Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pichaz 10 za Man United wakiwasili Old Trafford kinyonge kuisubiri Chelsea …

Mtu wangu wa nguvu bado headlines za Man United zinaendelea kuchukua nafasi, baada ya kufungwa na Stoke City 2-0, na kuingia katika headlines ya kufungwa mechi nne mfululizo, rekodi ambayo ilidumu kwa miaka 54. Kabla ya kukubali kipigo cha goli 2-0 kutoka kwa Stoke City, Man United walikuwa hawajawahi kufungwa mechi nne mfululizo toka mwaka […]

The post Pichaz 10 za Man United wakiwasili Old Trafford kinyonge kuisubiri Chelsea … appeared first on TZA_MillardAyo.

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Kilichojiri Old Trafford kati ya Man United Vs Chelsea, kutana na matokeo ya mechi za EPL (+Pichaz&Video)

Michezo 8 ya Ligi Kuu Uingereza imechezwa leo Jumatatu ya December 28, ikiwa ni muendelezo wa mechi za Ligi Kuu Uingereza, mechi ambayo ilikuwa inapewa nafasi kubwa na hisia za mashabiki wengi wa soka, ni mchezo kati ya Man United dhidi ya klabu ya Chelsea iliyomtimua Jose Mourinho hivi karibuni na kumpa kibarua cha muda […]

The post Kilichojiri Old Trafford kati ya Man United Vs Chelsea, kutana na matokeo ya mechi za EPL (+Pichaz&Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Enjoy dakika nne za ushindi wa kwanza wa Chelsea bila Mourinho na kipigo cha Man United Old Trafford (+Video)

Jumamosi ya December 19 zimechezwa mechi saba za Ligi Kuu Uingereza, michezo ambayo ilikuwa inatajwa kuwa na mvuto zaidi ni mchezo kati ya Chelsea dhidi ya Sunderland. Huu ulikuwa na mvuto kwa sababu ndio mchezo wa kwanza wa Chelsea kucheza bila kuwepo kwa aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo Jose Mourinho.Chelsea imefanikiwa kuifunga Sunderland kwa jumla […]

The post Enjoy dakika nne za ushindi wa kwanza wa Chelsea bila Mourinho na kipigo cha Man United Old Trafford (+Video) appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Wakati Man United na Chelsea ikiwaza namna ya kupata saini ya Pep Guardiola, kutana na pichaz zake akitalii Kenya …

Kocha wa klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani Pep Guardiola December 29 aliingia kwenye headlines baada ya kutua Kenya kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu ya Christimas na mwaka mpya, ujio wake Kenya uliwashangaza wengi kutokana na kuja kimya kimya. Ninazo pichaz za Pep Guardiola akitalii Kenya wakati ambao vilabu vya Chelsea na Man United vikitajwa kwa […]

The post Wakati Man United na Chelsea ikiwaza namna ya kupata saini ya Pep Guardiola, kutana na pichaz zake akitalii Kenya … appeared...

 

9 years ago

MillardAyo

TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola..

Kabla siku haijaisha mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee stori 5 za soka zilizoingia katika headlines siku ya December 17, kuna mengi yamezungumzwa katika stori za soka December 17 ikiwemo stori za kufukuzwa kwa mara ya pili kwa kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho. Hizi ndio TOP 5 ya stori za soka December 17. […]

The post TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola.. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Kwa kipigo cha Stoke City, huenda siku za Van Gaal Man United zikawa zinahesabika … (+Pichaz&Video)

Ligi Kuu Uingereza imeendelea tena leo December 26 siku ya Boxing Day kwa michezo 10 ila mchezo wa awali ulikuwa kati ya Stoke City dhidi ya Manchester United katika dimba la Britannia lenye uwezo wa kubeba zaidi ya mashabiki 27000 kwa mara moja. Huu ni mchezo wa 18 kwa timu zote mbili ila unatajwa kuwa […]

The post Kwa kipigo cha Stoke City, huenda siku za Van Gaal Man United zikawa zinahesabika … (+Pichaz&Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yaapa kuichapa Man United

Meneja wa Chelsea Jose Mourinho amesema kuwa viongozi hao wa ligi ya Uingereza wataimarisha mchezo wao dhidi ya Man United.

 

10 years ago

Mwananchi

Man United yajiandaa kuikasirisha Chelsea

Klabu ya Manchestr United imejiandaa kuiudhi Chelsea kwa kumsajili beki mahiri ambaye amekuwa akifuatiliwa kwa muda mrefu na klabu hiyo kinara wa Ligi Kuu England.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani