Enjoy dakika nne za ushindi wa kwanza wa Chelsea bila Mourinho na kipigo cha Man United Old Trafford (+Video)
Jumamosi ya December 19 zimechezwa mechi saba za Ligi Kuu Uingereza, michezo ambayo ilikuwa inatajwa kuwa na mvuto zaidi ni mchezo kati ya Chelsea dhidi ya Sunderland. Huu ulikuwa na mvuto kwa sababu ndio mchezo wa kwanza wa Chelsea kucheza bila kuwepo kwa aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo Jose Mourinho.Chelsea imefanikiwa kuifunga Sunderland kwa jumla […]
The post Enjoy dakika nne za ushindi wa kwanza wa Chelsea bila Mourinho na kipigo cha Man United Old Trafford (+Video) appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo06 Dec
CHELSEA FC YAKUBALI KIPIGO CHAKE CHA KWANZA YACHAPWA 2-1 NA NEWCASTLE UNITED
![](http://api.ning.com/files/-7oxPj1gJLkRdoggOpg5DKn9BEqO5z942EeR36wZxoLRkYog4A*0-DpLbeT9kxkuWy0xfJF*X0GWmoMz4UdebYI4wFLyIGTp/23CD904C000005780imagea41_1417875115171.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/-7oxPj1gJLnnR4GrjnUu8VCWq2cFJ346ghA7-kF*GsEiNhPjsMyv--kygkVvDaY5wznIG-p--34UnxcKx4lhheT2MuIg7aUh/23CD8FF3000005780imagea42_1417875120260.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/-7oxPj1gJLmH6QYDFyTtIn2ndjlGlPELNHoLmQtLfGirY2XxPit8FA5P*AMjk7RTrHLJUswkh2LHe0JBfFpKon4xhs98FXtt/23CDAF1C000005780imagea50_1417876542208.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/-7oxPj1gJLlI4PKIL3zL-0VEql6AFOotun*Ic9DAMYGiDYgKcEYquvAJw9ZxAWk2gQLjrwd0Lyor6XCBZqWL9aAK7VQPWk6H/23CD8AA1000005780imagea40_1417875105147.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/-7oxPj1gJLlBDO3cixMnjfQQ-QffCT5oVnFp1L2uOE4YQqL1ht-9R9hChptNil2bfc42KI46lVng2QHCD*Vq7B-U-5JvSz4T/23CDB3B7000005780imagea56_1417876688787.jpg?width=650)
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Kilichojiri Old Trafford kati ya Man United Vs Chelsea, kutana na matokeo ya mechi za EPL (+Pichaz&Video)
Michezo 8 ya Ligi Kuu Uingereza imechezwa leo Jumatatu ya December 28, ikiwa ni muendelezo wa mechi za Ligi Kuu Uingereza, mechi ambayo ilikuwa inapewa nafasi kubwa na hisia za mashabiki wengi wa soka, ni mchezo kati ya Man United dhidi ya klabu ya Chelsea iliyomtimua Jose Mourinho hivi karibuni na kumpa kibarua cha muda […]
The post Kilichojiri Old Trafford kati ya Man United Vs Chelsea, kutana na matokeo ya mechi za EPL (+Pichaz&Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Pichaz 10 za Man United wakiwasili Old Trafford kinyonge kuisubiri Chelsea …
Mtu wangu wa nguvu bado headlines za Man United zinaendelea kuchukua nafasi, baada ya kufungwa na Stoke City 2-0, na kuingia katika headlines ya kufungwa mechi nne mfululizo, rekodi ambayo ilidumu kwa miaka 54. Kabla ya kukubali kipigo cha goli 2-0 kutoka kwa Stoke City, Man United walikuwa hawajawahi kufungwa mechi nne mfululizo toka mwaka […]
The post Pichaz 10 za Man United wakiwasili Old Trafford kinyonge kuisubiri Chelsea … appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo17 Dec
TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola..
Kabla siku haijaisha mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee stori 5 za soka zilizoingia katika headlines siku ya December 17, kuna mengi yamezungumzwa katika stori za soka December 17 ikiwemo stori za kufukuzwa kwa mara ya pili kwa kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho. Hizi ndio TOP 5 ya stori za soka December 17. […]
The post TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola.. appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Kutana na video ya dakika 1 ya mkusanyiko wa matukio ya Mourinho ambayo hana furaha Chelsea …
December 16 stori zilizopo kwenye mitandao mingi ya soka barani Ulaya ni kuhusu uamuzi wa uongozi wa klabu ya Chelsea kuhitisha mkutano wa dharura na kujadili mwenendo wa timu yao sambamba na kumjadili kocha Jose Mourinho. Nimekutana na video hii kutoka BBC ambayo wamekusanya matukio kadhaa ya Jose Mourinho akiwa hana furaha ndani ya Chelsea […]
The post Kutana na video ya dakika 1 ya mkusanyiko wa matukio ya Mourinho ambayo hana furaha Chelsea … appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Kwa kipigo cha Stoke City, huenda siku za Van Gaal Man United zikawa zinahesabika … (+Pichaz&Video)
Ligi Kuu Uingereza imeendelea tena leo December 26 siku ya Boxing Day kwa michezo 10 ila mchezo wa awali ulikuwa kati ya Stoke City dhidi ya Manchester United katika dimba la Britannia lenye uwezo wa kubeba zaidi ya mashabiki 27000 kwa mara moja. Huu ni mchezo wa 18 kwa timu zote mbili ila unatajwa kuwa […]
The post Kwa kipigo cha Stoke City, huenda siku za Van Gaal Man United zikawa zinahesabika … (+Pichaz&Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo20 Dec
Sababu nne za kwa nini Man United wanatakiwa wamfukuze Louis van Gaal na kumuajiri Jose Mourinho …
Hizi ni stori au mkusanyiko wa mawazo ya waandishi wa habari wa Uingereza na wchambuzi wa masuala ya soka Uingereza, Jose Mourinho na Louis van Gaal ndio makocha ambao walikuwa wanahusishwa kwa kiasi kikubwa kupewa nafasi ya kufukuzwa kazi kutokana na mwenendo wa timu zao. Tayari Jose Mourinho kafukuzwa Chelsea ila hatujui Man United wataamua […]
The post Sababu nne za kwa nini Man United wanatakiwa wamfukuze Louis van Gaal na kumuajiri Jose Mourinho … appeared first on...
9 years ago
MillardAyo27 Dec
Arsenal yakubali kipigo cha nne msimu huu dhidi ya Southampton,kutana na video ya magoli na pichaz …
Baada ya michezo tisa ya Ligi Kuu Uingereza kupigwa Jumamosi ya December 26 siku ya Boxing Day, ulibakia mchezo mmoja ambao ulikuwa unachezwa usiku wa December 26. Mchezo ambao ulikuwa unachezwa usiku wa December 26 ni mechi kati ya Southampton dhidi ya Arsenal katika dimba la St Mary’s lenye uwezo wa kubeba zaidi ya mashabiki […]
The post Arsenal yakubali kipigo cha nne msimu huu dhidi ya Southampton,kutana na video ya magoli na pichaz … appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Dakika 7 za Kumwembe na Saleh Ally wakichambua kuhusu Chelsea kumtimua Mourinho, ni sahihi? kosa lake … (+Audio)
Headlines za soka la kimataifa kwa sasa ni kuhusu uongozi wa klabu ya Chelsea kuamua kumuachisha kazi Jose Mourinho, taarifa ambazo zilitoka mchana wa December 17. Kila mtu kaongea lake ila AMPLIFAYA ya Clouds FM iliwatafuta wachambuzi na waandishi wa habari za michezo Edo Kumwembe na Saleh Ally kuhusu uamuzi wa Chelsea kumfuta kazi ni uamuzi […]
The post Dakika 7 za Kumwembe na Saleh Ally wakichambua kuhusu Chelsea kumtimua Mourinho, ni sahihi? kosa lake … (+Audio) appeared first on...