CHADEMA YATANGAZA WAGOMBEA WA UDIWANI KANDA YA KASKAZINI
![](http://api.ning.com:80/files/9pVNH1qXqqxQSKXKvxSGUFMFz9TtxF3Bs*OBQXiDz1wB4BtRN-5TARspxoKApgqvscQTWUMrnSOvL9*XVF-pyW7xqpuA2LO1/Chadema_logo.jpg)
TAARIFA KWA UMMA WAGOMBEA WA UDIWANI – KANDA YA KASKAZINI Tarehe 15 Januari 2014, wagombea wafuatao wa CHADEMA walipitishwa na TUME YA UCHAGUZI kuwania nafasi za uwakilishi (UDIWANI) katika maeneo ya kata mbalimbali za kanda ya Kaskazini. Wagombea hawa walipita katika mchujo wa uteuzi wa chama. Chama kina matarajio makubwa sana kuwa wananchi wa maeneo haya ya kata hizi watapata fursa nzuri ya kuwachagua wagombea wa CHADEMA...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Felix Mabula akataliwa na wagombea Ubunge na Udiwani wa Chadema jimbo la Hanan’g
Mgombea Ubunge Jimbo la Hanang Derick Magoma akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) juu ya kutokua na imani na Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo hilo ambaye ni Mkurugenzi wa Wilaya ya Hanang Felix Mabula madai ambayo wamewasilisha kwa tume ya uchaguzi iteue Msimamizi ili kufanikisha uchaguzi huru na wa haki.Kushoto ni Mwenyekiti wa Chadema Hanan`g Isack Joseph na kulia ni Mgombea udiwani kata ya Endasiwold John Farayo. (Habari picha na Woinde Shizza).
Wagombea wa Nafasi za...
9 years ago
Mwananchi19 Aug
Chadema yatangaza wagombea ubunge
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-gSDlyNsCRTM/VeaJSvEA_pI/AAAAAAAAUhc/rSVUGjDRF1g/s72-c/G03A1963%2B%25281280x853%2529.jpg)
CHADEMA JIMBO LA MOSHI MJINI YATANGAZA WAGOMBEA UDIWAI WAKE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-gSDlyNsCRTM/VeaJSvEA_pI/AAAAAAAAUhc/rSVUGjDRF1g/s640/G03A1963%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YO67gUymTrM/VeaGzbs08sI/AAAAAAAAUek/akDZxF7urmo/s640/DSCF0046%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eYvrdlMp2x0/VeaG4fWdx_I/AAAAAAAAUes/2o4yCUohDzg/s640/DSCF0047%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-U4sn00eo08w/VeaG4skeRcI/AAAAAAAAUew/UxQYR8WGNlk/s640/DSCF0050%2B%25281280x960%2529.jpg)
9 years ago
Habarileo07 Nov
Wagombea udiwani wadaiwa kutishiana maisha
YAPO madai kuwa wagombea wa kiti cha udiwani kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kata ya Bugarama wanatishiana maisha baada ya mmoja wao kutangazwa mshindi.
9 years ago
Mwananchi17 Aug
CCM yatambulisha wagombea udiwani, ubunge
10 years ago
VijimamboFOMU ZA WAGOMBEA URAIS ,UBUNGE PAMOJA NA UDIWANI KESHO
11 years ago
Habarileo25 Mar
Viwavijeshi kushambulia Kanda za Mashariki, Kaskazini
WAKULIMA wametakiwa kuchukua hadhari mapema, kutokana na kutabiriwa kuwepo kwa milipuko ya viwavijeshi vinavyoathiri mazao. Taarifa za utabiri za mwenendo wa milipuko ya viwavijeshi katika msimu wa kilimo 2013/2014, zinaashiria kuwepo kwa milipuko mikubwa hasa katika Kanda ya Mashariki na Kaskazini.
10 years ago
VijimamboWANAWAKE WAGOMBEA WAWEKA MIKAKATI YA KUSHINDA UDIWANI NA UBUNGE 2015
Kwa Mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, Idadi ya Watanzania sasa imefikia milioni 44.9 huku wanawake wakiwa ni asilimia 51.3 ilihali wanaume ni asilimia 48.7. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 inabainisha kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni ya kidemokrasia, ya kidunia ambayo...
10 years ago
MichuziFOMU ZA WAGOMBEA URAIS ,UBUNGE PAMOJA NA UDIWANI KESHO-LUBUVA