Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAN U KUMNASA MIRANDA

Beki wa Atletico Madrid, Miranda(kushoto) akiwania mpira na Cristiano Ronaldo. Man United wapo mbioni kumnasa beki wa Atletico Madrid, Miranda kwa ada ya pauni milioni 24 sawa na bilioni 66.9 kwa mkataba wa miaka…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MIRANDA AMKUMBUKA BIEBER

New York, Marekani ALIYEWAHI kuwa mpenzi wa staa wa Pop, Justin Bieber, Miranda Kerr juzi kati katika kusherehekea kuwakumbuka wafu/mizimu (Halloween) ameibuka na kuachia video ya kumkumbuka Bieber. Aliyewahi kuwa mpenzi wa staa wa Pop, Justin Bieber, Miranda Kerr. Katika video hiyo aliyoiachia katika mitandao ya kijamii, ilimuonesha Kerr (32) akicheza Wimbo wa Where Are U Now ulioimbwa na Bieber (21).Video hiyo imeanza kuibua...

 

5 years ago

Showbiz Cheat Sheet

No, Miranda Lambert Is Not Getting Pregnant to Seek Revenge on Blake Shelton

No, Miranda Lambert Is Not Getting Pregnant to Seek Revenge on Blake Shelton  Showbiz Cheat SheetMiranda Lambert Flaunts Her Curves In A Denim Mini Skirt  The InquisitrView Full coverage on Google News

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool yajizatiti kumnasa Milner

Timu ya Liverpool imejipanga kumsajili mchezaji wa Manchester City James Milner kwa ajili ya msimu ujao wa ligi kuu

 

11 years ago

Mwananchi

Azam yakaribia kumnasa Kasule

Azam imeanza mchakato wa kumsajili kiungo wa Uganda anayekipiga katika klabu ya URA ya nchini humo, Owen Kasule ili imtumia kuanzia msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania bara.

 

10 years ago

GPL

MIKE ADAIWA KUMNASA DAVINA

Michael Sangu ‘Mike’. Richard Bukos
SIKU chache baada ya mwigizaji Michael Sangu ‘Mike’ kumwagana na mkewe mwigizaji Ndumbagwe Misayo ‘Thea’, amedaiwa kumnasa staa mwingine wa filamu, Halima Yahaya ‘Davina’ kwa kuwa naye karibu kiasi cha kuibua maswali. Aliyekuwa mke wa Mike, Ndumbagwe Misayo ‘Thea’. Katika hafla ya utoaji wa tuzo za TAFA wiki iliyopita katika...

 

10 years ago

GPL

RAY C AHAHA KUMNASA JK UKUMBINI!

Imelda Mtema ZAIDI ya dakika 57, zilitosha kumtoa ‘jasho jembamba’ msanii mwenye nyonga laini na kiuno bila mifupa, Rehema Chalamila ‘Ray C’ kuhaha ili afanikiwe kumfikia kwa ukaribu Rais Jakaya Kikwete. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1HALRex

 

11 years ago

GPL

BAADA YA KROOS, REAL MADRID KUMNASA RODRIGUEZ

Mfungaji bora wa Kombe la Dunia 2014, James Rodriguez.
KLABU ya Real Madrid inakaribia kumnasa mfungaji bora wa Kombe la Dunia 2014, James Rodriguez, kwa pauni milioni 63 kutoka Monaco. Toni Kroos tayari ametua Real Madrid kwa pauni milioni 24. Klabu hiyo ya Hispania, leo imekamilisha usajili wa kiungo wa Ujerumani na Bayern Munich, Toni Kroos, kwa pauni milioni 24 kwa mkataba wa miaka sita. Ili… ...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Azam FC yatenga dola 70,000 kumnasa Olunga

UONGOZI wa Azam FC umemtengea dola elfu 70,000 kwa mshambuliaji wa Gor Mahia Michael Olunga na mshahara wa dola elfu nane ili aweze kutua katika klabu hiyo.

Mshambuliaji huyo ambaye anawaniwa na pia na Simba ameonekana mshambuliaji hatari katika michuano hiyo, baada ya kuonyesha uwezo kwa kufunga mabao matatu katika michezo miwili.

Simba awali walitangaza kumsajili mchezaji huyo kwa dola 20,000.

Habari kutoka ndani ya Azam FC zilieleza kuwa uongozi wa klabu hiyo umetenga dola...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani