THEA, MIKE SASA MAHABA NIUE!

Stori: Musa Mateja Ndoa ya mastaa wa filamu Bongo, Mike Sangu na Ndumbagwe Misayo ‘Thea’ inaonekana kurudi na nguvu ya aina yake baada ya wawili hao hivi karibuni kunaswa wakidhihirisha kwamba, licha ya yanayotokea, wanapendana kinomanoma. Mike Sangu akimlisha chakula mkewe kwa mahaba. Hivi karibuni wanandoa hao walinaswa kwenye mnuso ulioandaliwa na msanii mwenzao, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
LUNGI NA MAHABA NIUE
11 years ago
GPL
THEA, MIKE WARUDIANA
11 years ago
GPL
MAHABA NIUE YAMFICHA SNURA
10 years ago
GPL
WEMA, IDRIS MAHABA NIUE!
9 years ago
Bongo Movies22 Nov
Diamond, Kajala Mahaba Niue!
NI gumzo! Ubuyu motomoto ambao unasambaa kwa kasi ya ajabu kama moto wa kifuu mjini unadai kuwa, staa nambari moja Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mwigizaji Kajala Masanja wamedaiwa kuwa ni wapenzi na sasa ni mahaba niue, Risasi Jumamosi limesheheni full stori.
TUJIUNGE NA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo makini, uhusiano wa Diamond na Kajala unadaiwa kuibuka ghafla miezi kadhaa iliyopita lakini wamekuwa wakifanya siri nzito kabla ya hivi karibuni kukolea zaidi baada ya mpenzi...
10 years ago
Bongo531 Jan
New Video: Pasha — Mahaba Niue
11 years ago
GPL
SNURA AGANDWA NA MAHABA NIUE
11 years ago
GPL
NDOA YA THEA, MIKE YASUKWA
11 years ago
GPL
MIKE AMBADILISHA JINA THEA