NIKIACHIKA, NDOA TENA BASI- DAVINA
![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfANdexowJDVrh6T2uoW7LIvIkuZQNshYIKWikEt6qVTnlz1FxNQKF1ns46jPHX1UAjO2U21oPc0QqW9q03liwU1/Davina.jpg)
Na Hamida Hassan Staa wa filamu za Bongo, Halima Yahya ‘Davina’ ameibuka na kusema kuwa kama itatokea ndoa yake ikawa ndiyo imevunjika kabisa hatarajii kuolewa tena, itakuwa ndiyo imetosha. Staa wa filamu za Bongo, Halima Yahya ‘Davina’. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Davina alisema anamshukuru Mungu kwa kubahatika kuonja tamu na chungu ya ndoa na sasa kama itatokea mumewe akaona waachane...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies24 Aug
Nora: Naolewa, Nikiachika Tena…!
MUIGIZAJI wa muda mrefu katika tasnia ya filamu Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ yuko katika siku za mwisho za kuhitimisha harakati za kufunga ndoa, huku akijiapiza kuwa, endapo ataachika tena, basi atakuwa na nuksi.
Akipiga stori na paparazi wetu juzi, mmoja wa marafiki wa muda mrefu na Nora, ambaye pia ni msanii wa filamu (jina lipo kwenye droo zetu), alisema kwa sasa Nora yuko ‘bize’ kuhakikisha mambo na mipango ya harusi yake na mwanaume ambaye alitajwa kwa jina moja la Omary inakwenda...
9 years ago
GPLNORA: NAOLEWA, NIKIACHIKA TENA…!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3ZSopUVDgYthF9anNTihHnjqkZ57Gid55ErAKMqVXqYrsWMc3qFY8yg-5GKFme3PRRXgJabVN3*dtrglKmlE7o6PVCJ1jv4/davinacopy.jpg?width=650)
DAVINA AIPA LIKIZO NDOA YAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo7Uujad0KR0EHKV9vE9fYveZCMEdtBU*IxMQ0aTHmWttrhuMSKJCXGTGQVsBouDsgAku50uADy1U0OCUEaPa99H/rttr6567.gif?width=650)
MIKE SANGU AIPASUA NDOA YA DAVINA
10 years ago
Bongo Movies20 Apr
Davina Akanusha Habari “Davina Amchokonoa Wema” Adai ni Uchonganishi
Staa wa bongo movies, Halima Yahaya ‘Davina’ ameonyesha kushitushwa na habari zilizoripotiwa leo nagezeti moja la udaku limeripoti habari yenye kishwa cha habari “Davina Amchokokoa Wema” kitu ambacho Davina amedai ni uchanganishi kati yake na Staa mwenzake Wema Sepetu.
Gazeti hilo limedai kuwa Davina alisema kuwa anamshukuru Mungu kwa mawanae kutimiza miaka miwili kwani kuna watu wanatafuta watoto mpaka sasa hawajapata.
Davina aliyaongea hayo katika birthday ya mwanae iliyofanyika ...
10 years ago
Mtanzania16 Dec
Maximo basi tena Yanga
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SAALAM,
UONGOZI wa klabu ya Yanga umeamua kukatisha mkataba wake na kocha wa timu hiyo, Mbrazil Marcio Maximo kuanzia sasa ukiwa ni uamuzi ulioafikiwa katika kikao kilichofanyika juzi Hoteli ya Protea, jijini Dar es Salaam.
Kikao hicho kimekaa siku moja baada ya timu hiyo kuchapwa bao 2-0 na watani wao wa jadi, Simba katika mchezo wa Nani Mtani Jembe uliofanyika mwishoni mwa wiki Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Maximo anaondolewa katika kikosi hicho akiwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*rwcQDa6LWN*bxHJ1W9pKSfEVEDJrQsUUdJfoixJ8YRJDe78CRj3Rav8hz9uF2CUSJa567D22SVzw9h57oKmSQv/wambura.jpg?width=600)
Wambura basi tena Simba
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Tukishindwa sasa basi tena- Lowassa
10 years ago
GPLJuma Kaseja basi tena Yanga