Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MIKE ADAIWA KUMNASA DAVINA

Michael Sangu ‘Mike’. Richard Bukos
SIKU chache baada ya mwigizaji Michael Sangu ‘Mike’ kumwagana na mkewe mwigizaji Ndumbagwe Misayo ‘Thea’, amedaiwa kumnasa staa mwingine wa filamu, Halima Yahaya ‘Davina’ kwa kuwa naye karibu kiasi cha kuibua maswali. Aliyekuwa mke wa Mike, Ndumbagwe Misayo ‘Thea’. Katika hafla ya utoaji wa tuzo za TAFA wiki iliyopita katika...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SNURA ADAIWA ADAIWA KUPORA MUME WA DAVINA

HAMIDA HASSAN
Staa wa muziki wa mduara, Snura Mushi ameingia katika tuhuma nzito akidaiwa kutoka kimapenzi na mume wa rafiki yake Halima Yahya ‘Davina’.
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, kwa kipindi kirefu, Snura amekuwa akionekana nyakati za usiku akiwa na mume wa Davina, wakati mwingine mwanaume huyo anaenda nyumbani kwa Snura au wawili hao kuzungumza kwa muda mrefu ndani ya gari la mwanaume huyo. Staa wa...

 

10 years ago

GPL

MIKE SANGU AIPASUA NDOA YA DAVINA

Gladness Mallya
NI SHIDA! Msanii wa filamu Bongo, Michael Sangu ‘Mike’ anadaiwa kuipasua ndoa ya muigizaji mwenzake, Halima Yahya ‘Davina’ na mumewe Abdallah Shakoor baada ya kutuhumiwa kutembea na msichana huyo mwenye watoto watatu. Msanii wa filamu Bongo, Michael Sangu ‘Mike’. Chanzo makini kililiambia Risasi Mchanganyiko kuwa kufuatia tuhuma hizo za muda mrefu, Shakoor anadaiwa kufika...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mike Sangu Afungukia Mdai ya Kutoka na Davina

Staa wa Bongo Movies, Michael Sangu ‘Mike’ amekanusha na kuruka kimanga baada ya taarifa kuvuma kuwa anatoka na mwigizaji wa kike Halima Yahaya ‘Davina’ na kusababisha uhusiano wa mwanadada huyo na familia yake kuvurugika, Mike anasema kuwa anamheshimu msanii huyo na kitu kipekee kinachowafanya wawe pamoja ni kazi tu.

Nimeulizwa sana na waandishi wengi kuhusu matatizo ya Davina lakini ukweli ni kwamba sina mahusiano naye zaidi ya kazi ambayo inatukutanisha na mimi nikiwa kama kiongozi wake...

 

10 years ago

Bongo Movies

Snura Adaiwa Kupora Mume wa Davina

Staa wa muziki wa mduara, Snura Mushi ameingia katika tuhuma nzito akidaiwa kutoka kimapenzi na mume wa rafiki yake ambae ni staa wa Bongo Movies, Halima Yahya ‘Davina’.

Kwa mujibu wa chanzo cha GPL , kwa kipindi kirefu, Snura amekuwa akionekana nyakati za usiku akiwa na mume wa Davina, wakati mwingine mwanaume huyo anaenda nyumbani kwa Snura au wawili hao kuzungumza kwa muda mrefu ndani ya gari la mwanaume huyo.

“Yaani mastaa wa Bongo bwana, wanapenda sana kuchukuliana mabwana. Huyu Snura...

 

10 years ago

GPL

MIKE ADAIWA KUWA MLINZI WA STEVE NYERERE

Na Hamida Hassan STAA wa filamu za Bongo, Mike Sangu amedaiwa kuajiriwa na Steve Nyerere kuwa mlinzi wake kutokana na kutembea naye kila kona. Staa wa Filamu za Bongo, Mike Sangu Chanzo cha habari hii kilidai kuwa, baada ya Steve kuachia madaraka Bongo Movie Unity, Mike naye alijiondoa kimyakimya na kuhamia kwa Steve na kuwa mlinzi wake kila anakokwenda. “Unajua hadi aibu! Steve hata akisogea kwenda kuongea na simu Mike...

 

10 years ago

Bongo Movies

Davina Akanusha Habari “Davina Amchokonoa Wema” Adai ni Uchonganishi

Staa wa bongo movies, Halima Yahaya ‘Davina’ ameonyesha kushitushwa na habari zilizoripotiwa leo nagezeti moja la udaku limeripoti habari yenye kishwa cha habari “Davina Amchokokoa Wema” kitu ambacho Davina amedai ni uchanganishi kati yake na Staa mwenzake Wema Sepetu.

Gazeti hilo limedai kuwa Davina  alisema kuwa  anamshukuru Mungu kwa mawanae kutimiza miaka miwili kwani kuna watu wanatafuta watoto mpaka sasa hawajapata.

Davina aliyaongea hayo katika birthday ya mwanae iliyofanyika ...

 

11 years ago

GPL

MAN U KUMNASA MIRANDA

Beki wa Atletico Madrid, Miranda(kushoto) akiwania mpira na Cristiano Ronaldo. Man United wapo mbioni kumnasa beki wa Atletico Madrid, Miranda kwa ada ya pauni milioni 24 sawa na bilioni 66.9 kwa mkataba wa miaka…

 

10 years ago

GPL

RAY C AHAHA KUMNASA JK UKUMBINI!

Imelda Mtema ZAIDI ya dakika 57, zilitosha kumtoa ‘jasho jembamba’ msanii mwenye nyonga laini na kiuno bila mifupa, Rehema Chalamila ‘Ray C’ kuhaha ili afanikiwe kumfikia kwa ukaribu Rais Jakaya Kikwete. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1HALRex

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool yajizatiti kumnasa Milner

Timu ya Liverpool imejipanga kumsajili mchezaji wa Manchester City James Milner kwa ajili ya msimu ujao wa ligi kuu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani