Felix Mabula akataliwa na wagombea Ubunge na Udiwani wa Chadema jimbo la Hanan’g
Mgombea Ubunge Jimbo la Hanang Derick Magoma akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) juu ya kutokua na imani na Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo hilo ambaye ni Mkurugenzi wa Wilaya ya Hanang Felix Mabula madai ambayo wamewasilisha kwa tume ya uchaguzi iteue Msimamizi ili kufanikisha uchaguzi huru na wa haki.Kushoto ni Mwenyekiti wa Chadema Hanan`g Isack Joseph na kulia ni Mgombea udiwani kata ya Endasiwold John Farayo. (Habari picha na Woinde Shizza).
Wagombea wa Nafasi za...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Mabula ashinda ubunge jimbo la Nyamagana
Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stanslaus Mabula ametangazwa mshindi wa mbio za ubunge katika jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza kwa kupata kura 81, 170 dhidi ya mbunge anayemaliza muda wake, Ezekiel Wenje (Chadema) aliyepata kura 79, 280.
9 years ago
Mwananchi17 Aug
CCM yatambulisha wagombea udiwani, ubunge
Chama cha Mapinduzi (CCM), kimewatambulisha wagombea udiwani na ubunge katika Manispaa ya Bukoba, huku aliyekuwa meya wa manispaa hiyo, Dk Anatory Amani akiachwa.
10 years ago
VijimamboFOMU ZA WAGOMBEA URAIS ,UBUNGE PAMOJA NA UDIWANI KESHO
10 years ago
MichuziFOMU ZA WAGOMBEA URAIS ,UBUNGE PAMOJA NA UDIWANI KESHO-LUBUVA
10 years ago
VijimamboWANAWAKE WAGOMBEA WAWEKA MIKAKATI YA KUSHINDA UDIWANI NA UBUNGE 2015
Kwa Mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, Idadi ya Watanzania sasa imefikia milioni 44.9 huku wanawake wakiwa ni asilimia 51.3 ilihali wanaume ni asilimia 48.7. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 inabainisha kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni ya kidemokrasia, ya kidunia ambayo...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oSAdf26Jffc/VdOojNhn9VI/AAAAAAAHyEY/OrRoJorUd3c/s72-c/blogger-image--1067664046.jpg)
MWAMOTO awaomba waliokuwa wagombea ubunge na udiwani Kilolo kuvunja makundi
![](http://1.bp.blogspot.com/-oSAdf26Jffc/VdOojNhn9VI/AAAAAAAHyEY/OrRoJorUd3c/s640/blogger-image--1067664046.jpg)
Na MatukiodaimaBlog, Kilolo
Mgombea mteule ubunge ccm jimbo la Kilolo Venance Mwamoto ametangaza msahama kwa wajumbe wa kamati ya siasa na wagombea udiwani ambao walikuwa upande wa mbunge wa zamani Prof Peter Msolla huku akiwataka kupenda ili kuwezesha jimbo hilo kupiga hatua ya kimaendeleo Mwamoto alisema kuwa hana kinyongo na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9pVNH1qXqqxQSKXKvxSGUFMFz9TtxF3Bs*OBQXiDz1wB4BtRN-5TARspxoKApgqvscQTWUMrnSOvL9*XVF-pyW7xqpuA2LO1/Chadema_logo.jpg)
CHADEMA YATANGAZA WAGOMBEA WA UDIWANI KANDA YA KASKAZINI
TAARIFA KWA UMMA WAGOMBEA WA UDIWANI – KANDA YA KASKAZINI Tarehe 15 Januari 2014, wagombea wafuatao wa CHADEMA walipitishwa na TUME YA UCHAGUZI kuwania nafasi za uwakilishi (UDIWANI) katika maeneo ya kata mbalimbali za kanda ya Kaskazini. Wagombea hawa walipita katika mchujo wa uteuzi wa chama. Chama kina matarajio makubwa sana kuwa wananchi wa maeneo haya ya kata hizi watapata fursa nzuri ya kuwachagua wagombea wa CHADEMA...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hmmbwP_UTfs/VcgrWt3BtZI/AAAAAAAATBo/KLSncNB5xrU/s72-c/DSCF6166%2B%25281280x960%2529.jpg)
NCCR-MAGEUZI WAANZA KUSHAMBULIA JIMBO LA VUNJO,WAWATAMBULISHA WAGOMBEA WA NAFASI YA UDIWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-hmmbwP_UTfs/VcgrWt3BtZI/AAAAAAAATBo/KLSncNB5xrU/s640/DSCF6166%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pmtEFHtX4J4/Vcgq492RsCI/AAAAAAAATAQ/FA9cW-hLGSQ/s640/DSCF6138%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KhscmY-WZ_8/Vcgq6OvrQQI/AAAAAAAATAY/3P0uUHDbb5U/s640/DSCF6141%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6khWhQPBuos/Vcgq12mwuyI/AAAAAAAATAI/VuqLNv1G17Q/s640/DSCF6140%2B%25281280x960%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-m3REVwRCIPA/XujWHTAYhEI/AAAAAAALuEo/EaN9bfVK-AowyddKposPBhOvI2QlN7_1QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-16%2Bat%2B4.46.16%2BPM.jpeg)
HATUTAKI KUTUMIA NGUVU NYINGI KUWANADI WAGOMBEA NAFASI YA UBUNGE NA UDIWANI-CCM LUDEWA
Chama cha mapinduzi wilayani Ludewa Mkoani Njombe kimesema hakitaki kutumia nguvu nyingi kuwanadi wagombea wa nafasi ya Ubunge na udiwani, hivyo wagombea hao wanapaswa kuhakikisha wanakubalika katika jamii.
Hayo aliyasema katibu wa chama hicho wilaya Bakari Mfaume katika mkutano wa kamati kuu ya chama hicho uliolenga kujadili utaratibu na mchakato mzima wa uchukuaji fomu za kugombea nafasi hizo.
Alisema kuwa kwa sasa hawataki kukata viuno majukwaani na kuongea sana ili kumfanya akubalike...
Hayo aliyasema katibu wa chama hicho wilaya Bakari Mfaume katika mkutano wa kamati kuu ya chama hicho uliolenga kujadili utaratibu na mchakato mzima wa uchukuaji fomu za kugombea nafasi hizo.
Alisema kuwa kwa sasa hawataki kukata viuno majukwaani na kuongea sana ili kumfanya akubalike...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania