UWT BAGAMOYO YAWATAKA WANAWAKE KUTHUBUTU KUGOMBEA UDIWANI,UBUNGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-5P3glV8CNgs/XqFf-O7YprI/AAAAAAALn8s/rhM6Q8XG1ecXIMGdVEa2NRvafqcMrDwRwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200422-WA0010.jpg)
Mwamvua Mwinyi, BagamoyoJUMUIYA ya Wanawake Wilayani Bagamoyo ,mkoani Pwani, (UWT),imewataka wanachama wa Jumuiya hiyo kujiandaa kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi mkuu unaotarajia kuanza hivi karibuni ,pasipo kujiweka nyuma.
Katibu wa UWT Bagamoyo, Hanifa Checheta aliyasema hayo alipozungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM)wilayani hapo, ambapo alisema wakati mchakato wa uchaguzi ngazi za Udiwani, Ubunge ukiwadi ,wanawake wajitokeze kuwania...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog31 May
DC Mhita awahamasisha wanawake Mufindi kugombea nafasi za Udiwani, Ubunge na Uraisi
![](http://3.bp.blogspot.com/-IX900rs5XnY/VWnT1J_wx8I/AAAAAAAB9Y4/plxeS1RrqTc/s640/DSC_0263.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uANnM64RMMY/VWnSOHczWtI/AAAAAAAB9YI/KV9kPhAU4dc/s640/DSC_0242.jpg)
10 years ago
VijimamboWANAWAKE WAGOMBEA WAWEKA MIKAKATI YA KUSHINDA UDIWANI NA UBUNGE 2015
Kwa Mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, Idadi ya Watanzania sasa imefikia milioni 44.9 huku wanawake wakiwa ni asilimia 51.3 ilihali wanaume ni asilimia 48.7. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 inabainisha kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni ya kidemokrasia, ya kidunia ambayo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-u65NsD7QSYA/VWnTY5w_fEI/AAAAAAAB9Yw/gtg-Q74JniY/s72-c/DSC_0259.jpg)
WANAWAKE MUFINDI WAMWANGUKIA ,MWENYEKITI WA UWT MUFINDI MARCELINA MKINI UBUNGE JIMBO LA MUFINDI KUSINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-u65NsD7QSYA/VWnTY5w_fEI/AAAAAAAB9Yw/gtg-Q74JniY/s640/DSC_0259.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-g4xGryBONpI/VWnSVrzOw2I/AAAAAAAB9YQ/2P4jJNZnBx8/s640/DSC_0245.jpg)
WAKATI joto la uchaguzi mkuu likiendelea kushika kasi ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) kwa wanachama wake kujitokeza kutia nia ya kuwania urais...
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Wanawake Mufindi wamwangukia , Mwenyekiti wa UWT Mufindi Marcelina Mkini ubunge jimbo la Mufindi kusini
![](http://2.bp.blogspot.com/-u65NsD7QSYA/VWnTY5w_fEI/AAAAAAAB9Yw/gtg-Q74JniY/s640/DSC_0259.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-g4xGryBONpI/VWnSVrzOw2I/AAAAAAAB9YQ/2P4jJNZnBx8/s640/DSC_0245.jpg)
Na MatukiodaimaBLOG
WAKATI joto la uchaguzi mkuu likiendelea kushika kasi ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) kwa wanachama wake kujitokeza kutia...
10 years ago
Mwananchi03 Apr
UCHAMBUZI: Wanawake hawajahamasika kuthubutu kwenye nafasi za uongozi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6BGO8v24BGw/VaY03Q-uz2I/AAAAAAAAva4/-V-t7ZcmL-4/s72-c/1.jpg)
Saidi Fella Achukua Fomu ya kugombea Udiwani Kilungule.
![](http://4.bp.blogspot.com/-6BGO8v24BGw/VaY03Q-uz2I/AAAAAAAAva4/-V-t7ZcmL-4/s640/1.jpg)
Saidi Fella ameamua kuchukua fomu hiyo na kugomea nafasi hiyo ili aweze kutatua kero za wakazi wa kata ya Kilungule na kuleta maendeleo katika Kata hiyo.
"Nimeamua kuchukua nafasi hii ili kutatua kero...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-4Y7bq7ZXLy4/VaqfVVyJpqI/AAAAAAAAWfI/W2VMiae6J5Y/s72-c/IMG-20150717-WA0009.jpg)
DOGO AJITOSA KUGOMBEA UDIWANI KATA YA KORONGONI MOSHI MJINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-4Y7bq7ZXLy4/VaqfVVyJpqI/AAAAAAAAWfI/W2VMiae6J5Y/s640/IMG-20150717-WA0009.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ev4XcPQaUO4/VaqjmlrN6HI/AAAAAAAAWg4/V0g2e9PgLUM/s640/IMG-20150717-WA0020.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-u56GPZ1ZJHo/VaqjzOGq1UI/AAAAAAAAWhA/6pBKdqg6wlc/s640/IMG-20150717-WA0018.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IVe4wT3h29I/VaqjzYlE10I/AAAAAAAAWhE/qpUxT3Ym_zI/s640/IMG-20150717-WA0021.jpg)
11 years ago
Habarileo12 Jun
'Wanawake wasilazimishwe kununua kadi za UWT'
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Taifa, Sophia Simba amewataka Wenyeviti na Makatibu wa UWT wa Mikoa na Wilaya kutowalazimisha wanawake kutoa Sh 1,500 kwa ajili ya kununua kadi za uanachama.