Waliopitishwa kuwania udiwani CCM majimbo ya Dar hawa hapa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam kimetoa majina ya wagombea udiwani katika kata zote za majimbo 10 ya uchaguzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sAPfCOA-sSQ/Vb3akCLf6rI/AAAAAAABTBc/E7E1-WwC2Ks/s72-c/Chama%2BCha%2BMapinduzi%2528CCM%2529.jpg)
KATIKA MAJIMBO 28 HAWA NDIO WALIOPITISHWA KUGOMBEA UBUNGE KUPITIA CCM
![](http://4.bp.blogspot.com/-sAPfCOA-sSQ/Vb3akCLf6rI/AAAAAAABTBc/E7E1-WwC2Ks/s640/Chama%2BCha%2BMapinduzi%2528CCM%2529.jpg)
KURA ZA MAONI CCM
1. Mwigulu - Iramba2. Nape - Mtama3. Mwakasaka - Tabora Mjini4. Mama Sitta - Urambo5. Kadutu - Ulyankulu6. Bashe - Nzega7. Ngeleja - Sengerema8. Seif - Igunga ktk jimbo jipya.9. Masaburi - Ubungo10. Patel - Ukonga11. Prof Kamala - Nkenge, Misenyi12. Kagasheki - 13. Lukuvi - Isimani14. January - Bumbuli
15. Muhongo - Musoma vijijini16. Ndugai - Kongwa17. Chumi - Mafinga18. Kigola - Mufindi kusini19. Mgimwa - Mufindi kaskazini20. Filikunjombe - Ludewa21. Mgimwa - Kalenga...22....
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
Taarifa ya CCM kunyakua majimbo 176 kati ya majimbo 264 na mengineyo soma hapa
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya CCM, January Makamba.
CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wanachama, wapenzi na washabiki wake na kwa umma Watanzania.
Tathmini ya Upigaji Kura
Kama tulivyoeleza jana, tumeridhishwa na amani na utulivu uliotawala katika sehemu kubwa ya nchi yetu wakati wa zoezi la upigaji kura. Licha ya changamoto zilizojitokeza, ambazo baadhi zimeshughulikiwa, kwa jinsi zoezi la kupiga na kuhesabu kura lilivyoendeshwa kwa uwazi, matokeo ya uchaguzi huu yatakuwa ni...
10 years ago
Dewji Blog04 Aug
Waliokatwa kuwania ubunge, udiwani CCM Singida wakimbilia Chadema
Katibu wa CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo kwenye picha) juu ya chama hicho kuhamwa na Mwenyekiti wake wa mkoa, Mgana Izumbe Msindai aliyehamia CHADEMA.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
KURA za maoni nafasi ya udiwani,ubunge wa viti maalum na ule wa majimbo CCM mkoani Singida, zimeacha malalamiko na maumivu mengi,ambayo ni pamoja na kuhamwa na wananchama wake wengi akiwemo Mwenyekiti wake wa mkoa, Mgana Izumbe Msindai na...
10 years ago
Dewji Blog22 Sep
Kijana UVCCM atangaza nia ya kuwania Udiwani kata ya Ilunda, lengo ni kurejesha kata CCM, inayongozwa na Chadema
Kijana Mohamed Embele (38) ambaye ametangaza nia ya kurejesha Kata ya Ilunda (CCM), hivi sasa Kata hiyo inaongozwa na Diwani wa CHADEMA Long’ida Ole Looda.
Na Hillary Shoo, Mkalama
KAMANDA wa UVCCM wa Kata ya Ilunda Tarafa ya Nduguti Wilayani Mkalama Mkoani Singida, Mohamed Embele (38) ametangaza rasmi nia yake ya kutaka kugombea nafasi ya Udiwani kwenye Kata hiyo katika uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2015.
Akizungumza katika mahojiano maalumu wakati wa kufunga kambi ya vijana wa Wilaya ya...
9 years ago
Vijimambo07 Oct
KINANA MWANZA,MAGUFULI MOSHI NA HAI..HUKO BUMBULI NA MLALO WALIKUWA VIJANA WA KAZI WA CCM HAWA HAPA
![](https://scontent.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/12122734_892457587474733_2065806451605691311_n.jpg?oh=adabd08eb6e219533c9c229479027ea5&oe=56CE690E)
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xtp1/v/t1.0-9/12072657_892457434141415_4494095298932909078_n.jpg?oh=77f239da425c26afa445fd53ff3ba838&oe=56CDC34C&__gda__=1453083770_ff9856b113c686243895464557e6ada8)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpl1/v/t1.0-9/12047204_892457504141408_3936958525474907489_n.jpg?oh=1d8c5fc2e039de1548891a165ec1c32a&oe=5689B63F&__gda__=1456530611_cf75eca14a1b50fc7c791996aecce56d)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xta1/v/t1.0-9/12106841_892457397474752_648320035596397278_n.jpg?oh=7d20664cc0bbfe003c37343db39a1748&oe=569D5B2F&__gda__=1456544273_0e42114cb70847641616e09c2488df11)
![](https://scontent.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/12122634_892457224141436_4493967299617476321_n.jpg?oh=4972f54c1c50bf7807f6e2f6a4fc39d2&oe=568AD985)
![](https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/12122730_892457144141444_4491240267275868209_n.jpg?oh=25549622173599480244819bd06e6f91&oe=56938281&__gda__=1453271609_1101b4a688e109e1e1079bed247f0a4a)
9 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-m20M6DdFqRM/Vep1qRKJLdI/AAAAAAAAyjo/tyx7TGraZeE/s640/3.jpg)
HAPA KAZI TU YA MAMA SAMIA YATIKISA MAJIMBO YA UBUNGO, KINONDONI NA KAWE JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-CHWTazc92yM/VW7PmNCElwI/AAAAAAAHbkA/Vs14UYrUwyI/s72-c/unnamed.jpg)
9 years ago
Dewji Blog20 Sep
Mgombea udiwani kata ya Mbagala Kuu (CCM) Yusuf Manji azindua kampeni zake Dar
9 years ago
Habarileo29 Oct
CCM yashinda majimbo 159, Chadema majimbo 35
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeongoza kwa kunyakua majimbo ya uchaguzi 159, ambayo hadi jana yamethibitishwa na wasimamizi waliopewa mamlaka ya kutangaza matokeo hayo na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), huku Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikifuatia kwa kupata majimbo 35.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10