Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam yakaribia kumnasa Kasule

Azam imeanza mchakato wa kumsajili kiungo wa Uganda anayekipiga katika klabu ya URA ya nchini humo, Owen Kasule ili imtumia kuanzia msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania bara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Azam FC yatenga dola 70,000 kumnasa Olunga

UONGOZI wa Azam FC umemtengea dola elfu 70,000 kwa mshambuliaji wa Gor Mahia Michael Olunga na mshahara wa dola elfu nane ili aweze kutua katika klabu hiyo.

Mshambuliaji huyo ambaye anawaniwa na pia na Simba ameonekana mshambuliaji hatari katika michuano hiyo, baada ya kuonyesha uwezo kwa kufunga mabao matatu katika michezo miwili.

Simba awali walitangaza kumsajili mchezaji huyo kwa dola 20,000.

Habari kutoka ndani ya Azam FC zilieleza kuwa uongozi wa klabu hiyo umetenga dola...

 

11 years ago

Mwananchi

Simba yamnyatia Owen Kasule

>Klabu ya Simba inamfukuzia mfungaji bora wa michuano ya Kombe la Mapinduzi mwaka huu, Mganda Owen Kasule wa URA ya Uganda ili akipige kwenye timu hiyo msimu ujao.

 

11 years ago

GPL

MAN U KUMNASA MIRANDA

Beki wa Atletico Madrid, Miranda(kushoto) akiwania mpira na Cristiano Ronaldo. Man United wapo mbioni kumnasa beki wa Atletico Madrid, Miranda kwa ada ya pauni milioni 24 sawa na bilioni 66.9 kwa mkataba wa miaka…

 

10 years ago

GPL

MIKE ADAIWA KUMNASA DAVINA

Michael Sangu ‘Mike’. Richard Bukos
SIKU chache baada ya mwigizaji Michael Sangu ‘Mike’ kumwagana na mkewe mwigizaji Ndumbagwe Misayo ‘Thea’, amedaiwa kumnasa staa mwingine wa filamu, Halima Yahaya ‘Davina’ kwa kuwa naye karibu kiasi cha kuibua maswali. Aliyekuwa mke wa Mike, Ndumbagwe Misayo ‘Thea’. Katika hafla ya utoaji wa tuzo za TAFA wiki iliyopita katika...

 

10 years ago

GPL

RAY C AHAHA KUMNASA JK UKUMBINI!

Imelda Mtema ZAIDI ya dakika 57, zilitosha kumtoa ‘jasho jembamba’ msanii mwenye nyonga laini na kiuno bila mifupa, Rehema Chalamila ‘Ray C’ kuhaha ili afanikiwe kumfikia kwa ukaribu Rais Jakaya Kikwete. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1HALRex

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool yajizatiti kumnasa Milner

Timu ya Liverpool imejipanga kumsajili mchezaji wa Manchester City James Milner kwa ajili ya msimu ujao wa ligi kuu

 

10 years ago

BBCSwahili

Mancity yakaribia kumsajili Bony

Usajili wa mshambuliaji wa Ivory Coast na Swansea Wilfired Bony hadi kilabu ya Mancity unakaribia kukamilika.

 

11 years ago

BBCSwahili

Liverpool yakaribia ushindi wa ligi

Liverpool ndio washindi watarajiwa wa ligi ya Uingereza baada ya Kuishinda Norwich mabao matatu kwa mbili .

 

10 years ago

BBCSwahili

Liberia yakaribia kuangamiza Ebola

Liberia ambayo iliathiriwa vibaya na ugonjwa wa Ebola inasema kwa sasa ina visa vitano tu vilivyothibitishwa vya ugonjwa huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani