Wanawake Mufindi wamwangukia , Mwenyekiti wa UWT Mufindi Marcelina Mkini ubunge jimbo la Mufindi kusini
Mwenyekiti wa UWT Mufindi na mjumbe wa NEC Taifa Bi Marcelina Mkini akiwapongeza wanawake kwa kuonyesha kumkubali.
Mwenyekiti wa UWT wilaya ya Mufindi Bi Marcelina Mkini wa kwanza kushoto akiwa na mkuu wa wilaya ya Mufindi Mboni Mhita na mwenyekiti wa UWT mkoa wa Iringa Bi Zainabu Mwamwindi wakati wa kongamano la wanawake wilayani Mufindi.
Na MatukiodaimaBLOG
WAKATI joto la uchaguzi mkuu likiendelea kushika kasi ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) kwa wanachama wake kujitokeza kutia...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-u65NsD7QSYA/VWnTY5w_fEI/AAAAAAAB9Yw/gtg-Q74JniY/s72-c/DSC_0259.jpg)
WANAWAKE MUFINDI WAMWANGUKIA ,MWENYEKITI WA UWT MUFINDI MARCELINA MKINI UBUNGE JIMBO LA MUFINDI KUSINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-u65NsD7QSYA/VWnTY5w_fEI/AAAAAAAB9Yw/gtg-Q74JniY/s640/DSC_0259.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-g4xGryBONpI/VWnSVrzOw2I/AAAAAAAB9YQ/2P4jJNZnBx8/s640/DSC_0245.jpg)
WAKATI joto la uchaguzi mkuu likiendelea kushika kasi ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) kwa wanachama wake kujitokeza kutia nia ya kuwania urais...
10 years ago
Dewji Blog11 Oct
Ziara ya Kinana jimbo la Mufindi Kusini
![](http://2.bp.blogspot.com/-RrU5h4fSKbI/VDiJ49gLFYI/AAAAAAAASPc/JXYu-ARkIqg/s1600/1.jpg)
Vitalu vya miche ya miti vinavyomilikiwa na Umoja wa Vikundi vya Kijamii wilaya ya Mufindi (UVIKIMU)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ApN91WBsmXc/VDiJ6kCMeLI/AAAAAAAASPo/ND3m8FYBRts/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kumwagia maji vitalu vya miche ya miti vinavyomilikiwa na Umoja wa Vikundi vya Kijamii wilaya ya Mufindi (UVIKIMU)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Cnq_AnYC8O8/VDiJ6Lnic6I/AAAAAAAASPk/Mu9qhnW-mNc/s1600/3.jpg)
Shamba la chai Ngwazi.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kuchuma chai pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kwenye shamba la chai Ngwazi wilaya ya Mufindi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-CqXeThEegRM/VDiJ8bXZftI/AAAAAAAASP8/I4FQwSUyavo/s1600/5.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
Wadau wamwangukia mratibu Kombe la Muungano Mufindi
WADAU wa michezo wamemwomba Mratibu wa Kombe la Muungano Mufindi, Daud Yassin, kufikiria zaidi uamuzi wake wa kustaafu kuandaa mashindano hayo na kuongeza muda zaidi wa kuratibu kwa lengo ya...
11 years ago
Michuzi26 Apr
Katibu wa CHADEMA Jimbo la Mufindi Kusini, Emannuel Ngwalanje , Ahamia CCM
Hatua ya Ngwalanje kujitoa Chadema na kujiunga na CCM imeelezwa na baadhi ya wafuasi wa Chadema kuwa ni pigo kubwa kwa chama hicho.
Akizungumzia kujitoa kwa Ngwalanje, mwanachama wa Chadema Michael Ngimbusi alisema; “Ngwalanje alikuwa nguzo kuu ya Chadema wilayani Mufindi, aliogopwa...
10 years ago
Dewji Blog31 May
DC Mhita awahamasisha wanawake Mufindi kugombea nafasi za Udiwani, Ubunge na Uraisi
![](http://3.bp.blogspot.com/-IX900rs5XnY/VWnT1J_wx8I/AAAAAAAB9Y4/plxeS1RrqTc/s640/DSC_0263.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uANnM64RMMY/VWnSOHczWtI/AAAAAAAB9YI/KV9kPhAU4dc/s640/DSC_0242.jpg)
9 years ago
Dewji Blog02 Oct
Wagombea ubunge na udiwani uso kwa uso na wapiga kura wao Mufindi, waulizwa maswali mazito juu ya ajenda ya watoto
![](http://4.bp.blogspot.com/-NeKUStq3ynE/VgzUvjRIetI/AAAAAAAAWms/lkt510hBT8Y/s640/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--sfk4adZXnw/VgzUwM7XomI/AAAAAAAAWmw/ml9AgreWFug/s640/02.jpg)
10 years ago
Dewji Blog31 May
Mchumi wa Wizara ya Viwanda na Biashara kugombea ubunge jimboni kwa Mgimwa, asema wana Mufindi wajiandae kwa neema mpya ……
![](http://4.bp.blogspot.com/-_g1iMQJNitM/VWnV1aQDZGI/AAAAAAAB9aA/bynwNJfQu3Q/s640/DSC_0158.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oA3LXuq9S4I/VWnVH5paxnI/AAAAAAAB9Zo/nq655EkOcwE/s640/DSC_0190.jpg)
Na FGBLOG, MUFINDI
MDAU mkubwa wa maendeleo ya elimu katika wilaya ya Mufindi mkoani Iringa na mzaliwa wa kijiji cha Nungwe, wilayani Mufindi Mkoani Iringa Bw Exaud Kigahe ambae ni mchumi mkuu wa wizara ya viwanda na biashara amepania kuwakomboa kimaendeleo wakazi wa jimbo la Mufindi Kaskazini linaloongozwa na Naibu Waziri wa...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-NeKUStq3ynE/VgzUvjRIetI/AAAAAAAAWms/lkt510hBT8Y/s72-c/01.jpg)
WAGOMBEA UBUNGE NA UDIWANI USO KWA USO NA WAPIGA KURA WAO MUFINDI , WAULIZWA MASWALI MAZITO JUU YA AJENDA YA WATOTO
![](http://4.bp.blogspot.com/-NeKUStq3ynE/VgzUvjRIetI/AAAAAAAAWms/lkt510hBT8Y/s640/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--sfk4adZXnw/VgzUwM7XomI/AAAAAAAAWmw/ml9AgreWFug/s640/02.jpg)