Nora adaiwa kuwa chizi tena!
Mwigizaji wa kitambo Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’.
Na Brighton Masalu
NURU Nassoro ‘Nora’ ambaye ni mwigizaji wa kitambo Bongo,anadaiwa kuugua uchizi kwa mara nyingine tena, jambo ambalo amelipinga vikali na kwamba wabaya wake wameendelea kumtakia mabaya katika maisha yake, lakini yuko safi na anaendelea na maisha yake.
Mwanzoni mwa wiki hii, mmoja wa rafiki zake wa karibu aliliambia gazeti hili kuwa, uzushi na uvumi huo ulianza kuenezwa wiki mbili zilizopita, hali iliyosababisha watu wengi,...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLNORA: SIFIKIRII MAPENZI TENA!
9 years ago
Bongo Movies24 Aug
Nora: Naolewa, Nikiachika Tena…!
MUIGIZAJI wa muda mrefu katika tasnia ya filamu Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ yuko katika siku za mwisho za kuhitimisha harakati za kufunga ndoa, huku akijiapiza kuwa, endapo ataachika tena, basi atakuwa na nuksi.
Akipiga stori na paparazi wetu juzi, mmoja wa marafiki wa muda mrefu na Nora, ambaye pia ni msanii wa filamu (jina lipo kwenye droo zetu), alisema kwa sasa Nora yuko ‘bize’ kuhakikisha mambo na mipango ya harusi yake na mwanaume ambaye alitajwa kwa jina moja la Omary inakwenda...
9 years ago
GPLNORA: NAOLEWA, NIKIACHIKA TENA…!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HbsRLQ*GNXalAWcbM7SQ3UaaUMtaJL0yg9bYy7TR6CCcjxUTWRbdW7rcXZ*Ts0yWavJLF14irUs8BFIoCdJ9s7xcHiHpz6hu/rose.jpg)
ROSE MUHANDO ADAIWA KUTAPELI TENA!
9 years ago
Bongo510 Oct
Mchumba wa Bobbi Kristiana hatiani tena, adaiwa alimchanganyia pombe hatari
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3WL4yNYnOoaSsKSKuEtgbE1OMiZiYVzIf4lLdJqh9z3-OIZ2xwZez8PgTlGh2NLZozV9F4aw0NDWqen4Gpe1Lw7fvtsZye5t/rihannacropped.jpg)
RIHANNA ADAIWA KUWA MJAMZITO
10 years ago
CloudsFM04 Mar
Tifu laibuka tena! Shilole adaiwa kutaka kumpasua na chupa Nuh Mzuwanda.
Staa wa Bongo Fleva na Bongo Movie,Shilole amedaiwa kutaka kumpiga tena mpenzi wake ambaye pia ni msanii Nuh Mziwanda kwa chupa hivi karibuni wakiwa kwenye sherehe ya kuzaliwa meneja wa msanii Kajala,aitwaye Lamata iliyofanyika pande za Samaki Samaki,Posta,jijini Dar.
Katika tukio hilo habari zinasema kuwa Shilole alikuwa amelewa sana na kwamba walikuwa wamekaa sehemu tofauti na Nuh Mziwanda,ghafla sehemu aliyokuwa amekaa Nuh na wasanii wengine ilirushwa chupa ambayo ilikuwa ikimlenga msanii...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HbsRLQ*GNXbRKs8L3USnPj6YnGEqO*f5dHk6qvRZbKpQThne-MuGlSpBcp8AdYMf837eGAG2FOozd18lHnv06LrWK-hW8Xko/steve.jpg)
MIKE ADAIWA KUWA MLINZI WA STEVE NYERERE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79FAz6LP6Hist607QABydkvwa*imv8lmCNxE20Zlg4DxM*bHlyyBbo2LLMFpWNqOJTohUFw*v*q8SbmVYDwIVjFHIHpjAFYa/wema.jpg?width=650)
WEMA AZUA TIMBWILI GLOBAL, AJIITA YEYE NI CHIZI KULIKO MACHIZI WOOTE!