Mchumba wa Bobbi Kristiana hatiani tena, adaiwa alimchanganyia pombe hatari
Nick Gordon, anakabiliwa na mashtaka mapya kwamba alimchanganyia mpenzi wake Bobbi Kristina Brown vilevi vyenye madhara, kwa mujibu wa nyaraka mpya za mahakamani zilizopatikana Ijumaa hii. Mashtaka hayo yanadai “Ms. Brown died due to a violent altercation with Defendant (Gordon) after which he placed her in a bathtub, unconscious, after he injected her with a […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo07 Feb
MCHUMBA WA BOBBI KRISTINA HUENDA AKAWA MATATANI
![](http://www.crazydaysandnights.net/wp-content/uploads/2015/02/bk2.jpg)
Habari ambazo Vijimambo imezipata, Bobbi Kristina alikutwa na michubuko ambayo bado haijajulikana imetokana na nini japo bado Polisi wanaendelea na uchunguzi ikiwa Nick Gordon na rafiki yake waliokuwepo kwenye tukio wakiwa wamehojiwa na polisi wa jimbo la Georgia.
Polisi inajaribu kutafuta saa moja kabla ya Bobbi Kristina kukutwa bafuni ni nini kilichokua kikiendelea kati ya hao wapenzi wawili. Vijimambo imepata taarifa Max Lomas rafiki ya wawili hao aliyemgundua Bobbi Kristina akiwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MjUiWVyv*JKFSHfV18UTu*eA-cUHdjU52hLl20bDSAPho17PuapZYEnNEinrxd1Lp61zt4fUT2RiQgpnrGwTbdIbmM6Gd9Ze/ulevinoma.jpg)
MCHUMBA WA MTU AZIMIKA BARABARANI, POMBE YATAJWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf0zvVPCjha5Ey0s594DnGuIZHrb-ybkpO7S-eNRfZW8Z8eHdSHSb*bh0dfwWxoThwPXhSv3ZR6i-kRzNz0C1RPf/lulu.jpg?width=650)
MCHUMBA WA SI SIRI TENA!
10 years ago
Bongo508 Sep
Exclusive Pics: Mchumba wa Nay wa Mitego, Siwema ni mjamzito tena!
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Nora adaiwa kuwa chizi tena!
Mwigizaji wa kitambo Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’.
Na Brighton Masalu
NURU Nassoro ‘Nora’ ambaye ni mwigizaji wa kitambo Bongo,anadaiwa kuugua uchizi kwa mara nyingine tena, jambo ambalo amelipinga vikali na kwamba wabaya wake wameendelea kumtakia mabaya katika maisha yake, lakini yuko safi na anaendelea na maisha yake.
Mwanzoni mwa wiki hii, mmoja wa rafiki zake wa karibu aliliambia gazeti hili kuwa, uzushi na uvumi huo ulianza kuenezwa wiki mbili zilizopita, hali iliyosababisha watu wengi,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HbsRLQ*GNXalAWcbM7SQ3UaaUMtaJL0yg9bYy7TR6CCcjxUTWRbdW7rcXZ*Ts0yWavJLF14irUs8BFIoCdJ9s7xcHiHpz6hu/rose.jpg)
ROSE MUHANDO ADAIWA KUTAPELI TENA!
11 years ago
Mwananchi11 Jun
Tutegemee tena Bajeti ya sigara, pombe, soda?
10 years ago
CloudsFM04 Mar
Tifu laibuka tena! Shilole adaiwa kutaka kumpasua na chupa Nuh Mzuwanda.
Staa wa Bongo Fleva na Bongo Movie,Shilole amedaiwa kutaka kumpiga tena mpenzi wake ambaye pia ni msanii Nuh Mziwanda kwa chupa hivi karibuni wakiwa kwenye sherehe ya kuzaliwa meneja wa msanii Kajala,aitwaye Lamata iliyofanyika pande za Samaki Samaki,Posta,jijini Dar.
Katika tukio hilo habari zinasema kuwa Shilole alikuwa amelewa sana na kwamba walikuwa wamekaa sehemu tofauti na Nuh Mziwanda,ghafla sehemu aliyokuwa amekaa Nuh na wasanii wengine ilirushwa chupa ambayo ilikuwa ikimlenga msanii...
11 years ago
Michuzi18 Feb
KIJANA MTANASHATI ATAFUTA MCHUMBA WA KUOA: Ona picha yake na sifa za mchumba huyo anayemtaka apo chini
![](https://4.bp.blogspot.com/-yF_B61RPSXE/UwNobcg0nQI/AAAAAAAABqg/22IqbDfuLN4/s1600/OSCAR.jpg)
Master Oscar John
Mimi ni kijana wa kitanzania ambaye nimekulia katika maadili ya kidini na malezi mazuri ya kifamia, napenda nichukue fursa hii nitangaze nafasi ya mchumba ambaye kama ata kidhi vigezo vyangu atakuwa ndio mke wangu wa ndoa. Kifupi mi ni mtaalam wa IT naishi Dar es salaam. Mchumba ninaye mtaka ni vema awe amekulia malezi ya kidini kwa sababu mimi ni mcha Mungu na napenda kusali kwa hiyo napenda na yeye awe hivyo, malezi yangu ni ya dini ya kikristo ni vema na yeye akawa...