Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UWT YAANZA VIKAO VYA UTEUZI WA WAGOMBEA UBUNGE VITI MAALUM KUPITIA CCM

JUMUIYA ya Umoja wa Wanawake Tanzania iliyo chini ya Chama Cha Mapinduzi CCM, imeanza vikao vya uteuzi wa wanaogombea ubunge viti maalum huko makao makuu ya CCM Dodoma. Mkutano huo unaongozwa na mwenyekiti wa Jumuiya hiyo, Sophia Simba. Pichani Baadhi ya Wapambe wa Wagombea kupitia Jumuiya ya Wanawake ya Chama cha Mapinduzi (UWT) wakipita na mabango yenye picha za Wagombea wao nje ya ukumbi wa mikutano wa NEC Dodoma kabla ya kuanza mkutano wa uchaguziMwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Phidesia Mwakilima aibuka kidedea uchaguzi wa Ubunge wa viti maalum kupitia tiketi ya Jumuiya ya Wazazi CCM

http://2.bp.blogspot.com/-RCy23A0BZXU/VXGrU4TGNzI/AAAAAAAAPCU/JU7jwGuH2Mw/s1600/11390351_860026487378599_5734199586013076232_n.jpg

Mwanadada  Phidesia Mwakilima.

Na Woinde Shizza, wa libeneke la kaskazini blog

Mkurugenzi wa kampuni ya Phide Entertainment  ambaye pia ni Meneja masoko wa  kituo cha redio Triple A ya Arusha, Phidesia Mwakilima, ameibuka kidedea kwenye uchaguzi wa mbunge viti maalum kupitia Jumuiya ya wazazi (UWT) Chama cha Mapinduzi mkoa wa Arusha.

Phidesia Mwakilima, amepata kura 18 na kuwashinda, Aimbora Nnko, aliyepata kura 6, Angela Mwanri kura 4 na Anna John kura 2 ,uchaguzi huo umefanyika ukumbi wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Catherine Magige sasa kuwania ubunge viti maalum UWT mkoa wa Arusha

unnamed

Mbunge wa Viti Maalum (CCM) kupitia vijana Mkoa wa Arusha, Mh. Catherine Magige akichukua fomu ya kuwania ubunge viti maalumu kupitia jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) mkoa wa Arusha, anayemkabidhi ni katibu wa (UWT)mkoa wa Arusha Fatuma Hassan Tsea jana katika ofisi za umoja huo jijini Arusha(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).

unnamed (1)

Mbunge wa Viti Maalum (CCM) kupitia vijana Mkoa wa Arusha, Mh. Catherine Magige akimkabidhi katibu wa (UWT) mkoa wa Arusha Fatuma Hassan Tsea...

 

10 years ago

Dewji Blog

UVCCM Singida yamchagua msomi Fancy Nkuhi Ubunge Viti maalum kupitia vijana

fancy

Fancy Nkuhi ambaye ameshinda katika nafasi ya Mgombea wa nafasi ya Ubunge wa Viti maalum kupitia vijana katika Mkoa wa Singida.

KAPETO

KATIBU wa UVCCM Mkoa wa Singida, Ramadhan Kapeto akizungumza kwenye mkutano mkuu wa UVCCM wa uchaguzi wa nafasi ya mgombea Ubunge wa viti maalumu kupitia vijana  jana mkutano huo ulimchagua Fancy Nkuhi kuwa mwakilishi wao kwa kupata kura 21 dhidi ya 8 za Jamila Kitila.

LISU

Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa Singida, Labia Lissu akizungumza kwenye mkutano huo, kulia n mchumi wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ubunge Viti Maalum CCM Waibua Mapya Singida

Kinyang’anyiro cha ubunge wa viti maalum katika mkoa wa Singida  kimeibua mapya, baada ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Wilaya ya Ikungi, Christina Hamis, kutishia kususia kuingia kwenye ofisi za jumuiya hiyo na kuhama chama.


Mwenyekiti huyo anakusudia kuchukua uamuzi huo kwa madai kuwa Katibu wa CCM wa wilaya hiyo, Aluu Segamba, anamlazimisha amuunge mkono mgombea ubunge wa Viti Maalumu (CCM), Wema Sepetu.
Christina alisema pamoja na kwamba yeye ni...

 

9 years ago

Bongo Movies

Irene Uwoya Apitishwa na CCM Kuwa Mbunge Viti Maalum Kupitia Tabora

Mwigizaji wa filamu za Kibongo,Irene Uwoya apitishwa na Halmashauri Kuu ya CCM (NEC )kuwa mbunge viti maalum vijana mkoa wa Tabora.

Wengine waliopitishwa ni namba 1. Halima Bulembo 2. Zainab Katimba 3. Mariam Ditopile 4. Mary Kangoye 5. Kizigo 6. Irene Uwoya.

Hongera sana Uwoya.

Cloudsfm.com

 

9 years ago

Vijimambo

MAJINA YA WALIOTEULIWA UBUNGE, UWAKILISHI NA VITI MAALUM CCM YATANGAZWA RASMI

 Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akionyesha kitabu cha Ilani ya Uchaguzi ya 2015-2020 ya CCM wakati wa kufunga kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa mara baada ya kumaliza zoezi la kupitisha majina ya wagombea Ubunge na Uwakilishi mjini Dodoma.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar) Dk. Ali Mohamed Shein na kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana. Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akipitia orodha...

 

10 years ago

Vijimambo

ALIYEKUWA MBUNGE WA VITI MAALUM KUPITIA CCM. ESTER BULAYA,AMEPOKELEWA NA MAELFU YA WAKAZI WA BUNDA


Aliyekuwa mbunge wa viti maalum kupitia vijana (ccm) Ester Bulaya, amepokewa na maelfu ya wakazi wa Bunda  baada ya kukihama chama hicho na kujiunga na chama cha demokrasia na mendeleo CADEMA na kudai tayari amechukua na kurudisha fomu kwa ajili ya kuwania Ubunge wa jimbo la Bunda mjini kupitia chama hicho na kuahidi kushirikiana na wananchi kuleta mabadiliko ya kiuchumi kwa wananchi bila kujali itikadi ya vyama na kusisitiza hataweza kuwaangusha wanabunda na watanzania wote.Bulaya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mshindi wa nafasi ya ubunge viti maalum CCM mkoa wa Singida, ampongeza msimamizi wa uchaguzi, Dk.Kone

IMG_1615

Mshindi wa kwanza wa nafasi ya ubunge viti maalum CCM mkoa wa Singida, Aysharose Ndogholi Mattembe, akiwashukuru wapiga kura 318 (hawapo kwenye picha). Aysharose  ambaye ni Mkurugenzi wa shule ya British Zanzibar ya Kisauni Zanzibar, alipata ushindi huo mnono baada ya kuwabwaga wapinzani wake 13 kwenye uchaguzi uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa kanisa katoliki mjini hapa. IMG_1574 Mshindi wa kwanza wa nafasi ya ubunge viti maalum CCM mkoa wa Singida, Aysharose Ndogholi Mattembe (kulia)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani