Giroud ameanza kazi tayari akiwa Chelsea
Tukiwa tunasubiria game ya UEFA Champions League kati ya Barcelona dhidi ya Chelsea, usiku wa February 16 Chelsea imecheza game yake ya FA Cup dhidi ya Hull City katika uwanja wao wa Stamford Bridge. Chelsea licha ya kuwa imekuwa haifanyi vizuri katika Ligi Kuu kwa baadhi ya mechi zao kiasi cha kuhesabiwa kuwa msimu huu […]
MillardAyo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Mirror Online30 Mar
Karim Benzema repeats ridicule of Chelsea striker Olivier Giroud with fresh declaration
9 years ago
MillardAyo15 Dec
TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi …
Headlines za soka bado zinachukua nafasi kila kukicha na mimi mtu wangu siachi kukujuza kila linalonifikia, hususani katika kuelekea kipindi hiki cha dirisha dogo la usajili la mwezi January. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TOP 5 stori za soka zilizoandikwa sana barani Ulaya. 5- Chelsea kutangaza dau la kumsajili Stones mwezi Janury Baada ya […]
The post TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi … appeared...
5 years ago
The Sun11 Apr
11pm Chelsea news LIVE: Kante could go for right price, Giroud new contract talks, Chilwell transfer to cost
5 years ago
The Sun06 Apr
7.45am Chelsea news LIVE: Philippe Coutinho transfer LATEST, Jadon Sancho update, Spurs want Giroud
5 years ago
We Ain't Got No History20 Feb
Chelsea 0-2 Manchester United, Player Ratings: Batsman flops, Giroud rises, Kovačić top
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-sQz0jxSRF8E/VToKVAQTuGI/AAAAAAAAsiA/Zqy4QvTuJQY/s72-c/wema%2Bsepetu990.jpg)
PICHA YA WEMA SEPETU AKIWA HOSPITALI YASHUA WENGI. WENGI WAULIZA KAMA NDO AMEANZA MATIBABU YA KUPATA MTOTO
![](http://api.ning.com/files/nBD8FQWarq-4R4WFf5QoJ*rzQSw0U9KUDL31XKiP1mNjS1erGKSqtvZe1mZJKHS51JEut23QP6TvboUuWotlUSMi6vmJn78e/wemasepetu.jpg)
The socialite, The Actress kutoka kiwanda cha filamu Tanzania Bongo Movie Wema Sepetu, baada ya kutangaza kuwa anatatizo la kutozaa kwa muda mrefu na angetamani siku moja kupata mtoto wamejitokeza madakatari wengi na kutaka kumtibu.Lakini kabla ya kuanza kumtibu amewapa angalizo kwamba wakati anaanza kutiwa akawa na mwenza wake kabisa ambae wwatukuwa wamekubaliana pale tatizo litakapokuwa limeisha tu basi mara moja waweze kupata mtoto..Hilo ndilo angalizo la Wema Sepetu ambae anatamani sana...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9nSRfdG0qAI/VfbJyRLS05I/AAAAAAAALIE/L16uUCur-NA/s72-c/_MG_8367.jpg)
Magufuli ameanza kazi: Amtosa Chenge hadharani huko Mjini Bariadi
![](http://2.bp.blogspot.com/-9nSRfdG0qAI/VfbJyRLS05I/AAAAAAAALIE/L16uUCur-NA/s640/_MG_8367.jpg)
MAGUFULI AMTOSA CHENGE BARIADI.Katika kile ambacho wachunguzi wa mambo ya kisiasa wamekiita tukio la kimapinduzi na mwanzo wa mabadiliko mapya ndani ya CCM, Mgombea wa Urais kwa ticket ya CCM Dr. John Magufuli amefanya kile ambacho Rais Jakaya Kikwete na Edward Lowassa wameshindwa, kumtosa Andrew Chenge hadharani.Mwanasheria huyo mkuu wa zamani ambaye anahusika kwenye kashfa mbalimbali zilizozikumba taifa hili, ambaye ndio alikuwa mratibu wa kampeni za Urais za Edward Lowassa alipokuwa CCM...
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Mama Samia nae ameanza kazi, leo kaanza na haya baada ya kupita Geita.
Ripoti iliyonifikia nikutokea Mkoa wa Geita, Makamu wa rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan aliwasili Geita jioni ya leo na akakutana na uongozi wa mkoa wa Geita, Inshu ni wananchi wanufaike na mgodi wao wa dhahabu Geita Geita Gold Mine.…kutana na sentensi zake; Makamu wa rais Mama Samia ‘Wakati nilipopita kwenye kampeni nilipita kwenye […]
The post Mama Samia nae ameanza kazi, leo kaanza na haya baada ya kupita Geita. appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Video iliyodakwa na Sky News ya Mourinho akiondoka uwanja wa mazoezi wa Chelsea akiwa kaficha uso …
Baada ya headlines za muda mrefu kuhusu hatma ya aliyekuwa kocha wa klabu ya Chelsea ya Uingereza Jose Mourinho kuendelea au kutoendelea kukiknoa kikosi hicho kutokana na mfululizo wa matokeo mabovu, December 17 uongozi wa Chelsea kupitia kwa mmiliki wake Roman Abramovich ulitangaza uamuzi wa kumfuta kazi kocha huyo. Jose Mourinho alifutwa kazi baada ya kuongoza […]
The post Video iliyodakwa na Sky News ya Mourinho akiondoka uwanja wa mazoezi wa Chelsea akiwa kaficha uso … appeared first on...