WANAWAKE WAGOMBEA WAWEKA MIKAKATI YA KUSHINDA UDIWANI NA UBUNGE 2015
Mgeni rasmi wa katika Kongamano hilo Mhe. Getrude Mongella(kushoto) akiwa na baadhi ya wabunge wanawake wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania wakiimba nyimbo mbalimbali
Kwa Mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, Idadi ya Watanzania sasa imefikia milioni 44.9 huku wanawake wakiwa ni asilimia 51.3 ilihali wanaume ni asilimia 48.7. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 inabainisha kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni ya kidemokrasia, ya kidunia ambayo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi17 Aug
CCM yatambulisha wagombea udiwani, ubunge
10 years ago
VijimamboFOMU ZA WAGOMBEA URAIS ,UBUNGE PAMOJA NA UDIWANI KESHO
10 years ago
MichuziFOMU ZA WAGOMBEA URAIS ,UBUNGE PAMOJA NA UDIWANI KESHO-LUBUVA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oSAdf26Jffc/VdOojNhn9VI/AAAAAAAHyEY/OrRoJorUd3c/s72-c/blogger-image--1067664046.jpg)
MWAMOTO awaomba waliokuwa wagombea ubunge na udiwani Kilolo kuvunja makundi
![](http://1.bp.blogspot.com/-oSAdf26Jffc/VdOojNhn9VI/AAAAAAAHyEY/OrRoJorUd3c/s640/blogger-image--1067664046.jpg)
Na MatukiodaimaBlog, Kilolo
Mgombea mteule ubunge ccm jimbo la Kilolo Venance Mwamoto ametangaza msahama kwa wajumbe wa kamati ya siasa na wagombea udiwani ambao walikuwa upande wa mbunge wa zamani Prof Peter Msolla huku akiwataka kupenda ili kuwezesha jimbo hilo kupiga hatua ya kimaendeleo Mwamoto alisema kuwa hana kinyongo na...
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Felix Mabula akataliwa na wagombea Ubunge na Udiwani wa Chadema jimbo la Hanan’g
Mgombea Ubunge Jimbo la Hanang Derick Magoma akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) juu ya kutokua na imani na Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo hilo ambaye ni Mkurugenzi wa Wilaya ya Hanang Felix Mabula madai ambayo wamewasilisha kwa tume ya uchaguzi iteue Msimamizi ili kufanikisha uchaguzi huru na wa haki.Kushoto ni Mwenyekiti wa Chadema Hanan`g Isack Joseph na kulia ni Mgombea udiwani kata ya Endasiwold John Farayo. (Habari picha na Woinde Shizza).
Wagombea wa Nafasi za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-m3REVwRCIPA/XujWHTAYhEI/AAAAAAALuEo/EaN9bfVK-AowyddKposPBhOvI2QlN7_1QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-16%2Bat%2B4.46.16%2BPM.jpeg)
HATUTAKI KUTUMIA NGUVU NYINGI KUWANADI WAGOMBEA NAFASI YA UBUNGE NA UDIWANI-CCM LUDEWA
Hayo aliyasema katibu wa chama hicho wilaya Bakari Mfaume katika mkutano wa kamati kuu ya chama hicho uliolenga kujadili utaratibu na mchakato mzima wa uchukuaji fomu za kugombea nafasi hizo.
Alisema kuwa kwa sasa hawataki kukata viuno majukwaani na kuongea sana ili kumfanya akubalike...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Q-jRY3WuzOA/Vila5RsxWeI/AAAAAAAIByA/dGOy1jN7ghw/s72-c/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
mama salma kikwete anadi wagombea ubunge na udiwani kata ya ubungo jijini dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q-jRY3WuzOA/Vila5RsxWeI/AAAAAAAIByA/dGOy1jN7ghw/s640/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oVQ_xXIfSgE/Vila5YHXXII/AAAAAAAIByE/0otVefbVNYQ/s640/unnamed%2B%252839%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5P3glV8CNgs/XqFf-O7YprI/AAAAAAALn8s/rhM6Q8XG1ecXIMGdVEa2NRvafqcMrDwRwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200422-WA0010.jpg)
UWT BAGAMOYO YAWATAKA WANAWAKE KUTHUBUTU KUGOMBEA UDIWANI,UBUNGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-5P3glV8CNgs/XqFf-O7YprI/AAAAAAALn8s/rhM6Q8XG1ecXIMGdVEa2NRvafqcMrDwRwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200422-WA0010.jpg)
Katibu wa UWT Bagamoyo, Hanifa Checheta aliyasema hayo alipozungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM)wilayani hapo, ambapo alisema wakati mchakato wa uchaguzi ngazi za Udiwani, Ubunge ukiwadi ,wanawake wajitokeze kuwania...
10 years ago
Dewji Blog31 May
DC Mhita awahamasisha wanawake Mufindi kugombea nafasi za Udiwani, Ubunge na Uraisi
![](http://3.bp.blogspot.com/-IX900rs5XnY/VWnT1J_wx8I/AAAAAAAB9Y4/plxeS1RrqTc/s640/DSC_0263.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uANnM64RMMY/VWnSOHczWtI/AAAAAAAB9YI/KV9kPhAU4dc/s640/DSC_0242.jpg)