Chenge ambana Magufuli ahadi ya JK Simiyu
Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli jana aliendelea kubeba mzigo wa Serikali wakati mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge alipomtaka aeleze utekelezaji wa ahadi ya maji iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete miaka mitano iliyopita.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q8J0xVJZS4g/XrbVay74cTI/AAAAAAALpn0/-HhUglGnmNYVup6ehO5ZX1GBLqjxLyeSQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-A-1-2048x1365.jpg)
MAAFISA TARAFA SIMIYU WAKABIDHIWA PIKIPIKI UTEKELEZAJI AHADI YA RAIS MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-q8J0xVJZS4g/XrbVay74cTI/AAAAAAALpn0/-HhUglGnmNYVup6ehO5ZX1GBLqjxLyeSQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-A-1-2048x1365.jpg)
Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini (kushoto) akimkabidhi kofia Afisa Tarafa wa Dutwa, wilayani Bariadi Bi. Isabela Nyaulingo ikiwa ni ishara ya kumkabidhi pikipiki katika tukio la makabidhiano ya pikipiki zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa Maafisa Tarafa ambazo zimekabidhiwa Mei 08, 2020 Mjini Bariadi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/4eba1f44-bf77-4160-ad48-421c2b53f257.jpg)
Baadhi ya pikipiki zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa Maafisa...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9nSRfdG0qAI/VfbJyRLS05I/AAAAAAAALIE/L16uUCur-NA/s72-c/_MG_8367.jpg)
Magufuli ameanza kazi: Amtosa Chenge hadharani huko Mjini Bariadi
![](http://2.bp.blogspot.com/-9nSRfdG0qAI/VfbJyRLS05I/AAAAAAAALIE/L16uUCur-NA/s640/_MG_8367.jpg)
MAGUFULI AMTOSA CHENGE BARIADI.Katika kile ambacho wachunguzi wa mambo ya kisiasa wamekiita tukio la kimapinduzi na mwanzo wa mabadiliko mapya ndani ya CCM, Mgombea wa Urais kwa ticket ya CCM Dr. John Magufuli amefanya kile ambacho Rais Jakaya Kikwete na Edward Lowassa wameshindwa, kumtosa Andrew Chenge hadharani.Mwanasheria huyo mkuu wa zamani ambaye anahusika kwenye kashfa mbalimbali zilizozikumba taifa hili, ambaye ndio alikuwa mratibu wa kampeni za Urais za Edward Lowassa alipokuwa CCM...
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Wabunge walilia ahadi za Dk Magufuli
9 years ago
Habarileo19 Nov
Ahadi ya Magufuli yaanza kutekelezwa
MSAJILI wa Hazina ametoa siku 30 kuanzia jana kwa wawekezaji wote walionunua viwanda na mashamba yaliyokuwa miliki ya serikali, kuwasilisha taarifa za sasa za utekelezaji wa masharti ya mikataba yao vinginevyo, serikali itarejesha umiliki wake.
9 years ago
Mtanzania09 Nov
Lowassa ataka ahadi za Dk. Magufuli zipimwe
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
ALIYEKUWA Mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amewataka wananchi kulinganisha ahadi za Rais, Dk. John Magufuli na CCM kuhusu elimu.
Ameyasema hayo siku mbili baada ya Dk. Magufuli, aagize watendaji wa serikali kushughulikia utekelezaji wa sera yake ya kutoa elimu bure kuanzia Januari mwakani.
Lowassa, chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), aliahidi kutoa elimu bure kuanzia shule ya awali hadi...
9 years ago
Vijimambo16 Sep
Ahadi ya zahanati za Magufuli ukweli huu.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/John-16Sept2015.png)
Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, katika mikutano yake ya kampeni, ameahidi kujenga zahanati katika kila kijiji nchini, kituo cha afya katika kila kata, hospitali kila wilaya na hospitali ya rufaa kila mkoa, endapo atapata ridhaa ya kuwa rais wa awamu ya tano,...
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Wamtaka Magufuli atimize ahadi zake
9 years ago
Habarileo05 Nov
Mrema amkumbusha Magufuli ahadi yake
ALIYEKUWA Mbunge wa Jimbo la Vunjo na Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Augustine Mrema amempongeza Rais Mteule, Dk John Magufuli kwa kushinda urais na kumuomba katika uongozi wake amfikirie.
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
Magufuli afanya mikutano ya kampeni wilaya ya Busega, Bariadi, Itilima na Meatu mkoani Simiyu leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-iqXx2pRy-Ic/VfRTOROsT0I/AAAAAAAC-_Y/09YaRt-ahLg/s640/_MG_5380.jpg)
PICHA NA MICHUZI JR-SIMIYU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-J1QhDO8-PnM/VfRTPKno0oI/AAAAAAAC-_c/0DLC9ltsSho/s640/_MG_5388.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lICaxF9zQvI/VfRTQPMEtMI/AAAAAAAC-_o/QAxxq73Xk9E/s640/_MG_5408.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9b41xl7m9-w/VfRTRAOa-tI/AAAAAAAC-_s/BtKZW61FfEA/s640/_MG_5454.jpg)