KINANA MWANZA,MAGUFULI MOSHI NA HAI..HUKO BUMBULI NA MLALO WALIKUWA VIJANA WA KAZI WA CCM HAWA HAPA
Mzee yupo tayari kwa kupiga kura kumchagua Rais,Mbunge na Diwani wa Chama cha Mapinduzi.
January Makamba akizungumza na Wananchi wake wa kata ya Mamba,Kubwa ametekeleza Upatikanaji wa Umeme,Usambazi wa maji na uanzishwaji wa kituo cha Afya.
January Makamba chaguo la Wanabumbuli.
Watoto nao ni Chipukizi wa Chama cha Mapinduzi kwa uongozi Ujao.
"Mabadiliko ya kweli yapo CCM"
January Makamba akinadi sera zake na kuzungumzia Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi kwa jimbo la Bumbuli kata ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AWATAKA VIJANA WACHAPE KAZI NA SI KUKAA VIJIWENI.

10 years ago
Vijimambo06 Oct
WAKATI ARUSHA MAGUFULI AKISABABISHA TSUNAMI,MWIGULU NA MAKAMBA WAFANYA KATA KWA KATA HUKO BUMBULI





10 years ago
Dewji Blog18 May
10 years ago
Habarileo20 Aug
Waliopitishwa kuwania udiwani CCM majimbo ya Dar hawa hapa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam kimetoa majina ya wagombea udiwani katika kata zote za majimbo 10 ya uchaguzi.
10 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE WILAYA YA HAI MKOANI KILIMANJARO



10 years ago
Vijimambo
Magufuli ameanza kazi: Amtosa Chenge hadharani huko Mjini Bariadi

MAGUFULI AMTOSA CHENGE BARIADI.Katika kile ambacho wachunguzi wa mambo ya kisiasa wamekiita tukio la kimapinduzi na mwanzo wa mabadiliko mapya ndani ya CCM, Mgombea wa Urais kwa ticket ya CCM Dr. John Magufuli amefanya kile ambacho Rais Jakaya Kikwete na Edward Lowassa wameshindwa, kumtosa Andrew Chenge hadharani.Mwanasheria huyo mkuu wa zamani ambaye anahusika kwenye kashfa mbalimbali zilizozikumba taifa hili, ambaye ndio alikuwa mratibu wa kampeni za Urais za Edward Lowassa alipokuwa CCM...
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Michuzi
KINANA NA NAPE WAONGOZA MAKUNDI YA VIJANA KUSHIRIKI JOGGING JIJINI MWANZA ASUBUHI HII.

Viongozi mbali mbali walishiriki mchakamchaka huo akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Magessa...
10 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AMJULIA HALI MZEE ISRAELI NAWINGA KIJIJINI KWAKE MASAMA LOSAA WILAYANI HAI.
