MAJINA YA WALIOTEULIWA UBUNGE, UWAKILISHI NA VITI MAALUM CCM YATANGAZWA RASMI
![](http://2.bp.blogspot.com/-DnsRK15y0jU/VcyXxClLbAI/AAAAAAAAkAY/g6GlbGh1aZk/s72-c/7.jpg)
Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akionyesha kitabu cha Ilani ya Uchaguzi ya 2015-2020 ya CCM wakati wa kufunga kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa mara baada ya kumaliza zoezi la kupitisha majina ya wagombea Ubunge na Uwakilishi mjini Dodoma.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar) Dk. Ali Mohamed Shein na kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akipitia orodha...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi14 Aug
10 years ago
Bongo Movies26 Jul
Ubunge Viti Maalum CCM Waibua Mapya Singida
Kinyang’anyiro cha ubunge wa viti maalum katika mkoa wa Singida kimeibua mapya, baada ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Wilaya ya Ikungi, Christina Hamis, kutishia kususia kuingia kwenye ofisi za jumuiya hiyo na kuhama chama.
Mwenyekiti huyo anakusudia kuchukua uamuzi huo kwa madai kuwa Katibu wa CCM wa wilaya hiyo, Aluu Segamba, anamlazimisha amuunge mkono mgombea ubunge wa Viti Maalumu (CCM), Wema Sepetu.
Christina alisema pamoja na kwamba yeye ni...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-i9yoUoeKWaA/VcTUuuGd4WI/AAAAAAAAXQ8/pjfGB4QYXls/s72-c/uwt6.jpg)
UWT YAANZA VIKAO VYA UTEUZI WA WAGOMBEA UBUNGE VITI MAALUM KUPITIA CCM
![](http://2.bp.blogspot.com/-i9yoUoeKWaA/VcTUuuGd4WI/AAAAAAAAXQ8/pjfGB4QYXls/s640/uwt6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Qr8BLuEXaR0/VcTUvg4hsHI/AAAAAAAAXRA/LP-7pk7JJVg/s640/uwt4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Aug
Mshindi wa nafasi ya ubunge viti maalum CCM mkoa wa Singida, ampongeza msimamizi wa uchaguzi, Dk.Kone
![IMG_1574](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_1574.jpg)
10 years ago
Dewji Blog24 Jul
Phidesia Mwakilima aibuka kidedea uchaguzi wa Ubunge wa viti maalum kupitia tiketi ya Jumuiya ya Wazazi CCM
![http://2.bp.blogspot.com/-RCy23A0BZXU/VXGrU4TGNzI/AAAAAAAAPCU/JU7jwGuH2Mw/s1600/11390351_860026487378599_5734199586013076232_n.jpg](http://2.bp.blogspot.com/-RCy23A0BZXU/VXGrU4TGNzI/AAAAAAAAPCU/JU7jwGuH2Mw/s640/11390351_860026487378599_5734199586013076232_n.jpg)
Mwanadada Phidesia Mwakilima.
Na Woinde Shizza, wa libeneke la kaskazini blog
Mkurugenzi wa kampuni ya Phide Entertainment ambaye pia ni Meneja masoko wa kituo cha redio Triple A ya Arusha, Phidesia Mwakilima, ameibuka kidedea kwenye uchaguzi wa mbunge viti maalum kupitia Jumuiya ya wazazi (UWT) Chama cha Mapinduzi mkoa wa Arusha.
Phidesia Mwakilima, amepata kura 18 na kuwashinda, Aimbora Nnko, aliyepata kura 6, Angela Mwanri kura 4 na Anna John kura 2 ,uchaguzi huo umefanyika ukumbi wa...
9 years ago
GPL![](https://4.bp.blogspot.com/-csSApYSCG_E/Vj0AJxi9phI/AAAAAAAAMgw/CfQCRZ7Ew2E/s640/3.jpg?width=650)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Nape-Nnauye1.jpg)
ANGALIA MAJINA YA WANACHAMA WA CCM WALIOTEULIWA KUGOMBEA NA MAJIMBO YAO
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Bgv7PnLvuh8/VcFkLs-oitI/AAAAAAAD2dQ/YqUh3-qn4fM/s72-c/11800108_961164497280878_5219527663753180617_n.jpg)
Msanii maarufu wa Bongo movie, Irene Uwoya ameshinda kura za maoni Ubunge Viti Maalum(vijana)Tabora, kwa tiketi ya CCM
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bgv7PnLvuh8/VcFkLs-oitI/AAAAAAAD2dQ/YqUh3-qn4fM/s640/11800108_961164497280878_5219527663753180617_n.jpg)
Msanii maarufu wa Bongo movie, Irene Uwoya ameshinda kura za maoni Ubunge Viti Maalum(vijana)Tabora, kwa tiketi ya CCM
-Amepata kura 38 huku mpinzani wake akipata kura 34Tarime Mjini na Tarime Vijijini zoezi la kupiga kura limeahirishwaKumetokea vurugu kwenye mchakato wa kura za maoni CCM hapa Tarime, kwani zimekutwa karatasi za kupigia kura zaidi ya 25000 zikiwa zimeshatikiwa majina ya wagombea wawili MH GAUDENSIA KABAKA (TARIME MJINI) na NYAMBARI NYANGW'INE (TARIME VIJIJINI).Kutokana na...
11 years ago
GPLHATIMAYE MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KWA AJILI YA MAISHA PLUS/MAMA SHUJAA WA CHAKULA YATANGAZWA RASMI