Mhe zitto kabwe aongea na wanahabari jijini Dar es salaam leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-20a6khW5K4c/VQ6AZSx0GiI/AAAAAAAHMFM/VNSdcJt2L9Y/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
Aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe Zitto Kabwe akiongea na wanahabari hivi sasa katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam leo. Wengine ni viongozi wa juu wa chama cha ACT alikohamia rasmi jana.Habari zaidi zitakuja muda si mrefu ujao
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Xt92GC5hFok/UuvfoiDSKdI/AAAAAAAFJ-U/Phy2l4spfhc/s72-c/unnamed+(26).jpg)
Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu aongea na wanahabari leo
10 years ago
Michuzi18 Dec
10 years ago
VijimamboMWENYEKITI WA VUGUVUGU NCHINI BURUNDI AONGEA NA WANAHABARI HOTEL YA SERENA JIJINI DAR.
***** Mwenyekiti wa vuguvugu za Maandamano Burundi kwa Mara ya kwanza amefika Nchini Tanzania ili kuweza kushuhudia Mkutano wa Dharula kati ya viongozi watano wa Jumuia...
10 years ago
GPLMWENYEKITI WA VUGUVUGU LA MAANDAMANO NCHINI BURUNDI AONGEA NA WANAHABARI HOTEL YA SERENA JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EY_GBB6MTsQ/U2Z4oHVj3bI/AAAAAAAFfWw/JMJg-ldPKqo/s72-c/unnamed+(59).jpg)
Uzinduzi wa Tovuti ya Mhe. Stephen Wasira jijini Dar es salaam leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-EY_GBB6MTsQ/U2Z4oHVj3bI/AAAAAAAFfWw/JMJg-ldPKqo/s1600/unnamed+(59).jpg)
10 years ago
Michuzi01 Jul
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AgYecGYuXCc/U20Sf2yCjhI/AAAAAAAFgk8/umMhzJCW3cM/s72-c/lake+nyasa+072.jpg)
Just in: Balozi wa Malawi nchini Tanzania Mhe. Flossy Gomile-Chidyaonga afariki dunia jijini Dar es salaam leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-AgYecGYuXCc/U20Sf2yCjhI/AAAAAAAFgk8/umMhzJCW3cM/s1600/lake+nyasa+072.jpg)
“Ni kwa masikitiko makubwa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (ya Malawi) unauarifu umma kufariki dunia kwa Balozi Flossy Gomile-Chidyaonga baada ya kuugua kwa muda mfupi jijini Dar es salaam mchana huu”, imesema taarifa iliyotolewa na msemaji wa Wizara hiyo Quent Kalichero.
“Tangu mwaka 2006 Marehemu Bi Flossy...
10 years ago
MichuziZitto Kabwe aongea na Viongozi wa Matawi ya jimbo la Urambo Mkoa wa Tabora wilaya ya Urambo
10 years ago
Dewji Blog14 Jan
Rais Kikwete na Mkewe wamjulia hali mbunge wa Namtumbo Mhe Vita Kawawa aliyelazwa hospitali ya AMI jijini Dar es Salaam leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakimjulia hali Mbunge wa Namtumbo Mhe. Vita Kawawa aliyelazwa katika hospitali ya AMI jijini Dar es salaam akipatiwa matibabu ya tumbo. Katikati yao ni Mhe Adam Malima, nai bu Waziri wa Fedha na kushoto ni Daktari katika wodi hiyo.(PICHA NA IKULU).