Kijana UVCCM atangaza nia ya kuwania Udiwani kata ya Ilunda, lengo ni kurejesha kata CCM, inayongozwa na Chadema
Kijana Mohamed Embele (38) ambaye ametangaza nia ya kurejesha Kata ya Ilunda (CCM), hivi sasa Kata hiyo inaongozwa na Diwani wa CHADEMA Long’ida Ole Looda.
Na Hillary Shoo, Mkalama
KAMANDA wa UVCCM wa Kata ya Ilunda Tarafa ya Nduguti Wilayani Mkalama Mkoani Singida, Mohamed Embele (38) ametangaza rasmi nia yake ya kutaka kugombea nafasi ya Udiwani kwenye Kata hiyo katika uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2015.
Akizungumza katika mahojiano maalumu wakati wa kufunga kambi ya vijana wa Wilaya ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7AtKwDA_gGA/VX5NHUCH_9I/AAAAAAAAQ2o/YVeBSjO9d_4/s72-c/11542349_484395941715886_1089212980_o%2B%25281%2529.jpg)
MFANYABIASHARA JUMA RAIBU ATANGAZA NIA KUGOMBEA UDIWANI KATA YA PASUA MJINI MOSHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-7AtKwDA_gGA/VX5NHUCH_9I/AAAAAAAAQ2o/YVeBSjO9d_4/s640/11542349_484395941715886_1089212980_o%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-W4uk2duG154/VX5NGcKhcFI/AAAAAAAAQ2c/9DydS-irWnI/s640/11304378_484395961715884_78417374_o.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cK4sDCvhknw/VX5NGruwSnI/AAAAAAAAQ2Y/yKhED-OHnJE/s640/11328932_484395951715885_293018246_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Dnit5KdTrCM/VX5NF42CeQI/AAAAAAAAQ2M/oYWmYXrPF_M/s640/11129865_484395958382551_1053148693_n.jpg)
10 years ago
GPLNIA YA UDIWANI KATA YA SEGEREA NUSURA UMTOE ROHO MTOTO WA MASSABURI
10 years ago
Dewji Blog12 Jul
Nia ya Udiwani kata ya Segerea nusura imtoe roho mtoto wa Massaburi
Katibu wa Uchumi na Fedha Kata ya Segerea, Steve Massaburi akiwa Hospitali ya Aga-khan leo akiendelea na matibabu.
Katibu wa Uchumi na Fedha Kata ya Segerea, Steve Massaburi akiwa Hospitali ya Aga-khan leo akiendelea kuuguza majeraha baada ya kujeruhiwa kwa mapanga nyumbani kwake Segerea jijini Dar es Salaam jana na watu wasiojulikana. Kushoto anayemuhudumia ni jamaa yake Martin Pemba.
Na Dotto Mwaibale
WATU wasiojulikana wamejeruhi kwa mapanga Katibu wa Uchumi na Fedha Kata ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-id2G-fMidQI/VajzroBrCuI/AAAAAAAC8nI/ddnrgT2oKog/s72-c/AhvrYpx5P1avaPf84t5ra_mRoZgla-RVr0anvV-PV5ZR%2B%25281%2529.jpg)
MDAU EMMA BARNABAS ACHUKUA FOMU KUWANIA UDIWANI KATA YA KIPAWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-id2G-fMidQI/VajzroBrCuI/AAAAAAAC8nI/ddnrgT2oKog/s640/AhvrYpx5P1avaPf84t5ra_mRoZgla-RVr0anvV-PV5ZR%2B%25281%2529.jpg)
9 years ago
Vijimambo11 Oct
HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA MKOA WA SIMIYU NA MAJIMBO YAKE(KATA KWA KATA) MWIGULU NCHEMBA AKIOMBA KURA ZA URAIS,UBUNGE NA UDIWANI
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/12122545_433160623552838_8491293303994985999_n.jpg?oh=894c05b1f798795379cbe6b544a5d459&oe=5696183B)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/12106902_433160540219513_149228279015799531_n.jpg?oh=2f496d7e09534b109070b442e992259e&oe=5693EDB4)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t1.0-9/12143290_433160596886174_6374665949360148217_n.jpg?oh=6f2baaa4ee075ed5721909067f5765af&oe=5692D4B0)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/11223301_433160490219518_5838930651715208043_n.jpg?oh=d786e5b224fa642748cdf956fd341482&oe=56CD8422)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/11214198_433160363552864_2614794155084245693_n.jpg?oh=ea97bccd2c968274a80d7b4cb88b27a8&oe=569CF877&__gda__=1456644047_955228842884c9a202cbfed5577ef29e)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xta1/v/t1.0-9/12144731_433160453552855_2794580757465261037_n.jpg?oh=cf8c5279cb59c31dd2c37d741a0280e0&oe=568BFEBD&__gda__=1456324916_c73ede63f05827dae0dac957f4277405)
![](https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xal1/v/t1.0-9/12063536_433160210219546_4058349172803720667_n.jpg?oh=00c3887d3ef520b3ca04a08464d79b57&oe=5691AA98&__gda__=1456152271_51677c92196aeb81711a9955703b63a9)
![](https://fbcdn-sphotos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xtp1/v/t1.0-9/12065778_433160113552889_5651450610145408312_n.jpg?oh=aacdc62e55b30a9862e9b16d970a3dbe&oe=568C5C6E&__gda__=1451841368_6711289731e92e8051c2960f8083c31b)
![](https://scontent-lhr3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xta1/v/t1.0-9/12108914_433160243552876_8111608174203468169_n.jpg?oh=423ffa00a7c34b15b6c894d9442a420a&oe=568CD42D)
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
“Dogo” ajitosa udiwani kupitia CHADEMA kata ya Korongoni mjini Moshi
![](http://3.bp.blogspot.com/-4Y7bq7ZXLy4/VaqfVVyJpqI/AAAAAAAAWfI/W2VMiae6J5Y/s640/IMG-20150717-WA0009.jpg)
Mpambanaji aliyejitambulisha kwa mwandishi wa blog hii kwa jina la Liberatus Oba Mawalla “Dogo” (pichani juu) amechukua na kurudisha fomu za kugombea udiwani kata ya Korongoni wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Amesema endapo atapata ridhaa hatapenda wamuite mheshimiwa na badala yake anataka wapiga kura wake wamuite ndugu. Angalia picha zaidi hapa chini.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ev4XcPQaUO4/VaqjmlrN6HI/AAAAAAAAWg4/V0g2e9PgLUM/s1600/IMG-20150717-WA0020.jpg)
Dogo akiwa na wanachama hicho.
![](http://4.bp.blogspot.com/-u56GPZ1ZJHo/VaqjzOGq1UI/AAAAAAAAWhA/6pBKdqg6wlc/s1600/IMG-20150717-WA0018.jpg)
Msafara kuelekea kurudisha fomu ukijipanga.
![](http://1.bp.blogspot.com/-IVe4wT3h29I/VaqjzYlE10I/AAAAAAAAWhE/qpUxT3Ym_zI/s1600/IMG-20150717-WA0021.jpg)
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Mgombea udiwani Kata ya Uyole CCM afariki ghafla
10 years ago
Dewji Blog28 Jul
Kampeni za Udiwani ndani ya CCM Kata ya Magomeni zaanza kwa kishindo
Katibuu Mwenezi wa CCM Kata ya Msasani, Bw. Andrew Mangole (kulia) akiwaomba wana CCM kuachana na makundi na baadala yake wakijenge chama katika misingi imara na kuibuka na ushindi hapo baadae katika uchaguzi Mkuu. (Picha zote na Andrew Chale, modewjiblog).
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Magomeni-Kinondoni) Kampeni za kura za maoni kwa wagombea Udiwani ndani ya Cha Cha Mapinduzi (CCM) zimepamba moto ambapo kila mgombea amejitokeza na kujinadi mbele ya wanachama ili achaguliwe kukiwakilisha...
9 years ago
GPLMGOMBEA UDIWANI KATA YA MBAGALA KUU (CCM) YUSUF MANJI AZINDUA KAMPENI ZAKE
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10