Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MIKE SANGU AIPASUA NDOA YA DAVINA

Gladness Mallya
NI SHIDA! Msanii wa filamu Bongo, Michael Sangu ‘Mike’ anadaiwa kuipasua ndoa ya muigizaji mwenzake, Halima Yahya ‘Davina’ na mumewe Abdallah Shakoor baada ya kutuhumiwa kutembea na msichana huyo mwenye watoto watatu. Msanii wa filamu Bongo, Michael Sangu ‘Mike’. Chanzo makini kililiambia Risasi Mchanganyiko kuwa kufuatia tuhuma hizo za muda mrefu, Shakoor anadaiwa kufika...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Mike Sangu Afungukia Mdai ya Kutoka na Davina

Staa wa Bongo Movies, Michael Sangu ‘Mike’ amekanusha na kuruka kimanga baada ya taarifa kuvuma kuwa anatoka na mwigizaji wa kike Halima Yahaya ‘Davina’ na kusababisha uhusiano wa mwanadada huyo na familia yake kuvurugika, Mike anasema kuwa anamheshimu msanii huyo na kitu kipekee kinachowafanya wawe pamoja ni kazi tu.

Nimeulizwa sana na waandishi wengi kuhusu matatizo ya Davina lakini ukweli ni kwamba sina mahusiano naye zaidi ya kazi ambayo inatukutanisha na mimi nikiwa kama kiongozi wake...

 

9 years ago

Bongo Movies

NAPE ANASTAHILI- MIKE SANGU

nape

NAPE ANASTAHILI- MIKE SANGU

MWIGIZAJI wa kiume katika tasnia ya filamu Michael Sangu ‘Mike’ amefunguka kwa kuwashangaa watu wanaoponda uteuzi wa waziri wa Habari, Utamaduni Wasanii na michezo Mh. Nape Nnauye kwa kusema kuwa hawamjui vizuri wanatakiwa wafahamu ni mtu makini na anastahili.

Huwezi kuponda tu kwa sababu zako binafsi mimi ninamfahamu kiongozi Nape ni mtu makini na ana uwezo mkubwa sana katika masuala ya uongozi nawashangaa wanaoponda uteuzi wake bila kutambua uwezo wake,”anasema...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mchuano Mkali TDFAA 2015, Jimmy Mafufu, Mike Sangu, David , Dile , Salum Chilwa

MCHUANO mkali katika kinyang’anyiro cha kugombea nafasi ya mwenyekiti wa chama cha waigizaji Taifa (TDFAA) huku wasanii wenye ushawishi kwa wasanii wenzao wakijitokeza kuchukua fomu za kugombea nafasi hiyo anasema katibu Twiza.

Jimmy Mafufu akichukua fomu ya kugombea kutoka kwa katibu wa TDFAA Twiza Mbarouk .

Jimmy Mafufu akichukua fomu ya kugombea kutoka kwa katibu wa TDFAA Twiza Mbarouk .

“Mchuano ni mkali kila mhusika amepanga kuwa ni mshindi katika kinyang’anyiro cha kugombea nafasi ya uenyekiti Kitaifa kwa chama cha Waigizaji, hadi sasa ni zaidi ya wasanii wane...

 

10 years ago

GPL

MIKE ADAIWA KUMNASA DAVINA

Michael Sangu ‘Mike’. Richard Bukos
SIKU chache baada ya mwigizaji Michael Sangu ‘Mike’ kumwagana na mkewe mwigizaji Ndumbagwe Misayo ‘Thea’, amedaiwa kumnasa staa mwingine wa filamu, Halima Yahaya ‘Davina’ kwa kuwa naye karibu kiasi cha kuibua maswali. Aliyekuwa mke wa Mike, Ndumbagwe Misayo ‘Thea’. Katika hafla ya utoaji wa tuzo za TAFA wiki iliyopita katika...

 

11 years ago

GPL

NDOA YA THEA, MIKE YASUKWA

Stori:  Hamida Hassan
NDOA ya mastaa wa filamu Bongo, Mike Sangu ‘Mike’ na Ndumbangwe Misayo ‘Thea’ iliripotiwa kuvunjika siku chache zilizopita lakini taarifa zilizotufikia zinadai kuwa, wawili hao muda si mrefu watakuwa mwili mmoja tena. Mike Sangu ‘Mike’ na Ndumbangwe Misayo ‘Thea’. Chanzo chetu cha kuaminika kilichoomba hifadhi ya jina lake kilidai kuwa, uwezekano wa...

 

10 years ago

GPL

NDOA YA THEA, MIKE CHALI TENA

Gladness Mallya na Hamida Hassan
Ndoa ya mastaa wa Bongo Movies, Michael Sangu ‘Mike’ na Salome Urassa ‘Thea’ inadaiwa kuanguka chali kwa mara nyingine baada ya mwanadada huyo kurudi kwa wazazi wake kwa muda mrefu sasa.Chanzo makini kilidai kwamba, wawili hao walitengana miezi mitatu iliyopita na Thea kurudi nyumbani kwa mama yake maeneo ya Kinondoni jijini Dar kutokana na kile kilichodaiwa kuwa ni...

 

10 years ago

GPL

NIKIACHIKA, NDOA TENA BASI- DAVINA

Na Hamida Hassan
Staa wa filamu za Bongo, Halima Yahya ‘Davina’ ameibuka na kusema kuwa kama itatokea ndoa yake ikawa ndiyo imevunjika kabisa hatarajii kuolewa tena, itakuwa ndiyo imetosha. Staa wa filamu za Bongo, Halima Yahya ‘Davina’. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Davina alisema anamshukuru Mungu kwa kubahatika kuonja tamu na chungu ya ndoa na sasa kama itatokea mumewe akaona waachane...

 

10 years ago

GPL

DAVINA AIPA LIKIZO NDOA YAKE

imelda mtema Mapumziko! Staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ amefunguka kuwa baadhi ya watu wanafikiria hatarudi kwenye ndoa yake lakini kwa upande wake anaamini kuwa anakula likizo fupi kisha atarejea kuendelea na maisha ya ndoa. Halima Yahya ‘Davina’ Hivi karibuni, Davina aligombana na mumewe aliyehisi anaibiwa ‘mali’ zake na mwigizaji Mike Sangu. Akizungumza na Ijumaa...

 

10 years ago

GPL

SIRI NDOA YA THEA, MIKE KUYUMBA YAVUJA

Na Waandishi Wetu
IMEFICHUKA! Ile ndoa ya wasanii wa filamu za Kibongo, Salome Urassa ‘Thea’ na Michael Sangu ‘Mike’ ambayo imekuwa ikiyumba mara kwa mara chanzo kimedaiwa kilianzia kwenye ufungaji wake.Sosi wetu makini aliyeomba hifadhi ya jina lake alitutonya kuwa, ndoa ya mastaa hao ni ya mseto kwani hakuna aliyekuwa tayari kufuata imani ya mwenzake jambo lililowashangaza wengi. Salome Urassa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani