Man United yajiandaa kuikasirisha Chelsea
Klabu ya Manchestr United imejiandaa kuiudhi Chelsea kwa kumsajili beki mahiri ambaye amekuwa akifuatiliwa kwa muda mrefu na klabu hiyo kinara wa Ligi Kuu England.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo17 Dec
TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola..
Kabla siku haijaisha mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee stori 5 za soka zilizoingia katika headlines siku ya December 17, kuna mengi yamezungumzwa katika stori za soka December 17 ikiwemo stori za kufukuzwa kwa mara ya pili kwa kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho. Hizi ndio TOP 5 ya stori za soka December 17. […]
The post TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola.. appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
BBCSwahili26 Oct
Chelsea yaapa kuichapa Man United
10 years ago
BBCSwahili26 Apr
Man United yalimwa,Chelsea yatoka sare
5 years ago
The Pride Of London19 Feb
Chelsea: Three lessons learned (only one about VAR) in loss to Man United
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Pichaz 10 za Man United wakiwasili Old Trafford kinyonge kuisubiri Chelsea …
Mtu wangu wa nguvu bado headlines za Man United zinaendelea kuchukua nafasi, baada ya kufungwa na Stoke City 2-0, na kuingia katika headlines ya kufungwa mechi nne mfululizo, rekodi ambayo ilidumu kwa miaka 54. Kabla ya kukubali kipigo cha goli 2-0 kutoka kwa Stoke City, Man United walikuwa hawajawahi kufungwa mechi nne mfululizo toka mwaka […]
The post Pichaz 10 za Man United wakiwasili Old Trafford kinyonge kuisubiri Chelsea … appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Man United na Chelsea zatoka sare, matokeo mengine yapo hapa
Na Rabi Hume,Modewjiblog
Ligi Kuu ya Wingereza jana usiku imeendelea kwa kuchezwa michezo nane katika viwanja tofauti huku mchezo mkubwa uliokuwa unasubiriwa kwa hamu ni kati ya Manchester United na Chelsea mchezo uliochezwa katika uwanja wa Old Trafford.
Mchezo huo ulisubiriwa na wengi kutokana na hali zilizonazo timu hizo kwa sasa hivyo kuifanya dunia kusubiri mchezo huo kuona nani ataweza kumshinda mwenzake lakini mchezo huo ukaishia kwa sare ya bila kufungana.
Manchester United...
5 years ago
Football.London17 Feb
Chelsea vs Man United odds: Striker and club top scorer tipped to score first
5 years ago
Football.London07 Apr
Chelsea midfielder Billy Gilmour names surprise Manchester United man as most difficult opponent