Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli ameanza kazi: Amtosa Chenge hadharani huko Mjini Bariadi


MAGUFULI AMTOSA CHENGE BARIADI.Katika kile ambacho wachunguzi wa mambo ya kisiasa wamekiita tukio la kimapinduzi na mwanzo wa mabadiliko mapya ndani ya CCM, Mgombea wa Urais kwa ticket ya CCM Dr. John Magufuli amefanya kile ambacho Rais Jakaya Kikwete na Edward Lowassa wameshindwa, kumtosa Andrew Chenge hadharani.Mwanasheria huyo mkuu wa zamani ambaye anahusika kwenye kashfa mbalimbali zilizozikumba taifa hili, ambaye ndio alikuwa mratibu wa kampeni za Urais za Edward Lowassa alipokuwa CCM...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

MillardAyo

Giroud ameanza kazi tayari akiwa Chelsea

Tukiwa tunasubiria game ya UEFA Champions League kati ya Barcelona dhidi ya Chelsea, usiku wa February 16 Chelsea imecheza game yake ya FA Cup dhidi ya Hull City katika uwanja wao wa Stamford Bridge. Chelsea licha ya kuwa imekuwa haifanyi vizuri katika Ligi Kuu kwa baadhi ya mechi zao kiasi cha kuhesabiwa kuwa msimu huu […]

 

9 years ago

Vijimambo

KINANA MWANZA,MAGUFULI MOSHI NA HAI..HUKO BUMBULI NA MLALO WALIKUWA VIJANA WA KAZI WA CCM HAWA HAPA

Mzee yupo tayari kwa kupiga kura kumchagua Rais,Mbunge na Diwani wa Chama cha Mapinduzi.January Makamba akizungumza na Wananchi wake wa kata ya Mamba,Kubwa ametekeleza Upatikanaji wa Umeme,Usambazi wa maji na uanzishwaji wa kituo cha Afya.January Makamba chaguo la Wanabumbuli.Watoto nao ni Chipukizi wa Chama cha Mapinduzi kwa uongozi Ujao."Mabadiliko ya kweli yapo CCM"January Makamba akinadi sera zake na kuzungumzia Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi kwa jimbo la Bumbuli kata ya...

 

9 years ago

Vijimambo

MAGUFULI AFUNGA KAZI SUMBAWANGA MJINI

 Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa Nelson Mandela ,Sumbawanga mjini tayari kuwahutubia wakazi wa mji huo. Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na Kada wa CCM Mzee Chrisant Mzindakaya wakati wa mapokezi kwenye uwanja wa Nelson Mandela ,Sumbawanga mjini.
 Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mbunge wa Sumbawanga mjini Ndugu Aeshi Hilaly . Kada wa CCM Mzee Chrisant...

 

9 years ago

MillardAyo

Mama Samia nae ameanza kazi, leo kaanza na haya baada ya kupita Geita.

Ripoti iliyonifikia nikutokea Mkoa wa Geita, Makamu wa rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan aliwasili Geita jioni ya leo na akakutana na uongozi wa mkoa wa Geita, Inshu ni wananchi wanufaike na mgodi wao wa dhahabu Geita Geita Gold Mine.…kutana na sentensi zake; Makamu wa rais Mama Samia ‘Wakati nilipopita kwenye kampeni nilipita kwenye […]

The post Mama Samia nae ameanza kazi, leo kaanza na haya baada ya kupita Geita. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Vijimambo

RASIMU YA KATIBA MPYA INAYOPENDEKEZWA HII HAPA; CHENGE AIWEKA HADHARANI KUPIGIWA KURA LEO JUMATATU SEPT 29

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba kutoka Zanzibar, akitafakari wakati rasimu hiyo ikisomwaWasanii wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, waliochangia pakubwa haki za wasanii kutambuliwa kwenye katiba inayopendekezwa mmoja wao ni Martha Mlata amaye naye ni msanii wa nyimbo za injiliWaziri MkuuMstaafu na Mbunge wa jimbo la Monduli mkoani Arusha, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanavikundi waliofika bungeni kusikiliza rasimu ya katiba...

 

9 years ago

Dewji Blog

Magufuli afanya mikutano ya kampeni wilaya ya Busega, Bariadi, Itilima na Meatu mkoani Simiyu leo

 Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli aliyenyanyua kofia (katikati) akiwasili katika uwanja wa  CCM mjini Bariadi kwa ajili ya kuwahutubia kwenye mkutano wa kampeni mkoani Simiyu.
 PICHA NA MICHUZI JR-SIMIYU.

 Wananchi wakishangilia kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni mjini Bariadi.  Wananchi wa Nanga wilaya ya Itilima wakishangilia ujio wa Mgombea Urais wa CCM,Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akipita kuwasalimia  Umati wa wakazi wa kijiji cha Mwanhunzi wilaya ya Meatu wakiwa...

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AFANYA MIKUTANO YA KAMPENI WILAYA YA BUSEGA,BARIADI,ITILIMA NA MEATU MKOANI SIMIYU LEO.

 Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli aliyenyanyua kofia (katikati) akiwasili katika uwanja wa  CCM mjini Bariadi kwa ajili ya kuwahutubia kwenye mkutano wa kampeni mkoani Simiyu. Wananchi wakishangilia kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni mjini Bariadi  Wananchi wa Nanga wilaya ya Itilima wakishangilia ujio wa Mgombea Urais wa CCM,Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akipita kuwasalimia  Umati wa wakazi wa kijiji cha Mwanhunzi wilaya ya Meatu wakiwa wamekusanyika kwenye mkutano wa kampeni...

 

10 years ago

BBCSwahili

Anna Tibaijuka afutwa kazi hadharani

Kashfa ya uchotwaji wa fedha za akaunti ya Escrow imemwondoa kigogo wa pili nchini Tanzania na Rais Kikwete kutangaza kwamba atateua mtu mwingine kuchukua nafasi hiyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Chenge ambana Magufuli ahadi ya JK Simiyu

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli jana aliendelea kubeba mzigo wa Serikali wakati mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge alipomtaka aeleze utekelezaji wa ahadi ya maji iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete miaka mitano iliyopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani