Video iliyodakwa na Sky News ya Mourinho akiondoka uwanja wa mazoezi wa Chelsea akiwa kaficha uso …
Baada ya headlines za muda mrefu kuhusu hatma ya aliyekuwa kocha wa klabu ya Chelsea ya Uingereza Jose Mourinho kuendelea au kutoendelea kukiknoa kikosi hicho kutokana na mfululizo wa matokeo mabovu, December 17 uongozi wa Chelsea kupitia kwa mmiliki wake Roman Abramovich ulitangaza uamuzi wa kumfuta kazi kocha huyo. Jose Mourinho alifutwa kazi baada ya kuongoza […]
The post Video iliyodakwa na Sky News ya Mourinho akiondoka uwanja wa mazoezi wa Chelsea akiwa kaficha uso … appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Mapaparazzi wakamnasa Mourinho kwenye hii video akiondoka uwanjani baada ya kufukuzwa kazi Chelsea
December 17 uongozi wa club ya soka ya Chelsea kupitia kwa mmiliki wake Roman Abramovich ulitangaza uamuzi wa kumfuta kazi kocha Jose Mourinho baada ya kuongoza Chelsea mechi 16 msimu huu, kufungwa tisa, kushinda nne na kutoa sare mechi tatu. Mourinho alipelekewa taarifa za kufutwa kwake kazi akiwa uwanjani akifanya mazoezi na timu ambapo Waandishi wa habari wasioacha tone la […]
The post Mapaparazzi wakamnasa Mourinho kwenye hii video akiondoka uwanjani baada ya kufukuzwa kazi Chelsea...
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Chelsea uso kwa uso na Derby County
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-z935fnKvEsU/VMiYqnrP71I/AAAAAAADMlg/kHbeMG4RlXo/s72-c/IMG-20150127-WA0021.jpg)
WAZIRI SITTA USO KWA USO WA WADADA WAWILI WALIOKAMATWA UWANJA WA NDEGE KWA MADAWA YA KULEVYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-z935fnKvEsU/VMiYqnrP71I/AAAAAAADMlg/kHbeMG4RlXo/s1600/IMG-20150127-WA0021.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z5xNLNhs7Eo/VMiYolgcCCI/AAAAAAADMlA/SDA8gPzI3tQ/s1600/IMG-20150127-WA0015.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iQCTnrOy-Hw/VMiYomWS1nI/AAAAAAADMlE/XDiki9nEG2s/s1600/IMG-20150127-WA0016.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lbHN9wqDpHU/VMiYptX3AQI/AAAAAAADMlQ/bBRqU9TtnPo/s1600/IMG-20150127-WA0018.jpg)
9 years ago
VijimamboBREAKING NEWS: MAMA REGINA LOWASSA USO KWA USO NA MWANA DIASPORA, LIBERATUS MWANG'OMBE
Mama Lowassa alishangazwa na umati uliojitokeza baada ya taarifa ya masaa matutu kuwa atasimama Chimala. Mh. Mwang'ombe akitoa shukrani zake kwa mama Lowassa kufika Mbarali alisema "Mbarali ina wapiga...
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Kutana na video ya dakika 1 ya mkusanyiko wa matukio ya Mourinho ambayo hana furaha Chelsea …
December 16 stori zilizopo kwenye mitandao mingi ya soka barani Ulaya ni kuhusu uamuzi wa uongozi wa klabu ya Chelsea kuhitisha mkutano wa dharura na kujadili mwenendo wa timu yao sambamba na kumjadili kocha Jose Mourinho. Nimekutana na video hii kutoka BBC ambayo wamekusanya matukio kadhaa ya Jose Mourinho akiwa hana furaha ndani ya Chelsea […]
The post Kutana na video ya dakika 1 ya mkusanyiko wa matukio ya Mourinho ambayo hana furaha Chelsea … appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0eyGrjq21aU/VSqMPxng9dI/AAAAAAAHQsM/TX-d2qNbzDM/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
news alert: Ajali ingine yatokea Soni leo, lori la mafuta lagongana na basi la abiria uso kwa uso
![](http://2.bp.blogspot.com/-0eyGrjq21aU/VSqMPxng9dI/AAAAAAAHQsM/TX-d2qNbzDM/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Enjoy dakika nne za ushindi wa kwanza wa Chelsea bila Mourinho na kipigo cha Man United Old Trafford (+Video)
Jumamosi ya December 19 zimechezwa mechi saba za Ligi Kuu Uingereza, michezo ambayo ilikuwa inatajwa kuwa na mvuto zaidi ni mchezo kati ya Chelsea dhidi ya Sunderland. Huu ulikuwa na mvuto kwa sababu ndio mchezo wa kwanza wa Chelsea kucheza bila kuwepo kwa aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo Jose Mourinho.Chelsea imefanikiwa kuifunga Sunderland kwa jumla […]
The post Enjoy dakika nne za ushindi wa kwanza wa Chelsea bila Mourinho na kipigo cha Man United Old Trafford (+Video) appeared first on...
10 years ago
Bongo515 Dec
Video/Picha: Davido na Wizkid wakutana uso kwa uso na kula bata pamoja
5 years ago
The Sport Review08 Mar
Sky Sports pundit states his prediction for Chelsea FC v Everton