Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NDOA YA THEA, MIKE CHALI TENA

Gladness Mallya na Hamida Hassan
Ndoa ya mastaa wa Bongo Movies, Michael Sangu ‘Mike’ na Salome Urassa ‘Thea’ inadaiwa kuanguka chali kwa mara nyingine baada ya mwanadada huyo kurudi kwa wazazi wake kwa muda mrefu sasa.Chanzo makini kilidai kwamba, wawili hao walitengana miezi mitatu iliyopita na Thea kurudi nyumbani kwa mama yake maeneo ya Kinondoni jijini Dar kutokana na kile kilichodaiwa kuwa ni...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

TETESI: Ndoa ya Thea ya Anguka Chali Tena

Ndoa ya mastaa wa Bongo Movies, Michael Sangu ‘Mike’ na Salome Urassa ‘Thea’ inadaiwa kuanguka chali kwa mara nyingine baada ya mwanadada huyo kurudi kwa wazazi wake kwa muda mrefu sasa.

Chanzo makini kilidai kwamba, wawili hao walitengana miezi mitatu iliyopita na Thea kurudi nyumbani kwa mama yake maeneo ya Kinondoni jijini Dar kutokana na kile kilichodaiwa kuwa ni migogoro ya mara kwa mara.

Baada ya kuzinyaka habari hizo, waandishi wa GPL waliwaendea hewani kwa nyakati tofauti, Mike na...

 

11 years ago

GPL

NDOA YA THEA, MIKE YASUKWA

Stori:  Hamida Hassan
NDOA ya mastaa wa filamu Bongo, Mike Sangu ‘Mike’ na Ndumbangwe Misayo ‘Thea’ iliripotiwa kuvunjika siku chache zilizopita lakini taarifa zilizotufikia zinadai kuwa, wawili hao muda si mrefu watakuwa mwili mmoja tena. Mike Sangu ‘Mike’ na Ndumbangwe Misayo ‘Thea’. Chanzo chetu cha kuaminika kilichoomba hifadhi ya jina lake kilidai kuwa, uwezekano wa...

 

10 years ago

GPL

SIRI NDOA YA THEA, MIKE KUYUMBA YAVUJA

Na Waandishi Wetu
IMEFICHUKA! Ile ndoa ya wasanii wa filamu za Kibongo, Salome Urassa ‘Thea’ na Michael Sangu ‘Mike’ ambayo imekuwa ikiyumba mara kwa mara chanzo kimedaiwa kilianzia kwenye ufungaji wake.Sosi wetu makini aliyeomba hifadhi ya jina lake alitutonya kuwa, ndoa ya mastaa hao ni ya mseto kwani hakuna aliyekuwa tayari kufuata imani ya mwenzake jambo lililowashangaza wengi. Salome Urassa...

 

11 years ago

GPL

THEA, MIKE WARUDIANA

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan
WASANII wawili nyota wa filamu Bongo, Ndumbagwe Misayo ‘Thea’ na Michael Sangu ambao awali walitengana kwa sababu ambazo hazikuwekwa wazi, hatimaye wamerudiana. Thea na Mike katika pozi. Kikizungumza na gazeti hili, chanzo makini kutoka ndani ya familia hiyo kilisema wanandoa hao wamerudiana baada ya kupatanishwa na viongozi wa dini na familia zao, wakitelekeza viapo vyao...

 

11 years ago

GPL

MIKE AMBADILISHA JINA THEA

Na Rhoda Josiah STAA wa filamu za Kibongo, Michael Sangu ‘Mike’ amembadilisha mkewe jina kutoka lile lililozoeleka la Ndumbwagwe Misayo ‘Thea’ na kuitwa Salome Urasa Sangu. Staa wa filamu za Kibongo, Michael Sangu ‘Mike’ akiwa na mke wake Thea. Akipiga stori na mwandishi wa Amani, Thea alisema ameridhia kubadilisha jina kwa kukubaliana na mume wake kwa sababu anampenda na hajafikiria...

 

11 years ago

GPL

THEA, MIKE SASA MAHABA NIUE!

Stori: Musa Mateja
Ndoa ya mastaa wa filamu Bongo, Mike Sangu na Ndumbagwe Misayo ‘Thea’ inaonekana kurudi na nguvu ya aina yake baada ya wawili hao hivi karibuni kunaswa wakidhihirisha kwamba, licha ya yanayotokea, wanapendana kinomanoma. Mike Sangu akimlisha chakula mkewe kwa mahaba. Hivi karibuni wanandoa hao walinaswa kwenye mnuso ulioandaliwa na msanii mwenzao, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’...

 

10 years ago

GPL

THEA: MIKE ALIONA NDANI BAADA YA KUNILIPIA MAHARI

TUNAENDELEA na makala haya tuliyoyaanza wiki iliyopita, mwigizaji Salome Urassa ‘Thea’ amefunguka vitu vingi vinavyohusu maisha yake.
ENDELEA… Salome Urassa ‘Thea’ Mwandishi: Ulijisikiaje siku ambayo Mike alienda kujitambulisha kwenu rasmi?
Thea: Kwanza sikuwa naamini kama ni kweli bali niliamini siku hiyo ambayo Mike alipeleka mahari nyumbani, yaani hata hatukuwa tumekuwa na uhusiano wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mzee wa swaga:JB,Cassie Kabwita,Wastara,Wellu Sengo,Thea na Mike Ndani

Tegemea mzigo huu mpya unaokwenda kwajina la  “Mzee wa Swage”kosa la defence...ni goli, Iliyotengenezwa na Shikamoo Mzee na Danija Jerusalem Film.

Wakali  kama, JB,Cassie Kabwita,Wastara,Wellu Sengo,Thea na  Mike wameshiriki kwenye filamu hii ambayo inatarajiwa kutoka hivi karibuni na itasambazwa na kampuni ya Stesps Entertainment.

Hii sio yakukosa madau!!!

 

11 years ago

GPL

NDOA YA FLORA MBASHA CHALI

BAADA ya kudumu kwa zaidi ya miaka 10, imebainika kuwa ndoa ya mwanamuziki mahiri wa muziki wa Injili Bongo, Flora na mumewe Emmanuel Mbasha ipo chali kwa maana ya kuanguka huku ikidaiwa kuwa, kusimama imara tena inawezekana lakini ni kazi kubwa, Amani limefukunyua mazito. Flora Mbasha akiwa na mumewe Emmanuel Mbasha. Hilo limejitokeza wiki moja baada ya madai ya mwanaume huyo kudaiwa kumbaka shemeji yake na kesi ipo polisi....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani