'Wanawake wasilazimishwe kununua kadi za UWT'
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Taifa, Sophia Simba amewataka Wenyeviti na Makatibu wa UWT wa Mikoa na Wilaya kutowalazimisha wanawake kutoa Sh 1,500 kwa ajili ya kununua kadi za uanachama.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania