Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Man United yajiandaa kuikasirisha Chelsea

Klabu ya Manchestr United imejiandaa kuiudhi Chelsea kwa kumsajili beki mahiri ambaye amekuwa akifuatiliwa kwa muda mrefu na klabu hiyo kinara wa Ligi Kuu England.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola..

Kabla siku haijaisha mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee stori 5 za soka zilizoingia katika headlines siku ya December 17, kuna mengi yamezungumzwa katika stori za soka December 17 ikiwemo stori za kufukuzwa kwa mara ya pili kwa kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho. Hizi ndio TOP 5 ya stori za soka December 17. […]

The post TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola.. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yaapa kuichapa Man United

Meneja wa Chelsea Jose Mourinho amesema kuwa viongozi hao wa ligi ya Uingereza wataimarisha mchezo wao dhidi ya Man United.

 

10 years ago

BBCSwahili

Man United yalimwa,Chelsea yatoka sare

Manchester United ilikosa fursa ya kupanda juu na pointi kumi dhidi ya Liverpool baada ya kulazwa mabao matatu bila na kilabu ya Everton.

 

5 years ago

The Pride Of London

Chelsea: Three lessons learned (only one about VAR) in loss to Man United

Chelsea: Three lessons learned (only one about VAR) in loss to Man United  The Pride of LondonManchester United defensively superb even before Chelsea win  The Peoples Person'Martial looks like he doesn't take much information in' - Man Utd star singled out for criticism by Scholes  Goal.comStarting XI: Club Brugge vs. Manchester United  The Busby BabeChelsea join the race to sign Liverpool target Kumbulla  Read LiverpoolView Full coverage on Google...

 

9 years ago

MillardAyo

Pichaz 10 za Man United wakiwasili Old Trafford kinyonge kuisubiri Chelsea …

Mtu wangu wa nguvu bado headlines za Man United zinaendelea kuchukua nafasi, baada ya kufungwa na Stoke City 2-0, na kuingia katika headlines ya kufungwa mechi nne mfululizo, rekodi ambayo ilidumu kwa miaka 54. Kabla ya kukubali kipigo cha goli 2-0 kutoka kwa Stoke City, Man United walikuwa hawajawahi kufungwa mechi nne mfululizo toka mwaka […]

The post Pichaz 10 za Man United wakiwasili Old Trafford kinyonge kuisubiri Chelsea … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Man United na Chelsea zatoka sare, matokeo mengine yapo hapa

manchester-united-vs-chelsea-850x560

Na Rabi Hume,Modewjiblog

Ligi Kuu ya Wingereza jana usiku imeendelea kwa kuchezwa michezo nane katika viwanja tofauti huku mchezo mkubwa uliokuwa unasubiriwa kwa hamu ni kati ya Manchester United na Chelsea mchezo uliochezwa katika uwanja wa Old Trafford.

Mchezo huo ulisubiriwa na wengi kutokana na hali zilizonazo timu hizo kwa sasa hivyo kuifanya dunia kusubiri mchezo huo kuona nani ataweza kumshinda mwenzake lakini mchezo huo ukaishia kwa sare ya bila kufungana.

Manchester United...

 

5 years ago

Football.London

Chelsea vs Man United odds: Striker and club top scorer tipped to score first

Chelsea vs Man United odds: Striker and club top scorer tipped to score first  Football.LondonPicture: Odion Ighalo arrives at Manchester United training ground  The Peoples Person‘Lampard under pressure & will face questions’ – Chelsea have qualify for Champions League, says Burley  Goal.comPredicted Chelsea starting line-up against Manchester United  Sportslens.comThe Man Utd Lineup That Should Start Against Chelsea on Monday  90minView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Football.London

Chelsea midfielder Billy Gilmour names surprise Manchester United man as most difficult opponent

Chelsea midfielder Billy Gilmour names surprise Manchester United man as most difficult opponent  Football.LondonScott McTominay's text to Billy Gilmour after Man Utd beat Chelsea earlier this season  Daily StarBilly Gilmour gets FIFA upgrade after star showings  Chelsea NewsWhat Scott McTominay told Billy Gilmour after Man Utd beat Chelsea  ExpressChelsea youngster Billy Gilmour reveals classy Scott McTominay Manchester United message  Manchester Evening NewsView Full coverage on Google...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani