Anna Tibaijuka afutwa kazi hadharani
Kashfa ya uchotwaji wa fedha za akaunti ya Escrow imemwondoa kigogo wa pili nchini Tanzania na Rais Kikwete kutangaza kwamba atateua mtu mwingine kuchukua nafasi hiyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog03 Jul
Waziri wa Ardhi Profesa Anna Tibaijuka asifu kazi inayofanywa na Shirika la Nyumba (NHC)
Waziri wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Makazi Mh. Prof. Anna Tibaijuka akipokewa na Felix Maagi Mkurugenzi wa Fedha wa NHC wakati alipowasili kwenye Banda la Shirika hilo kwenye maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa TANTRADE yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwalimu J.K.Nyerere barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam leo.
Waziri wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Makazi Mh. Prof. Anna Tibaijuka akizungumza na baadhi ya viongozi wa shirika la nyumba nchini NHC baada ya kuwasili kwenye banda hilo...
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Kumradhi Prof Anna Tibaijuka
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Profesa Anna Tibaijuka ampoza Mrema
10 years ago
GPL19 Dec
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MBOLblAwefM/XodQiSgeK5I/AAAAAAALl9s/50gs4g-UU3UXRv3sexT0AXgxWg4jXWyTgCLcBGAsYHQ/s72-c/tibaijuka.jpg)
PROF.ANNA TIBAIJUKA AAGA BUNGENI... AKUMBUKA MACHUNGU YA ESCROW
![](https://1.bp.blogspot.com/-MBOLblAwefM/XodQiSgeK5I/AAAAAAALl9s/50gs4g-UU3UXRv3sexT0AXgxWg4jXWyTgCLcBGAsYHQ/s400/tibaijuka.jpg)
MBUNGE wa Muleba Kusini mkoani Kagera Profesa Anna Tibaijuka ametangaza rasmi kuwa katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu wa 2020 hatagombea tena nafasi ya ubunge na anakwenda kupumzika
huku akitumia nafasi hiyo kuelezea namna alivyoumizwa na sakata la fedha za Escrow.
Profesa Tibaijuka ametangaza uamuzi wake wa kutogombea tena ubunge kwenye jimbo hilo leo Aprili 3 mwaka 2020 ambapo ametumia nafasi hiyo kutoa shukrani kwa wananchi wa Muleba kwa namna ambavyo wamempa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-I85y0IMOUpo/XkoZ0SSkmLI/AAAAAAAAmu8/kxt8Jxnc4q0b-kivdQeb4VCLt3tyvn7SQCEwYBhgL/s72-c/97dc2a5c-a144-4e22-9803-7505fbd7b683.jpg)
PROF. ANNA TIBAIJUKA APONGEZA KUPUNGUA KWA MIMBA WANAFUNZI KAGERA
![](https://1.bp.blogspot.com/-I85y0IMOUpo/XkoZ0SSkmLI/AAAAAAAAmu8/kxt8Jxnc4q0b-kivdQeb4VCLt3tyvn7SQCEwYBhgL/s640/97dc2a5c-a144-4e22-9803-7505fbd7b683.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-96UaWo2frjc/XkoZ0nLsEiI/AAAAAAAAmu8/rsfX74iqNXI1gDuNUzmDM39QCzVu_-KgACEwYBhgL/s640/0a2fbe8b-131d-4c1b-bab0-8a0e446fbdf8.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-noCSf8wltxI/XkoZnSDwUFI/AAAAAAAAmu4/0_w-G-Xuf5oCOmh69G2TDa586My8yPzXgCEwYBhgL/s640/1cd7595f-e550-44e3-b291-55534ae11d73.jpg)
Na Lydia Lugakila Kagera:-
Mbunge wa Muleba kusini mkoani Kagera Prof Anna Tibaijuka kwa kushirikiana na kamati ya siasa ya wilaya hiyo wamepongeza juhudi za Mwalimu Catherine ambaye ni mkuu wa shule ya Sekondari Rukindo iliyopo wilayani humo kwa kusimamia vema...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Q_TN5ijYKcM/VLPu0tCsYHI/AAAAAAADLy0/oA77cFNV8dc/s72-c/aaaaa.jpg)
PROFESA ANNA TIBAIJUKA AWATEMBELEA WAPIGA KURA WENYE KERO YA MAKAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q_TN5ijYKcM/VLPu0tCsYHI/AAAAAAADLy0/oA77cFNV8dc/s640/aaaaa.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_53fZ85yHlc/VLPuz3bIn9I/AAAAAAADLys/F9ly9NRJ_4w/s640/aaaa.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
PROFESA ANNA KAJUMULO TIBAIJUKA: Mwanzilishi wa Bawata mwenye sura mbili
LEO katika safu yetu ya Mwana Mama, tunawaletea Profesa Anna Kajumulo Tibaijuka. Ni wazi habari juu ya Profesa Tibaijuka, zimeandikwa sana. Siandiki juu ya Profesa Tibaijuka Mbunge, mjumbe wa NEC...
10 years ago
Michuzi18 Dec