Chadema yapangua ratiba fomu za ubunge, udiwani
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelazimika kupangua ratiba ya awali ya uchukuaji fomu za ubunge na udiwani kwa wanachama wake, baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutangaza majimbo mapya 26 ya uchaguzi hivi karibuni.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog27 Jun
Chadema Moshi vijijini warudisha fomu za kuwania ubunge na udiwani
![](http://2.bp.blogspot.com/-AhQuRbaoNVE/VYzn-DRUxJI/AAAAAAAARh8/aMnjeGCniHM/s640/E86A1751%2B%25281280x853%2529%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ba96gVyVeG8/VYzn-J9THPI/AAAAAAAARiA/X-8rEW21U78/s640/E86A1752%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UHeqXKF6ccw/VYzn-BcesXI/AAAAAAAARiI/9c10FZz56k0/s640/E86A1759%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-A8MHAlii93g/VYzoEA5ol9I/AAAAAAAARiU/4hUp1zoHy94/s640/E86A1762%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NzOqFtXfabw/VYzoFJCKcPI/AAAAAAAARig/Lc_XjsyzIIg/s640/E86A1764%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Habarileo15 Jul
Fomu za ubunge, udiwani CCM leo
BAADA ya mchuano wa kuwania uteuzi wa kugombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM uliomalizika kwa Dk John Magufuli kuibuka mshindi, kwa wiki moja kuanzia leo joto la siasa linatarajiwa kuhamia kwa makada wa chama hicho wanaowania kuteuliwa kuwania ubunge na udiwani kote nchini.
10 years ago
VijimamboFOMU ZA WAGOMBEA URAIS ,UBUNGE PAMOJA NA UDIWANI KESHO
10 years ago
MichuziFOMU ZA WAGOMBEA URAIS ,UBUNGE PAMOJA NA UDIWANI KESHO-LUBUVA
10 years ago
GPLMSANII CHADEMA ACHUKUA FOMU YA UDIWANI PUGU
9 years ago
VijimamboUPDATES: MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA KATIKA JIMBO LA SHINYANGA MJINI INASEMEKANA AMETEKWA NA KUNYANG’ANYWA FOMU YA UBUNGE
Chanzo chetu kilijaribu kuzungumza na mwenezi wa jimbo hilo ili kuthibitisha tukio hilo lakini pia simu ya mgombea ilikuwa haipatikani.
Chanzo chetu kimeongea na Mbunge Rachel Mashishanga sasa hivi na kuthibitisha tukio hilo.
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi
Chanzo:...
10 years ago
Dewji Blog04 Aug
Waliokatwa kuwania ubunge, udiwani CCM Singida wakimbilia Chadema
Katibu wa CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo kwenye picha) juu ya chama hicho kuhamwa na Mwenyekiti wake wa mkoa, Mgana Izumbe Msindai aliyehamia CHADEMA.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
KURA za maoni nafasi ya udiwani,ubunge wa viti maalum na ule wa majimbo CCM mkoani Singida, zimeacha malalamiko na maumivu mengi,ambayo ni pamoja na kuhamwa na wananchama wake wengi akiwemo Mwenyekiti wake wa mkoa, Mgana Izumbe Msindai na...
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Felix Mabula akataliwa na wagombea Ubunge na Udiwani wa Chadema jimbo la Hanan’g
Mgombea Ubunge Jimbo la Hanang Derick Magoma akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) juu ya kutokua na imani na Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo hilo ambaye ni Mkurugenzi wa Wilaya ya Hanang Felix Mabula madai ambayo wamewasilisha kwa tume ya uchaguzi iteue Msimamizi ili kufanikisha uchaguzi huru na wa haki.Kushoto ni Mwenyekiti wa Chadema Hanan`g Isack Joseph na kulia ni Mgombea udiwani kata ya Endasiwold John Farayo. (Habari picha na Woinde Shizza).
Wagombea wa Nafasi za...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tZHhhMhD8MDvBB*pL6EdsxuM74dIOLOGFVo1DrrLaT*MepYM1DNBChVMbmzvJ2QjP0ARTFJt2489EMr9ZvZADCX0WaL19y46/CHADEMA6.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10