NDOA YA FLORA MBASHA CHALI
![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1crtJ3WZ*HgjYoKV1VgDfO-SKVe4Mf2L0pJ8zMzpCPTPlkISKT*ZiuDmqdYNqLh7KwR*V3FEBqQs8KHasTQUZj1h/ndoa.jpg?width=650)
BAADA ya kudumu kwa zaidi ya miaka 10, imebainika kuwa ndoa ya mwanamuziki mahiri wa muziki wa Injili Bongo, Flora na mumewe Emmanuel Mbasha ipo chali kwa maana ya kuanguka huku ikidaiwa kuwa, kusimama imara tena inawezekana lakini ni kazi kubwa, Amani limefukunyua mazito. Flora Mbasha akiwa na mumewe Emmanuel Mbasha. Hilo limejitokeza wiki moja baada ya madai ya mwanaume huyo kudaiwa kumbaka shemeji yake na kesi ipo polisi....
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HfIXzVrPfI3uOtXrrNbf5IpZqXZIu-V6PZSjijdbBhggcJP-2EP1bbbVdpd*TVyG2uu1q*vqTaLpW-D-KROImfZgpJoZBJQ8/flora_mbasha5.jpg)
FLORA MBASHA AKIRI: MWANANGU SI WA MBASHA!
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-giQBJDM2wM8/VL9qpB2hv0I/AAAAAAADWPU/t6rahjXgMtg/s72-c/Flora-Mbasha-Xmass-Card.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRmkiNyONmKW6b8GJXPfuWsHT2UPvgV2OmQsf92vBYrWl2lYy9hJm8nAqfk8zwAk1bdUivUq*BxO1X9VUQg7BbdC/FLORA.jpg)
FLORA MBASHA AVAMIWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6pEZNpG8oVy6Fk3RXjSsCr4jdT9auMRfTZzcrjVF4ITcPCjp46jb3Uku9J4bG8102MHbtI23X0B4qJFSRCsJAvW/flora.jpg)
MBASHA, FLORA WAPATANA
10 years ago
Mtanzania05 Feb
Gwajima, Flora Mbasha wafunguka
Elias Msuya na Fredy Azzah, Dar es Salaam
SIKU chache baada ya picha za mtoto mchanga kusambazwa katika mitandao ya kijamii na kudai kuwa ni za mtoto wa mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini, Flora Mbasha kuwa amezaa na Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima hatimaye wawili hao wamefunguka.
Hatua hiyo imekuja miezi saba tangu wawili hao walipoingia katika mgogoro wa ndoa yao hali iliyosababisha mume wa Flora, Emmanuel Mbasha kufikishwa mahakamani kwa kosa la...
11 years ago
Habarileo18 Jun
Mume wa Flora Mbasha kizimbani
MUME wa Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha (32) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala mkoani Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka mawili ya ubakaji.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/KOZslsWYfWg/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p5H7N8Ot6oOoMhaf9XCPzEaeTR0xDkzcC28ZGou3WnXQOQEQutcqV-MqVfzUZuujxKDCIPMkur4a2c*dFKt08Nl*GcJ1enFF/AMANDA.jpg)
AMANDA AMFUNGUKIA FLORA MBASHA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a8ZZitQ2zfWSv*9hXQS7RDPY9482OQGIRFbkAvkh4nH2nJ9g58pdLxIWtIwZZ4-gg*mnjCrLCF67uYUmXtLuP9teNuaZ7rES/BACKRISASIJMOSI.gif?width=650)
FLORA AMSHTAKI TENA MBASHA!