Nora: Naolewa, Nikiachika Tena…!
MUIGIZAJI wa muda mrefu katika tasnia ya filamu Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ yuko katika siku za mwisho za kuhitimisha harakati za kufunga ndoa, huku akijiapiza kuwa, endapo ataachika tena, basi atakuwa na nuksi.
Akipiga stori na paparazi wetu juzi, mmoja wa marafiki wa muda mrefu na Nora, ambaye pia ni msanii wa filamu (jina lipo kwenye droo zetu), alisema kwa sasa Nora yuko ‘bize’ kuhakikisha mambo na mipango ya harusi yake na mwanaume ambaye alitajwa kwa jina moja la Omary inakwenda...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLNORA: NAOLEWA, NIKIACHIKA TENA…!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfANdexowJDVrh6T2uoW7LIvIkuZQNshYIKWikEt6qVTnlz1FxNQKF1ns46jPHX1UAjO2U21oPc0QqW9q03liwU1/Davina.jpg)
NIKIACHIKA, NDOA TENA BASI- DAVINA
10 years ago
GPLNORA: SIFIKIRII MAPENZI TENA!
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Nora adaiwa kuwa chizi tena!
Mwigizaji wa kitambo Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’.
Na Brighton Masalu
NURU Nassoro ‘Nora’ ambaye ni mwigizaji wa kitambo Bongo,anadaiwa kuugua uchizi kwa mara nyingine tena, jambo ambalo amelipinga vikali na kwamba wabaya wake wameendelea kumtakia mabaya katika maisha yake, lakini yuko safi na anaendelea na maisha yake.
Mwanzoni mwa wiki hii, mmoja wa rafiki zake wa karibu aliliambia gazeti hili kuwa, uzushi na uvumi huo ulianza kuenezwa wiki mbili zilizopita, hali iliyosababisha watu wengi,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKm5*MKWgneCX4CAtJnQFqjupzhCN8G6-*P4Ghc55Tddqq14bLNfNYLvK0JdRvQps-k4q5Nl5WTtcAMLUoS32Of1/bib.jpg)
BI MWENDA: MAIMARTHA AKINIRUHUSU, NAOLEWA
10 years ago
Vijimambo23 Sep
9 years ago
Bongo Movies30 Oct
Nipo Sijapotea- Nora
MWIGIZAJI wa kike katika tasnia ya filamu Bongo Nuru Nassor ‘Nora’ anasema hajapotea katika tasnia ya filamu bali ni kujipanga na kufanya kazi zake zaidi kuliko za kushirikishwa kwani mara nyingi filamu ili ung’are lazima uwe mtayarishaji.
“Filamu ni tofauti na tamthilia, katika filamu kuna changamoto nyingi sana hali ya soko lakini pia maandalizi yake ni gharama, ndio kuna wakati wanaona msanii kama kapotea kumbe anajipanga,”Nora.
Nora anasema kuwa baadhi ya watayarishaji ni waoga...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pVOWqi0dq18Kmi4uAEdClwq11yB7YhvPRlJMpS76HMB2bFG9NM*DSHVhm-IH3KC9jhANrAvoYNjczo5XmOHvotRwp9GKPhia/nora.jpg?width=650)
NORA ATESWA NA MATAPELI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tBTKCkFUMvM6fZZON6KezVj0iU42N4aSOSyldOXuQHTE4AqKp0iflE*OUDEMUuKYWw-WAkYzwWh1mfWVqeHXmmTwjLra1PL9/kajala.jpg)
NORA AMCHANA KAJALA