Waliokatwa kuwania ubunge, udiwani CCM Singida wakimbilia Chadema
Katibu wa CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo kwenye picha) juu ya chama hicho kuhamwa na Mwenyekiti wake wa mkoa, Mgana Izumbe Msindai aliyehamia CHADEMA.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
KURA za maoni nafasi ya udiwani,ubunge wa viti maalum na ule wa majimbo CCM mkoani Singida, zimeacha malalamiko na maumivu mengi,ambayo ni pamoja na kuhamwa na wananchama wake wengi akiwemo Mwenyekiti wake wa mkoa, Mgana Izumbe Msindai na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog27 Jun
Chadema Moshi vijijini warudisha fomu za kuwania ubunge na udiwani
![](http://2.bp.blogspot.com/-AhQuRbaoNVE/VYzn-DRUxJI/AAAAAAAARh8/aMnjeGCniHM/s640/E86A1751%2B%25281280x853%2529%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ba96gVyVeG8/VYzn-J9THPI/AAAAAAAARiA/X-8rEW21U78/s640/E86A1752%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UHeqXKF6ccw/VYzn-BcesXI/AAAAAAAARiI/9c10FZz56k0/s640/E86A1759%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-A8MHAlii93g/VYzoEA5ol9I/AAAAAAAARiU/4hUp1zoHy94/s640/E86A1762%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NzOqFtXfabw/VYzoFJCKcPI/AAAAAAAARig/Lc_XjsyzIIg/s640/E86A1764%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Kada CCM ajing’oa, kuwania ubunge kupitia Chadema
Mapokezi ya Fransico Kimasa Shejamabu (mwenye gwanda) akielekea katika viwanja vya shule ya msingi Pambalu wilayani Sengerema kuhutubia wananchi. (picha zote na Daniel Makaka wa MOblog, Sengerema).
Na Daniel Makaka, Sengerema.
Aliyekuwa kada wa wa Chama cha Mapinduzi CCM wilaya Sengerema mkoani Mwanza Bw. Fransico Kimasa Shejamabu ametangaza nia ya kuwania ubunge wa jimbo hilo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)ambacho amejiunga nacho.
Kauli hiyo ameitoa mjini hapa...
10 years ago
Dewji Blog22 Sep
Kijana UVCCM atangaza nia ya kuwania Udiwani kata ya Ilunda, lengo ni kurejesha kata CCM, inayongozwa na Chadema
Kijana Mohamed Embele (38) ambaye ametangaza nia ya kurejesha Kata ya Ilunda (CCM), hivi sasa Kata hiyo inaongozwa na Diwani wa CHADEMA Long’ida Ole Looda.
Na Hillary Shoo, Mkalama
KAMANDA wa UVCCM wa Kata ya Ilunda Tarafa ya Nduguti Wilayani Mkalama Mkoani Singida, Mohamed Embele (38) ametangaza rasmi nia yake ya kutaka kugombea nafasi ya Udiwani kwenye Kata hiyo katika uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2015.
Akizungumza katika mahojiano maalumu wakati wa kufunga kambi ya vijana wa Wilaya ya...
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA CUF MAALIM SEIF AWAPA SOMO WALIOONYESHA NIA YA KUWANIA UBUNGE, UWAKILISHI NA UDIWANI UNGUJA
Na: Hassan Hamad, OMKR
Katibu Mkuu wa Chama Cha...
10 years ago
Habarileo17 Jul
Chadema yapangua ratiba fomu za ubunge, udiwani
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelazimika kupangua ratiba ya awali ya uchukuaji fomu za ubunge na udiwani kwa wanachama wake, baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutangaza majimbo mapya 26 ya uchaguzi hivi karibuni.
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Va7c12AViuY/VgXCzuT5IXI/AAAAAAAAEPI/TAUpiQ87PNA/s72-c/IMG_0361.jpg)
VIONGOZI WA CHADEMA GAIRO, MIKUMI WAKIMBILIA CCM, BI. SULUHU AWAPOKEA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Va7c12AViuY/VgXCzuT5IXI/AAAAAAAAEPI/TAUpiQ87PNA/s640/IMG_0361.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KCb70hSa1vQ/VgVh6wRxS7I/AAAAAAAAEJ8/O6uK2ZZWtZo/s640/IMG_0372.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oRD8B2EZWPw/VgVh7r3IhZI/AAAAAAAAEKA/eaEvLdFhJ6Q/s640/IMG_0366.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-E3Ed8dB7P-E/VYE6uVvxFGI/AAAAAAABQTo/7NM0Qo3i_58/s72-c/Wema-Sepetu-akina-na-mama-yake.jpg)
WEMA SEPETU KUWANIA UBUNGE WA VITI MAALUM SINGIDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-E3Ed8dB7P-E/VYE6uVvxFGI/AAAAAAABQTo/7NM0Qo3i_58/s640/Wema-Sepetu-akina-na-mama-yake.jpg)
Wema Sepetu akiwa na mama yake
Mashabiki wake aka Team Wema wameandika ujumbe: Nina wazo kwenu nyote. Kwa upendo tuliekuwa nao kwa madame. Naomba tumsuport kwa hali na mali. Kila anae jua anampenda Wema tumchangie ili kampeni yake iende vizuri. Anategemea kuchukua form ya kugombea ubunge viti maalum mkoani Singida tarehe 15/7/2015. Mko tayari tumsuport madame wetu? Naomba mnipe jibu. wazo...
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Felix Mabula akataliwa na wagombea Ubunge na Udiwani wa Chadema jimbo la Hanan’g
Mgombea Ubunge Jimbo la Hanang Derick Magoma akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) juu ya kutokua na imani na Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo hilo ambaye ni Mkurugenzi wa Wilaya ya Hanang Felix Mabula madai ambayo wamewasilisha kwa tume ya uchaguzi iteue Msimamizi ili kufanikisha uchaguzi huru na wa haki.Kushoto ni Mwenyekiti wa Chadema Hanan`g Isack Joseph na kulia ni Mgombea udiwani kata ya Endasiwold John Farayo. (Habari picha na Woinde Shizza).
Wagombea wa Nafasi za...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10