Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasiobadilisha leseni za biashara kutozwa dola 5,000

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imesema wanachama ambao hawajabadilisha leseni za biashara ifikapo  Machi 16, mwaka huu watapigwa faini ya dola 5,000. Kamishna wa Forodha na Ushuru wa mamlaka hiyo,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MAKALA SHERIA: HAITOSHI KUUNDA KAMPUNI, LAZIMA UWE NA LESENI YA BIASHARA, HII NI NAMNA YA KUPATA LESENI YA BIASHARA

Na   Bashir     Yakub
Katika  makala  iliyopita  nilisema  kuwa  vijana  wengi   wajasiriamali  wanaofungua   biashara  za  makampuni   wanao  uwezo  mkubwa   wa kufika mbali   isipokuwa  tatizo  lao  ni  taarifa za  mambo  mbalimbali   kuhusu uendeshaji  wa  kampuni   hizo. 
 Mambo  ya uendeshaji   wa  kampuni  ni  mepesi sana  na  yanawezwa   na  mtu  yeyote isiopokuwa   tatizo   ni   taarifa   na  elimu ya  namna  ya  uendeshaji  kisheria   ili   kampuni   ionekane  ni kampuni.  Nilieleza...

 

9 years ago

Bongo5

Mourinho afungiwa mechi moja na kutozwa faini ya pound 40,000

2E07D6C000000578-0-image-a-12_1446460168025

Shirikisho la soka Uingereza FA limempa adhabu meneja wa Chelsea, Jose Mourinho baada ya kupatikana na hatia ya kosa la utovu wa nidhamu.

2E07D6C000000578-0-image-a-12_1446460168025

Kocha huyo amefungiwa mechi moja na FA na kutozwa faini ya pound 40,000 kwa kosa alilofanya katika mechi aliyopoteza dhidi ya West Ham United.

Kosa hilo linakuja kutokana na Mourinho kukiri kosa la kutumia lugha isiyokubalika walipo fungwa na West Ham tarehe 24 mwezi uliopita. Sasa ataikosa mechi ya Ligi jumamosi labda labda akikata rufaa.

Wiki hii...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hizi dola 1,000,000 ni za nani?

Polisi nchini Angola wanamtafuta mmiliki wa mkoba uliopatikana kwenye ndege ukiwa na dola milioni moja.

 

11 years ago

Michuzi

Taarifa ya Ukaguzi wa Leseni Za Biashara

 Afisa Habari wa Wizara ya Viwanda na Uchukuzi, Nicodemas Mushi (kulia) akiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam kuelezea tamko la serikali kuanza ukaguzi wa leseni  zote za biashara nchini. Pembeni yake ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Uhamasishaji Biashara na Masoko, Mashingo Christopher.  Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Uhamasishaji Biashara na Masoko, Mashingo Christopher (kati) akikazia tamko la serikali juu ya ukaguzi wa leseni...

 

5 years ago

Michuzi

HALMASHAURI YA MAFINGA KUTOA LESENI ZA BIASHARA KIELEKTRONIKI

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Bw. Godfrey Nyaisa amekabidhi vifaa vya Tehama kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mafinga, Bi. Saada Mwaruka kwa ajili ya utoaji wa Leseni za Biashara kielektroniki katika Halmashauri hiyo.
Makabidhiano hayo yamefanyika Mei 19, 2020, katika Ofisi za BRELA Makao Makuu Jijini Dar es salaam yakishuhudiwa na Maofisa kutoka BRELA na Maofisa Biashara kutoka katika Halmashauri ya Mji wa Mafinga.
Akizungumza katika hafla fupi...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UKAGUZI WA LESENI ZA BIASHARA

Afisa Habari wa Wizara ya Viwanda na Uchukuzi, Nicodemas Mushi (kulia) akiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam kuelezea tamko la serikali kuanza ukaguzi wa leseni za biashara. Pembeni yake ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Uhamasishaji Biashara na Masoko, Mashingo Christopher. Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Uhamasishaji Biashara na Masoko, Mashingo Christopher (kati) akikazia tamko la serikali juu ya ukaguzi wa leseni za biashara....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baraza Wete lapata dola 800,000

BARAZA la Mji la Wete limepokea msaada wa dola 800,000 kutoka Benki ya Dunia kupitia Wizara ya Fedha Zanzibar kwa ajili ya uboreshaji wa soko la Wete. Akizungumza na Tanzania...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Azam FC yatenga dola 70,000 kumnasa Olunga

UONGOZI wa Azam FC umemtengea dola elfu 70,000 kwa mshambuliaji wa Gor Mahia Michael Olunga na mshahara wa dola elfu nane ili aweze kutua katika klabu hiyo.

Mshambuliaji huyo ambaye anawaniwa na pia na Simba ameonekana mshambuliaji hatari katika michuano hiyo, baada ya kuonyesha uwezo kwa kufunga mabao matatu katika michezo miwili.

Simba awali walitangaza kumsajili mchezaji huyo kwa dola 20,000.

Habari kutoka ndani ya Azam FC zilieleza kuwa uongozi wa klabu hiyo umetenga dola...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani