Wasiobadilisha leseni za biashara kutozwa dola 5,000
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imesema wanachama ambao hawajabadilisha leseni za biashara ifikapo Machi 16, mwaka huu watapigwa faini ya dola 5,000. Kamishna wa Forodha na Ushuru wa mamlaka hiyo,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3rYO1fT7-a8/VMapyZS60II/AAAAAAAG_o0/ZnWy8X5VYn0/s72-c/12.jpg)
MAKALA SHERIA: HAITOSHI KUUNDA KAMPUNI, LAZIMA UWE NA LESENI YA BIASHARA, HII NI NAMNA YA KUPATA LESENI YA BIASHARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3rYO1fT7-a8/VMapyZS60II/AAAAAAAG_o0/ZnWy8X5VYn0/s1600/12.jpg)
Katika makala iliyopita nilisema kuwa vijana wengi wajasiriamali wanaofungua biashara za makampuni wanao uwezo mkubwa wa kufika mbali isipokuwa tatizo lao ni taarifa za mambo mbalimbali kuhusu uendeshaji wa kampuni hizo.
Mambo ya uendeshaji wa kampuni ni mepesi sana na yanawezwa na mtu yeyote isiopokuwa tatizo ni taarifa na elimu ya namna ya uendeshaji kisheria ili kampuni ionekane ni kampuni. Nilieleza...
9 years ago
Bongo503 Nov
Mourinho afungiwa mechi moja na kutozwa faini ya pound 40,000
![2E07D6C000000578-0-image-a-12_1446460168025](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2E07D6C000000578-0-image-a-12_1446460168025-300x194.jpg)
Shirikisho la soka Uingereza FA limempa adhabu meneja wa Chelsea, Jose Mourinho baada ya kupatikana na hatia ya kosa la utovu wa nidhamu.
Kocha huyo amefungiwa mechi moja na FA na kutozwa faini ya pound 40,000 kwa kosa alilofanya katika mechi aliyopoteza dhidi ya West Ham United.
Kosa hilo linakuja kutokana na Mourinho kukiri kosa la kutumia lugha isiyokubalika walipo fungwa na West Ham tarehe 24 mwezi uliopita. Sasa ataikosa mechi ya Ligi jumamosi labda labda akikata rufaa.
Wiki hii...
10 years ago
BBCSwahili07 Aug
Hizi dola 1,000,000 ni za nani?
11 years ago
Michuzi21 Mar
Taarifa ya Ukaguzi wa Leseni Za Biashara
![](https://1.bp.blogspot.com/-ftsK2e8M8uA/Uyrny0_vooI/AAAAAAACsYc/pv9349qXgUc/s1600/IMG_2076.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-miQPLNksD7Q/Uyrnwm13ZiI/AAAAAAACsYM/sENVGWDCRs8/s1600/IMG_2094.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rvK5G5vudcg/XsUMMlq7MAI/AAAAAAALq6k/HhxL8tAuT-ICQpDjpHi3zdFYXX9V2TVkACLcBGAsYHQ/s72-c/529dac7a-2123-4f92-a35e-798ab1d73462.jpg)
HALMASHAURI YA MAFINGA KUTOA LESENI ZA BIASHARA KIELEKTRONIKI
Makabidhiano hayo yamefanyika Mei 19, 2020, katika Ofisi za BRELA Makao Makuu Jijini Dar es salaam yakishuhudiwa na Maofisa kutoka BRELA na Maofisa Biashara kutoka katika Halmashauri ya Mji wa Mafinga.
Akizungumza katika hafla fupi...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-D6LnAHrs3xM/UyoG6H2AmvI/AAAAAAAA3es/zRbu15piiGU/s72-c/IMG_2076.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UKAGUZI WA LESENI ZA BIASHARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-D6LnAHrs3xM/UyoG6H2AmvI/AAAAAAAA3es/zRbu15piiGU/s1600/IMG_2076.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--wODj2xBt2Q/UyoG7t8BGjI/AAAAAAAA3e0/eEkPEuHoYwo/s1600/IMG_2094.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Baraza Wete lapata dola 800,000
BARAZA la Mji la Wete limepokea msaada wa dola 800,000 kutoka Benki ya Dunia kupitia Wizara ya Fedha Zanzibar kwa ajili ya uboreshaji wa soko la Wete. Akizungumza na Tanzania...
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
Azam FC yatenga dola 70,000 kumnasa Olunga
UONGOZI wa Azam FC umemtengea dola elfu 70,000 kwa mshambuliaji wa Gor Mahia Michael Olunga na mshahara wa dola elfu nane ili aweze kutua katika klabu hiyo.
Mshambuliaji huyo ambaye anawaniwa na pia na Simba ameonekana mshambuliaji hatari katika michuano hiyo, baada ya kuonyesha uwezo kwa kufunga mabao matatu katika michezo miwili.
Simba awali walitangaza kumsajili mchezaji huyo kwa dola 20,000.
Habari kutoka ndani ya Azam FC zilieleza kuwa uongozi wa klabu hiyo umetenga dola...