Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto Kabwe aongea na Viongozi wa Matawi ya jimbo la Urambo Mkoa wa Tabora wilaya ya Urambo

 Kiongozi Mkuu wa Chama cha ATC Wazalendo Zitto Kabwe akiongea na Viongozi wa Matawi ya jimbo la Urambo Mkoa wa Tabora wilaya ya Urambo katika Mkutano Mkuu wa Jimbo la Urambo.  (PICHA ZOTE  NA KHAMISI MUSSA) Wanachama wakimsikiliza kiongozi wao Mkuu. Wanachama wakimsikiliza Kionozi wao Mkuu kwa umakini mkubwa. Katibu Kata Urambo Kati, Mkulila Shabani akizungumza mbelea ya kiongozi Mkuu wa chama na Viongozi wa Matawi ya jimbo la Urambo Mkoa wa Tabora wilaya ya Urambo  Mwenyeti Kata ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

ZITTO KABWE MGENI RASMI MKUTANO MKUU WA JIMBO LA URAMBO

Kiongozi Mkuu wa Chama cha ATC Wazalendo Zitto Kabwe akiongea na Viongozi wa Matawi ya jimbo la Urambo Mkoa wa Tabora wilaya ya Urambo katika Mkutano Mkuu wa Jimbo la Urambo. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)Wanachama wakimsikiliza kiongozi wao Mkuu.Wanachama wakimsikiliza Kionozi wao Mkuu kwa umakini mkubwa.Katibu Kata Urambo Kati, Mkulila Shabani akizungumza mbelea ya kiongozi Mkuu wa chama na Viongozi wa Matawi ya jimbo la Urambo Mkoa wa Tabora wilaya ya UramboMwenyeti Kata ya Kiloleni...

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AENDELEA NA MIKUTANO YAKE YA KAMPENI WILAYA YA SIKONGE,KALIUA,ULYANKULU NA URAMBO MKOANI TABORA

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha CCM Dkt Magufuli akiwahutubia wakazi wa mji wa kaliua alipokuwa akiwahutubia wakazi hao katika uwanja wa Kolimba,kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni.   Wakazi wa mji wa Kaliua wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM,Dkt Magufuli alipokuwa akiwahutubia. Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akimkabidhi Ilani ya CCM Mgombea Ubunge wa jimbo la Kaliua kupitia chama cha CCM Prof.Juma Kapuya  Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akisalimiana...

 

9 years ago

Dewji Blog

Magufuli aendelea na mikutano yake ya kampeni Wilaya ya Sikonge, Kaliua, Ulyankulu na Urambo mkoani Tabora

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha CCM Dkt. Magufuli akiwahutubia wakazi wa mji wa kaliua alipokuwa akiwahutubia
wakazi hao katika uwanja wa Kolimba,kwenye mkutano wa hadhara wa
kampeni. PICHA NA MICHUZI JR-URAMBO,TABORA   Wakazi wa mji wa Kaliua wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM,Dkt Magufuli alipokuwa akiwahutubia.  Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akimkabidhi Ilani ya CCM Mgombea Ubunge wa jimbo la Kaliua kupitia chama cha CCM Prof.Juma Kapuya

 

10 years ago

Vijimambo

ZITTO KABWE AWAHUTUBIA WAKAZI WA MKOA WA TABORA

4
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akiwahubia wakazi wa mji wa Tabora juzi wakati wa mkutano wa hadhara kwenye viwanja vya ,Town School, mara baada ya kuzindua Azimio la Tabora lililouhishwa kutoka azimio la Arusha.2
Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Samson Mwigamba,  akiwahutubia wakazi wa mji wa Tabora juzi wakati wa mkutano wa hadhara kwenye viwanja vya ,Town School, mara baada ya kuzindua Azimio la Tabora lililouhishwa kutoka azimio la Arusha.
3
Mwenyekiti wa Chama cha ACT...

 

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA MWENZA WA UKAWA JUMA HAJI DUNI AFANYA MIKUTANO YA KAMPENI URAMBO, TABORA

Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akihutubia mamia ya wakazi wa jimbo la Urambo Mashariki mkoani Tabora wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Mwananchi Square. (Picha na Francis Dande)Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni (kushoto) akimkabidhi kadi ya Chadema aliyekuwa Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya CCM Kata ya Ugala Urambo, Tabora, Hamidu Mussa baada ya kukiahama chama hicho na kujiunga na Chadema wakati wa mkutano wa kampeni...

 

10 years ago

Michuzi

KIONGOZI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO, ZITTO KABWE AWAHUTUBIA WAKAZI WA MKOA WA TABORA


4Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Tabora juzi wakati wa mkutano wa hadhara kwenye viwanja vya Town School, mara baada ya kuzindua Azimio la Tabora lililouhishwa kutoka azimio la Arusha.2Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Samson Mwigamba,  akiwahutubia wakazi wa mji wa Tabora juzi wakati wa mkutano wa hadhara kwenye viwanja vya ,Town School, mara baada ya kuzindua Azimio la Tabora lililouhishwa kutoka azimio la Arusha.3Mwenyekiti wa Chama cha...

 

10 years ago

Michuzi

Mhe zitto kabwe aongea na wanahabari jijini Dar es salaam leo

Aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe Zitto Kabwe akiongea na wanahabari hivi sasa katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam leo. Wengine ni viongozi wa juu wa chama cha ACT alikohamia rasmi jana.Habari zaidi zitakuja muda si mrefu ujao

 

10 years ago

Vijimambo

YALIYOJIRI KWENYE MKUTANO WA ZITTO KABWE MKOANI TABORA

 Zitto akionyesha nguo za chama za Mwenyekiti wa Wazee wa CCM Wilaya ya Urambo Bakari Humbe, aliyeamua kuhama Chama Cha Mapinduzi. (Picha na Said Powa)Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Urambo Mkoani Tabora huku akinyeshewa mvua majira ya mchana jana, ambapo chama hicho kinaendelea na ziara ya kusaka uungwaji mkono na wananchi. Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Tabora kwenye viwanja vya Shule ya...

 

11 years ago

Laws To End Students' Truancy

Urambo enacts by


Urambo enacts by-laws to end students' truancy
Daily News
URAMBO District Council has endorsed penalties for parents of truant students who will be liable to pay up to 300,000/-. The council meeting which met here over the weekend endorsed by laws which a parent or guardian whose child will be found guilty of ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani