Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam FC yatenga dola 70,000 kumnasa Olunga

UONGOZI wa Azam FC umemtengea dola elfu 70,000 kwa mshambuliaji wa Gor Mahia Michael Olunga na mshahara wa dola elfu nane ili aweze kutua katika klabu hiyo.

Mshambuliaji huyo ambaye anawaniwa na pia na Simba ameonekana mshambuliaji hatari katika michuano hiyo, baada ya kuonyesha uwezo kwa kufunga mabao matatu katika michezo miwili.

Simba awali walitangaza kumsajili mchezaji huyo kwa dola 20,000.

Habari kutoka ndani ya Azam FC zilieleza kuwa uongozi wa klabu hiyo umetenga dola...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Azam yakaribia kumnasa Kasule

Azam imeanza mchakato wa kumsajili kiungo wa Uganda anayekipiga katika klabu ya URA ya nchini humo, Owen Kasule ili imtumia kuanzia msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania bara.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hizi dola 1,000,000 ni za nani?

Polisi nchini Angola wanamtafuta mmiliki wa mkoba uliopatikana kwenye ndege ukiwa na dola milioni moja.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baraza Wete lapata dola 800,000

BARAZA la Mji la Wete limepokea msaada wa dola 800,000 kutoka Benki ya Dunia kupitia Wizara ya Fedha Zanzibar kwa ajili ya uboreshaji wa soko la Wete. Akizungumza na Tanzania...

 

10 years ago

Mwananchi

Linah akumbuka Dola 47,000 za Ole Themba

Mwimbaji aliyetamba na video ya “Ole Themba”, Linah Sanga amesema kuwa ili kuwa msanii wa kimataifa kuna gharama kubwa tofauti na wengi wanavyodhani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nywele ya Lincoln yauzwa kwa dola 25,000

Vitu vya aliyekuwa rais wa 16 wa Marekani Abraham Lincoln vimeuzwa katika mnada Marekani na kupata dola 800,000.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasiobadilisha leseni za biashara kutozwa dola 5,000

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imesema wanachama ambao hawajabadilisha leseni za biashara ifikapo  Machi 16, mwaka huu watapigwa faini ya dola 5,000. Kamishna wa Forodha na Ushuru wa mamlaka hiyo,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sanamu ya paka yauzwa kwa dola 80,000

Sanamu moja ya paka wa Misri,ambayo nusra itupiliwe mbali kama taka,imeuzwa nchini Uingereza kwa takriban dola 80,000.

 

11 years ago

Habarileo

Bunge lapewa dola 100,000 kununua vifaa

CHAMA kinachoshughulika katika kupunguza silaha na maridhiano nchini China, kimetoa dola 100,000 (Sh milioni 160) kwa ajili ya kununua vifaa mbalimbali kwa matumizi ya Bunge, ikiwa ni pamoja na kompyuta na vipaza sauti vya kisasa.

 

10 years ago

Vijimambo

MV Mapinduzi 2 kugharimu Dola za Kimarekani USD 30,825,000

Na Maryam Kidiko – Maelezo Zanzibar.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeamua kutengeneza Meli mpya ya Abiria MV Mapinduzi 11 pamoja na mizigo Nchini Korea ili kuwapatia usafiri wa uhakika wa Baharini kwa Wananchi wa Visiwa vya Unguja na Pemba.

Hayo yameeleza leo na Naibu wa Miundombinu na Mawasiliano Issa Haji Ussi huko Baraza la Wawakilishi linaloendelea Chukwani Nje kidogo wa Mji wa Zanzibar wakati akijibu suala la Muwakilishi Salim Abdallah Hamadi wa Jimbo la Mtabwe aliyetaka kujua Meli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani