC00994

Katibu wa CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo kwenye picha) juu ya chama hicho kuhamwa na Mwenyekiti wake wa mkoa, Mgana Izumbe Msindai aliyehamia CHADEMA.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

KURA  za maoni nafasi ya udiwani,ubunge wa viti maalum na ule  wa majimbo CCM  mkoani Singida, zimeacha malalamiko na maumivu mengi,ambayo ni pamoja na kuhamwa na wananchama wake wengi akiwemo Mwenyekiti wake wa mkoa, Mgana Izumbe Msindai na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kijana UVCCM atangaza nia ya kuwania Udiwani kata ya Ilunda, lengo ni kurejesha kata CCM, inayongozwa na Chadema

EMBELE

Kijana Mohamed Embele (38) ambaye ametangaza nia ya kurejesha Kata ya Ilunda (CCM), hivi sasa Kata hiyo inaongozwa na Diwani wa CHADEMA Long’ida Ole Looda.

Na Hillary Shoo, Mkalama

KAMANDA  wa UVCCM wa Kata ya Ilunda Tarafa ya Nduguti Wilayani Mkalama Mkoani Singida, Mohamed Embele (38) ametangaza rasmi nia yake ya kutaka kugombea nafasi ya Udiwani kwenye Kata hiyo katika uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2015.

Akizungumza katika mahojiano maalumu wakati wa kufunga kambi ya vijana wa Wilaya ya...

 

9 years ago

Vijimambo

KINANA MWANZA,MAGUFULI MOSHI NA HAI..HUKO BUMBULI NA MLALO WALIKUWA VIJANA WA KAZI WA CCM HAWA HAPA

Mzee yupo tayari kwa kupiga kura kumchagua Rais,Mbunge na Diwani wa Chama cha Mapinduzi.January Makamba akizungumza na Wananchi wake wa kata ya Mamba,Kubwa ametekeleza Upatikanaji wa Umeme,Usambazi wa maji na uanzishwaji wa kituo cha Afya.January Makamba chaguo la Wanabumbuli.Watoto nao ni Chipukizi wa Chama cha Mapinduzi kwa uongozi Ujao."Mabadiliko ya kweli yapo CCM"January Makamba akinadi sera zake na kuzungumzia Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi kwa jimbo la Bumbuli kata ya...

 

9 years ago

GPL

HAPA KAZI TU YA MAMA SAMIA YATIKISA MAJIMBO YA UBUNGO, KINONDONI NA KAWE JIJINI DAR ES SALAAM

 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wake wa kampeni aliofanya jana katika eneo la Msasani jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam.  Wananchi wakimshangilia mgombea ,wenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, alipohutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam, jana.… ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mgombea udiwani kata ya Mbagala Kuu (CCM) Yusuf Manji azindua kampeni zake Dar

 Kiongozi wa Kamati ya Ushindi kwa CCM kutoka Kigoma, Nicholaus Zacharia (kulia), akimtambulisha Yusuf Manji katika uzinduzi huo.  Mgombea nafasi ya udiwani Kata ya Mbagala Kuu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuf Manji (kushoto), akihutubia wananchi na makada wa chama hicho katika uzinduzi wa kampeni uliofanyika eneo la Kichemuchemu Kaskazini Dar es Salaam jana jioni.   Kiongozi wa Kamati ya Ushindi kwa CCM kutoka Kigoma, Nicholaus Zacharia, akihutubia katika uzinduzi huo.

 

9 years ago

Habarileo

CCM yashinda majimbo 159, Chadema majimbo 35

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeongoza kwa kunyakua majimbo ya uchaguzi 159, ambayo hadi jana yamethibitishwa na wasimamizi waliopewa mamlaka ya kutangaza matokeo hayo na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), huku Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikifuatia kwa kupata majimbo 35.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani