Chadema yatangaza wagombea ubunge
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza majina ya wagombea ubunge katika majimbo 135 yaliyoteuliwa na Kamati Kuu yakiwamo ya wabunge na makada wa CCM waliohamia katika chama hicho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo05 Jun
CUF yatangaza wagombea ubunge, uwakilishi.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/CUF-5June2015.jpg)
Chama cha Wananchi (CUF) kimetangaza majina ya wagombea ubunge na uwakilishi walioteuliwa na Baraza Kuu la chama hicho.
Baraza hilo lilikutana juzi jijini Dar es Salaam na kuchambua majina ya wagombea waliopitishwa kwenye kura za maoni katika majimbo mbalimbali nchini.
Wakati majina hayo yakitangazwa, baadhi ya wafuasi wa chama hicho wamelalamikia uteuzi huo kuwa haukuwa huru na haki.
Aidha, katika Jimbo la Mkanyageni, Pemba, wanachama wa chama hicho kwenye kura ya maoni ‘walimtema’ Mbunge wao...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9pVNH1qXqqxQSKXKvxSGUFMFz9TtxF3Bs*OBQXiDz1wB4BtRN-5TARspxoKApgqvscQTWUMrnSOvL9*XVF-pyW7xqpuA2LO1/Chadema_logo.jpg)
CHADEMA YATANGAZA WAGOMBEA WA UDIWANI KANDA YA KASKAZINI
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-gSDlyNsCRTM/VeaJSvEA_pI/AAAAAAAAUhc/rSVUGjDRF1g/s72-c/G03A1963%2B%25281280x853%2529.jpg)
CHADEMA JIMBO LA MOSHI MJINI YATANGAZA WAGOMBEA UDIWAI WAKE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-gSDlyNsCRTM/VeaJSvEA_pI/AAAAAAAAUhc/rSVUGjDRF1g/s640/G03A1963%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YO67gUymTrM/VeaGzbs08sI/AAAAAAAAUek/akDZxF7urmo/s640/DSCF0046%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eYvrdlMp2x0/VeaG4fWdx_I/AAAAAAAAUes/2o4yCUohDzg/s640/DSCF0047%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-U4sn00eo08w/VeaG4skeRcI/AAAAAAAAUew/UxQYR8WGNlk/s640/DSCF0050%2B%25281280x960%2529.jpg)
9 years ago
Mtanzania19 Aug
Wagombea ubunge Chadema hadharani
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimepitisha majina ya wagombea ubunge wa chama hicho katika mikoa mbalimbali chini ya mwamvuli wa Ukawa.
Katika uteuzi huo, baadhi ya wanasiasa na wanahabari wamefanikiwa kupenya katika chekeche la mchujo wa chama hicho na kufanikiwa kuteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Taarifa iliyotolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema (Bara), John Mnyika, iliwataja wanachama...
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Felix Mabula akataliwa na wagombea Ubunge na Udiwani wa Chadema jimbo la Hanan’g
Mgombea Ubunge Jimbo la Hanang Derick Magoma akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) juu ya kutokua na imani na Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo hilo ambaye ni Mkurugenzi wa Wilaya ya Hanang Felix Mabula madai ambayo wamewasilisha kwa tume ya uchaguzi iteue Msimamizi ili kufanikisha uchaguzi huru na wa haki.Kushoto ni Mwenyekiti wa Chadema Hanan`g Isack Joseph na kulia ni Mgombea udiwani kata ya Endasiwold John Farayo. (Habari picha na Woinde Shizza).
Wagombea wa Nafasi za...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-lJXKjg8aa3g/VdQ3G3RF4uI/AAAAAAABUF0/3jUypnbwiP4/s72-c/CHADEMA-LOGO.png)
TAZAMA HAPA MAJINA YA WAGOMBEA WA CHADEMA PAMOJA NA MAJIMBO WATAKAYOGOMBEA UBUNGE KUPITIA UKAWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-lJXKjg8aa3g/VdQ3G3RF4uI/AAAAAAABUF0/3jUypnbwiP4/s640/CHADEMA-LOGO.png)
Rorya - STEVEN J OWAWA
Tarime Mjini - ESTHER N MATIKO
Tarime Vijijini - JOHN HECHE
Musoma Vijijini - ZAKARIA MBULA CHIRAGWILE
Butiama - YUSUPH R KAZI
Bunda Mjini - ESTHER BULAYA
Mwibara - HARUN D CHIRIKO
Musoma Mjini - VINCENT J NYERERE
Bunda Vijijini - SULEIMAN DAUDI
SIMIYU
Bariadi - GODWIN SIMBA
Maswa Magharibi - ABDALA PATEL
Maswa Mashariki - SYLVESTER KASULUMBAYI
Kisesa - MASANJA MANANI
Meatu - MESHACK OPULUKWA
Itilima - MARTINE MAGILE
SHINYANGA
Msalala - PAULO MALAIKA
Kahama Mjini - JAMES...
10 years ago
Mwananchi26 May
NEC yatangaza tarehe ya uteuzi wa wagombea
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Bp6VsFxYvcKesKc39udFpqb1CBy9T6saaCPfMFHrBPo0UotwxTB0jGL724Aqg1FyADtIhlaUlEgAPhcxkfThqq*-GOxJXbrQ/BREAKING.gif)
BREAKING NEWS: CCM YATANGAZA WAGOMBEA WATANO WA URAIS
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-A1MW_smwY6Y/VdHxifJK4_I/AAAAAAAHx14/B8LOKLXRUEQ/s72-c/GGG.jpg)
CCM YATANGAZA UTEUZI WA WAGOMBEA WA MAJIMBO 11 YALIYOKUWA YAMEBAKIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-A1MW_smwY6Y/VdHxifJK4_I/AAAAAAAHx14/B8LOKLXRUEQ/s640/GGG.jpg)
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa leo Agosti 17, 2015 katika kikao chake cha siku moja kilichofanyika katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam chini ya Mwenyekiti wa...