Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakati Man United na Chelsea ikiwaza namna ya kupata saini ya Pep Guardiola, kutana na pichaz zake akitalii Kenya …

Kocha wa klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani Pep Guardiola December 29 aliingia kwenye headlines baada ya kutua Kenya kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu ya Christimas na mwaka mpya, ujio wake Kenya uliwashangaza wengi kutokana na kuja kimya kimya. Ninazo pichaz za Pep Guardiola akitalii Kenya wakati ambao vilabu vya Chelsea na Man United vikitajwa kwa […]

The post Wakati Man United na Chelsea ikiwaza namna ya kupata saini ya Pep Guardiola, kutana na pichaz zake akitalii Kenya … appeared...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Kilichojiri Old Trafford kati ya Man United Vs Chelsea, kutana na matokeo ya mechi za EPL (+Pichaz&Video)

Michezo 8 ya Ligi Kuu Uingereza imechezwa leo Jumatatu ya December 28, ikiwa ni muendelezo wa mechi za Ligi Kuu Uingereza, mechi ambayo ilikuwa inapewa nafasi kubwa na hisia za mashabiki wengi wa soka, ni mchezo kati ya Man United dhidi ya klabu ya Chelsea iliyomtimua Jose Mourinho hivi karibuni na kumpa kibarua cha muda […]

The post Kilichojiri Old Trafford kati ya Man United Vs Chelsea, kutana na matokeo ya mechi za EPL (+Pichaz&Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola..

Kabla siku haijaisha mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee stori 5 za soka zilizoingia katika headlines siku ya December 17, kuna mengi yamezungumzwa katika stori za soka December 17 ikiwemo stori za kufukuzwa kwa mara ya pili kwa kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho. Hizi ndio TOP 5 ya stori za soka December 17. […]

The post TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola.. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Pichaz 10 za Man United wakiwasili Old Trafford kinyonge kuisubiri Chelsea …

Mtu wangu wa nguvu bado headlines za Man United zinaendelea kuchukua nafasi, baada ya kufungwa na Stoke City 2-0, na kuingia katika headlines ya kufungwa mechi nne mfululizo, rekodi ambayo ilidumu kwa miaka 54. Kabla ya kukubali kipigo cha goli 2-0 kutoka kwa Stoke City, Man United walikuwa hawajawahi kufungwa mechi nne mfululizo toka mwaka […]

The post Pichaz 10 za Man United wakiwasili Old Trafford kinyonge kuisubiri Chelsea … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Africanjam.Com

MANCHESTER UNITED EYEING PEP GUARDIOLA AS THE REPLACEMENT OF LOUIS VAN GAAL


Club legend Ryan Giggs had been expected to take over when the Dutchman's deal expires in 2017 but the Bayern boss is on their radar for NEXT summerLouis van Gaal has confirmed that he WILL walk away from Manchester United in 2017.The 64-year-old Dutchman, who signed a three-year contract when he arrived at Old Trafford last summer, insists he will not be reversing his decision to retire in 18 months’ time.But while Van Gaal is grooming his No 2 Ryan Giggs to be the next Old Trafford...

 

9 years ago

MillardAyo

Pep Guardiola yupo Kenya kutafakari ofa za vilabu vya Ulaya, huu ni uthibitisho ndani ya Kenya …

Kocha wa klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani Pep Guardiola ambaye pia anahusishwa kutaka kujiunga na vilabu vya Man United, Chelsea na kwa kiasi kikubwa Man City, December 28 aliwasili uwanja wa ndege wa Kenya JKIA kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu ya mwaka mpya. Uwepo wa Guardiola Kenya ambapo amepokelewa na Gavana wa Mombasa […]

The post Pep Guardiola yupo Kenya kutafakari ofa za vilabu vya Ulaya, huu ni uthibitisho ndani ya Kenya … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

5 years ago

Manchester Evening News

How Man City squad reacted to Pep Guardiola contract statement

How Man City squad reacted to Pep Guardiola contract statement  Manchester Evening NewsManchester City Defeat Leicester Away, 1-0: Reaction & Tweets  Bitter and BlueLeicester 0-1 Manchester City: Foxes stake Champions League claim  SquawkaLaporte gives Man City renewed hope of Champions League success  Goal.comManchester City v Leicester City - Premier League Matchday 27: Preview, Team News and Prediction  Bitter and BlueView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Mirror Online

Man City announce Pep Guardiola's mother has died from coronavirus

Man City announce Pep Guardiola's mother has died from coronavirus  Mirror OnlinePep Guardiola's mother dies after contracting coronavirus  Sky SportsPep Guardiola's mother dies from coronavirus at the age of 82, Manchester City confirm  Daily MailGuardiola's mother dies after contracting coronavirus, Man City confirm  GoalBREAKING: Pep Guardiola’s mother dies from coronavirus just weeks after he donated £920,000 to Spain  Euro Weekly NewsView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Liverpool Echo

Liverpool thrashed Man City to show Pep Guardiola they were his biggest threat

Liverpool thrashed Man City to show Pep Guardiola they were his biggest threat  Liverpool EchoMythbuster: 'Fraudiola'! Pep is nothing without Messi  GoalAguero and Iniesta miss out on Ultimate Pep Guardiola XI  WhoScored.comPremier League proposed rule change would suit Man City coach Pep Guardiola  Manchester Evening NewsMan City set sights on three Inter deals as Pep Guardiola identifies transfer targets  Express.co.ukView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Bleacher Report

Pep Guardiola Warns Barcelona 'Don't Talk Too Loud' About Man City FFP Ban

Pep Guardiola Warns Barcelona 'Don't Talk Too Loud' About Man City FFP Ban  Bleacher ReportLionel Messi admits Manchester City are \"screwed\" after Champions League ban  GIVEMESPORTBanned from Europe, City may still have to pay huge European bonuses: report  The Citizen Daily'It's not finished' - Pep reiterates commitment to Man City despite UEFA ban  Goal.comMan City Could Apply for Champions League Ban to Be Frozen During CAS Appeal  90minView Full coverage on Google...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani