Wakati Man United na Chelsea ikiwaza namna ya kupata saini ya Pep Guardiola, kutana na pichaz zake akitalii Kenya …
Kocha wa klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani Pep Guardiola December 29 aliingia kwenye headlines baada ya kutua Kenya kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu ya Christimas na mwaka mpya, ujio wake Kenya uliwashangaza wengi kutokana na kuja kimya kimya. Ninazo pichaz za Pep Guardiola akitalii Kenya wakati ambao vilabu vya Chelsea na Man United vikitajwa kwa […]
The post Wakati Man United na Chelsea ikiwaza namna ya kupata saini ya Pep Guardiola, kutana na pichaz zake akitalii Kenya … appeared...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Kilichojiri Old Trafford kati ya Man United Vs Chelsea, kutana na matokeo ya mechi za EPL (+Pichaz&Video)
Michezo 8 ya Ligi Kuu Uingereza imechezwa leo Jumatatu ya December 28, ikiwa ni muendelezo wa mechi za Ligi Kuu Uingereza, mechi ambayo ilikuwa inapewa nafasi kubwa na hisia za mashabiki wengi wa soka, ni mchezo kati ya Man United dhidi ya klabu ya Chelsea iliyomtimua Jose Mourinho hivi karibuni na kumpa kibarua cha muda […]
The post Kilichojiri Old Trafford kati ya Man United Vs Chelsea, kutana na matokeo ya mechi za EPL (+Pichaz&Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo17 Dec
TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola..
Kabla siku haijaisha mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee stori 5 za soka zilizoingia katika headlines siku ya December 17, kuna mengi yamezungumzwa katika stori za soka December 17 ikiwemo stori za kufukuzwa kwa mara ya pili kwa kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho. Hizi ndio TOP 5 ya stori za soka December 17. […]
The post TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola.. appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Pichaz 10 za Man United wakiwasili Old Trafford kinyonge kuisubiri Chelsea …
Mtu wangu wa nguvu bado headlines za Man United zinaendelea kuchukua nafasi, baada ya kufungwa na Stoke City 2-0, na kuingia katika headlines ya kufungwa mechi nne mfululizo, rekodi ambayo ilidumu kwa miaka 54. Kabla ya kukubali kipigo cha goli 2-0 kutoka kwa Stoke City, Man United walikuwa hawajawahi kufungwa mechi nne mfululizo toka mwaka […]
The post Pichaz 10 za Man United wakiwasili Old Trafford kinyonge kuisubiri Chelsea … appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Africanjam.Com
MANCHESTER UNITED EYEING PEP GUARDIOLA AS THE REPLACEMENT OF LOUIS VAN GAAL

Club legend Ryan Giggs had been expected to take over when the Dutchman's deal expires in 2017 but the Bayern boss is on their radar for NEXT summerLouis van Gaal has confirmed that he WILL walk away from Manchester United in 2017.The 64-year-old Dutchman, who signed a three-year contract when he arrived at Old Trafford last summer, insists he will not be reversing his decision to retire in 18 months’ time.But while Van Gaal is grooming his No 2 Ryan Giggs to be the next Old Trafford...
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Pep Guardiola yupo Kenya kutafakari ofa za vilabu vya Ulaya, huu ni uthibitisho ndani ya Kenya …
Kocha wa klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani Pep Guardiola ambaye pia anahusishwa kutaka kujiunga na vilabu vya Man United, Chelsea na kwa kiasi kikubwa Man City, December 28 aliwasili uwanja wa ndege wa Kenya JKIA kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu ya mwaka mpya. Uwepo wa Guardiola Kenya ambapo amepokelewa na Gavana wa Mombasa […]
The post Pep Guardiola yupo Kenya kutafakari ofa za vilabu vya Ulaya, huu ni uthibitisho ndani ya Kenya … appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
Manchester Evening News23 Feb
How Man City squad reacted to Pep Guardiola contract statement
5 years ago
Mirror Online06 Apr
Man City announce Pep Guardiola's mother has died from coronavirus
5 years ago
Liverpool Echo04 Apr
Liverpool thrashed Man City to show Pep Guardiola they were his biggest threat
5 years ago
Bleacher Report20 Feb
Pep Guardiola Warns Barcelona 'Don't Talk Too Loud' About Man City FFP Ban