CCM YATANGAZA UTEUZI WA WAGOMBEA WA MAJIMBO 11 YALIYOKUWA YAMEBAKIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-A1MW_smwY6Y/VdHxifJK4_I/AAAAAAAHx14/B8LOKLXRUEQ/s72-c/GGG.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo mchana,katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam kuhusiana na uteuzi wa wagombea Ubunge wa majimbo 11 nchini yaliyokuwa yamebakia
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa leo Agosti 17, 2015 katika kikao chake cha siku moja kilichofanyika katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam chini ya Mwenyekiti wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog17 Aug
CCM yatangaza rasmi uteuzi wa wagombea wa Majimbo 11yaliyokuwa yamebaki
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo mchana,katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam kuhusiana na uteuzi wa wagombea Ubunge wa majimbo 11 nchini yaliyokuwa yamebakia
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa leo Agosti 17, 2015 katika
kikao chake cha siku moja kilichofanyika katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam chini ya Mwenyekiti wa...
10 years ago
Mwananchi26 May
NEC yatangaza tarehe ya uteuzi wa wagombea
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Pinda aionya CCM uteuzi wa wagombea
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-MQzIcdMz_3U/VdHewzZOhJI/AAAAAAAAkS8/qXJ9QOuRQnA/s72-c/1.jpg)
KAMATI KUU YA CCM YAFANYA UTEUZI KATIKA MAJIMBO YALIYOBAKIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-MQzIcdMz_3U/VdHewzZOhJI/AAAAAAAAkS8/qXJ9QOuRQnA/s640/1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Bp6VsFxYvcKesKc39udFpqb1CBy9T6saaCPfMFHrBPo0UotwxTB0jGL724Aqg1FyADtIhlaUlEgAPhcxkfThqq*-GOxJXbrQ/BREAKING.gif)
BREAKING NEWS: CCM YATANGAZA WAGOMBEA WATANO WA URAIS
9 years ago
MichuziWizara ya Afya yatangaza Mpango wa Taifa wa kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-i9yoUoeKWaA/VcTUuuGd4WI/AAAAAAAAXQ8/pjfGB4QYXls/s72-c/uwt6.jpg)
UWT YAANZA VIKAO VYA UTEUZI WA WAGOMBEA UBUNGE VITI MAALUM KUPITIA CCM
![](http://2.bp.blogspot.com/-i9yoUoeKWaA/VcTUuuGd4WI/AAAAAAAAXQ8/pjfGB4QYXls/s640/uwt6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Qr8BLuEXaR0/VcTUvg4hsHI/AAAAAAAAXRA/LP-7pk7JJVg/s640/uwt4.jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Aug
Kamati kuu ya CCM Taifa yateua wagombea Ubunge katika majimbo mawili ya Singida Mashariki na Kiteto
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Sekretarieti, Makao Makuu ya CCM, Ofisi Ndogo Lumumba.
2015 – Nape – Press Conf – Kamati Ya Kampeni Za Uchaguzi 2015 – 18.8.2015
9 years ago
Dewji Blog18 Dec
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto yatangaza Mpango wa Taifa wa kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele