Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PROF. ANNA TIBAIJUKA AGOMA KUJIUZULU

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

TIBAIJUKA AGOMA KUJIUZULU

“Mimi Nijiuzulu kwa sababu gani? yaani kwa sababu ya mafanikio ya kuwakomboa wanawake kwenye Elimu ndio mimi nijuzulu,maana kujiuzulu kunasababu, na hakuna sababu ya mimi kufanya hivyo na sitofanya hivyo kwani wanaodai mimi nijiuzulu ni wanafiki wenye nia mbaya na mimi ,na mimi sijiuzulu ng’o na nikifanya wanavyotaka Rais atashangaa ”alisema Waziri Tibaijuka.
“Leo natuhumiwa na kila mtu kwamba nimepewa pesa na Rugimalira kwamba ni za kifisadi,Jamani tuwe wa kweli kuhusu madai haya maana...

 

10 years ago

Vijimambo

HOTUBA YA JK, PROF. TIBAIJUKA AOMBWA KUJIUZULU, PROF MUHONGO AWEKWA KIPORO


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisoma hotuba yake kwa Wazee wa mkoa wa Dar es Salaam kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. ( Picha na Adam Mzee)Ukumbi wa Diamond Jubilee ukiwa umefurika Wazee waliokuja kumsikiliza Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete.Ukumbi ulifurika kila kona.
--Rais Kikwete ameanza kuongea na wazee wa Mkoa wa Dar katika Ukumbi wa Diamond Jubilee ambapo Watanzania wanataraji atoe mwongozo kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow na...

 

11 years ago

Mwananchi

Kumradhi Prof Anna Tibaijuka

Katika toleo la Alhamisi Januari 9, 2014 gazeti hili lilichapisha habari kuhusu matokeo ya ziara ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka katika Shamba la Mpunga la Kapunga, wilayani Mbarali mkoani Mbeya.

 

10 years ago

GPL

PROF. TIBAIJUKA AKATAA KUJIUZULU

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka, akiongea na wanahabari hivi punde ndani ya Hyatt Regency Hotel Dar es Salaam amesema haoni sababu ya kujiuzulu kutokana na sakata la akaunti ya Escrow. Aongeza kuwa watu wanaona suala la kujiuzulu kama fasheni ila yeye hayupo katika fasheni hiyo.

 

5 years ago

Michuzi

PROF.ANNA TIBAIJUKA AAGA BUNGENI... AKUMBUKA MACHUNGU YA ESCROW

Na Said Mwishehe,Michuzi TV

MBUNGE wa Muleba Kusini mkoani Kagera Profesa Anna Tibaijuka ametangaza rasmi kuwa katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu wa 2020 hatagombea tena nafasi ya ubunge na anakwenda kupumzika
huku akitumia nafasi hiyo kuelezea namna alivyoumizwa na sakata la fedha za Escrow.

Profesa Tibaijuka ametangaza uamuzi wake wa kutogombea tena ubunge kwenye jimbo hilo leo Aprili 3 mwaka 2020 ambapo ametumia nafasi hiyo kutoa shukrani kwa wananchi wa Muleba kwa namna ambavyo wamempa...

 

10 years ago

Michuzi

Siwezi kujiuzulu kwa fedha ya Tegeta Escrow - Prof. Tibaijuka

NA CHALILA KIBUDA WA GLOBU YA JAMII.

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Makazi,Profesa Anna Tibajuka amesema kuwa hawezi kujiuzulu katika nafasi  ya uwaziri kutokana fedha ya Tegeta ESCROW.
Akizungumza  na Waandishi na Habari mapema leo jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Hoteli ya Hayyat Regency,Anna alisema kuwa udalali wake fedha hiyo ni kwa ajili ya wanafunzi katika shule  za Taasisi ya  Johansson  Girls Education Trust.

Alisema fedha hiyo aliyoipata ni ni bil 1.66 ambazo zilitoka katika kampuni...

 

5 years ago

CCM Blog

PROF. ANNA TIBAIJUKA APONGEZA KUPUNGUA KWA MIMBA WANAFUNZI KAGERA

Sehemu ya matembezi ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo
Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM wilayani Muleba Athuman Kahara akizungumza na wananchi
Mbunge wa Muleba kusini mkoani Kagera Prof Anna Tibaijuka akizungumza na wananchi wake

Na Lydia Lugakila Kagera:-

Mbunge wa Muleba kusini mkoani Kagera Prof Anna Tibaijuka kwa kushirikiana na kamati ya siasa ya wilaya hiyo wamepongeza juhudi za Mwalimu Catherine ambaye ni mkuu wa shule ya Sekondari Rukindo  iliyopo wilayani  humo kwa kusimamia vema...

 

10 years ago

Vijimambo

MHESHIMIWA PROF. ANNA TIBAIJUKA BORA UJIUZULU KULINDA HESHIMA YAKO NA CHAMA

Mheshimiwa Bi.Anna Tibaijuka (Mb)
Na Projectus Ishengoma LugumalilaMheshimiwa Bi.Anna Tibaijuka (Mb) Waziri wa Ardhi ni moja wa viongozi wachache sana wenye ujasiri na kiongozi muwazi katika sakata zima la Tageta ESCROW,kwani kiongozi huyu amekili wazi kuwa amepokea fedha Billion 1.6 kutoka kwa mmiliki
wa kampuni ya VIP Engineering Bw.James Rugimalira,tena si fedha ndogo.

Si jambo jema kumuhukumu Mheshimiwa Anna Tibaijuka,lakini sio vibaya kumshauri kwa kuwa amekuwa muwazi katika sakata...

 

11 years ago

Dewji Blog

Katibu wa nchi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ushelisheli ateta na Prof. Anna Tibaijuka

1

Katibu wa Nchi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ushelisheli, Barry Faure (Kulia) akitia saini kitabu cha wageni wakati alipowasili kwenye Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , Prof. Anna Tibaijuka jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo.Kushoto ni Afisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania.

2

Katibu wa Nchi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ushelisheli, Barry Faure (Kulia) akizungumza na Wazirii wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , Prof. Anna Tibaijuka (Kushoto) wakati alipotembelea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani