Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Profesa Anna Tibaijuka alipoongea na wanahabari jijini Dar es salaam leo

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WAZIRI WA ARDHI NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI PROFESA ANNA TIBAIJUKA AKUTANA NA WADAU WA MJI MPYA WA KIGAMBONI DAR ES SALAAM

Waziri Tibaijuka akifunga majadiliano juu ya mradi huo. Waziri Tibaijuka akiwa ameshikana mikono na mbunge was Kigamboni Faustine Ndungulie na baadhi ya madiwani na viongozi wengine kuonyesha maridhiano namna mradi utakavyotekelezwa.Kaimu Mkurugenzi Msaidizi, Usanifu Miji na Uendelezaji Hellenic Mpetuta akitoa mada namna mji mpya utakavyopangiliwa katika mkutano huo uliofanyika Chuo Kikuu cha Kivukoni Dar es Salaam leo.Baadhi ya wadau wakifuatilia mawasilisho ya mada mbalimbali juu ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Profesa Anna Tibaijuka ampoza Mrema

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, juzi alifanya ziara ya kushtukiza katika kiwanda kinachomilikiwa na Kampuni ya Kilimanjaro Manufacturers Ltd.

 

10 years ago

Michuzi

Mhe zitto kabwe aongea na wanahabari jijini Dar es salaam leo

Aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe Zitto Kabwe akiongea na wanahabari hivi sasa katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam leo. Wengine ni viongozi wa juu wa chama cha ACT alikohamia rasmi jana.Habari zaidi zitakuja muda si mrefu ujao

 

10 years ago

Tanzania Daima

PROFESA ANNA KAJUMULO TIBAIJUKA: Mwanzilishi wa Bawata mwenye sura mbili

LEO katika safu yetu ya Mwana Mama, tunawaletea Profesa Anna Kajumulo Tibaijuka. Ni wazi habari juu ya Profesa Tibaijuka, zimeandikwa sana. Siandiki juu ya Profesa Tibaijuka Mbunge, mjumbe wa NEC...

 

10 years ago

Vijimambo

PROFESA ANNA TIBAIJUKA AWATEMBELEA WAPIGA KURA WENYE KERO YA MAKAZI

Aliyekuwa Waziri wa Ardhi Nyumba na Mkazi na Mbunge wa Muleba tiketi ya CCM Profesa Anna Tibaijuka akifanya ziara ya kuwatembelea wapiga kura wake kufuatilia kero za makazi wanazozipata.

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri wa Ardhi Profesa Anna Tibaijuka asifu kazi inayofanywa na Shirika la Nyumba (NHC)

1

Waziri wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Makazi Mh. Prof. Anna Tibaijuka akipokewa na Felix Maagi Mkurugenzi wa Fedha wa NHC wakati alipowasili kwenye Banda la Shirika hilo kwenye maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa TANTRADE yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwalimu J.K.Nyerere barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam leo.

2

Waziri wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Makazi Mh. Prof. Anna Tibaijuka akizungumza na baadhi ya viongozi wa shirika la nyumba nchini NHC baada ya kuwasili kwenye banda hilo...

 

11 years ago

GPL

MAMA SHUJAA WA CHAKULA WAINGIA RASMI KIJIJI CHA MAISHA PLUS, PROFESA ANNA TIBAIJUKA MGENI RASMI KATIKA SHEREHE HIZO

Profesa Anna Tibaijuka Waziri wa Nyumba Ardhi na  maendeleo ya Makazi wa pili kutoka kulia pamoja na Babu wa Kijiji cha Maisha Plus akiwasalimia akina mama Shujaa wa Chakula ambao wameingia Rasmi Kijiji cha Maisha Plus Jana usiku. Akina Mama Shujaa wa Chakula Wakiwa wanamuimbia wimbo maalum Profesa Anna Tibaijuka Waziri wa Nyumba Ardhi na  maendeleo ya Makazi mara baada ya kuwasili Kijijini… ...

 

11 years ago

Michuzi

profesa mwandosya atoa taarifa ya mafuriko na ajali ya helikopta jijini Dar es salaam bungeni

Profesa Mark  Mwandosya, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais asiye na Wizara maalumu na mbunge wa bunge maalum la katiba akitoa taarifa ya mafuriko yaliyosababishwa na mvua inayonyesha katika Jiji la Dar es Salaam, na ajali ya Helikopta iliyotokea uwanja wa ndege wa kimaraifa wa Julius Nyerere  iliyokuwa imewabeba baadhi ya viongozi wa Serikali akiwemo waziri wa Ujenzi Mhe.John Pombe Magufuli ambapo wote walinusurika.

 

11 years ago

Michuzi

BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU YAZUNGUMZA NA WANAHABARI DAR ES SALAAM LEO


Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, elimu na mawasiliano wa bodi ya mikopo Tanzania, Cosmas Mwaisobwa akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam jana kuhusiana na masuala ya mikopo kwa wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu nchini. Pamoja nae ni Ofisa Mwandamizi Habari, elimu na mawasiliano, Veneranda Malima.   *********  1.0     UTANGULIZI
 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu ilianzishwa kwa sheria Na. 9 ya mwaka 2004 na kuanza rasmi majukumu yake Julai 2005. Bodi ina majukumu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani