Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tutegemee tena Bajeti ya sigara, pombe, soda?

Bajeti ya Serikali kwa mwaka ujao wa fedha itawasilishwa kesho bungeni mjini Dodoma.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Jee Wtz tutegemee changing gani ikiwa Mh Pombe Makufuli anasema atalinda sera na ilani zote za ccm kama wale walomtangulia kabla yake ?

Ccm ni miaka 51(nusu karne) imeshika madaraka na bado Wtz waakawaida ni maskini na Serekali inayo ongozwa na Ccm 80% inaomba budget yake ya kila mwaka kwa misada ya kigeni. Jee kweli Makufuli 1 ambaye kila […]

The post Jee Wtz tutegemee changing gani ikiwa Mh Pombe Makufuli anasema atalinda sera na ilani zote za ccm kama wale walomtangulia kabla yake ? appeared first on Mzalendo.net.

 

5 years ago

BBCSwahili

'Baba alinifunza kunywa pombe na kuvuta sigara'

Fahamu maisha ya Anne yalivyokuwa baada ya kuwa mraibu wa pombe kupindukia alikorithishwa na baba yake mzazi.

 

11 years ago

Mwananchi

AFYA: Wazee watakiwa kuacha pombe, sigara

>Wazee wilayani hapa mkoani Kilimanjaro wametakiwa kuachana na matumizi ya pombe na uvutaji wa sigara na kujiweka katika hali ya usafi ili waweze kuwa na afya bora na kuondokana na magonjwa yasiyo ya lazima.

 

11 years ago

Mwananchi

Pombe, sigara, chumvi chanzo cha saratani ya utumbo

>Maradhi ya saratani yameendelea kushika kasi duniani kote na kusababisha taharuki kwa watu maskini na hata matajiri. Saratani huweza kuathiri sehemu yeyote ya mwili wa binadamu.

 

10 years ago

Mtanzania

Bajeti yaweka kando bia, sigara

bajetiNA WAANDISHI WETU, DODOMA/DAR
WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya Salum, amewasilisha Bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/16 ya Sh trilioni 22.1 huku kwa mara ya kwanza ikiwa haijapandisha kodi ya sigara na vileo kama ilivyokuwa kwa miaka iliyopita.
Akiwasilisha mapendekezo hayo jana bungeni mjini Dodoma, Waziri Saada alisema kwa mwaka huu wa fedha bajeti hiyo itajikitaka katika kutekeleza vipaumbele vya Uchaguzi Mkuu, msukumo katika kukamilisha miradi inayoendelea sasa, msukumo maalumu kwenye miradi...

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Bilali- Pombe, sigara vinachangia maambukizi ya saratani ya koo na ini

Mtindo wa maisha kama vile unywaji wa pombe na uvutaji wa sigara, ni miongoni wa sababu kubwa zinazotajwa kuchangia saratani ya koo la chakula na ini.

 

11 years ago

Bongo5

Kampuni ya sigara yaamriwa kumlipa mjane wa mvuta sigara aliyekufa kwa kansa ya mapafu dola bil.26.6!

Kundi la waamuzi wa kesi (jury) katika mahakama ya Florida nchini Marekani limeiamuru kampuni ya sigara ya RJ Reynolds Tobacco kumlipa mwanamke aliyefiwa na mume wake kwa saratani ya mapafu dola bilioni 23.6. Adhabu hiyo inajulikana kitaalum kama ‘Punitive damages’ na hutolewa kuyakatisha tamaa makampuni au watu kufanya mambo mabaya huku fidia au ‘compensatory damages’ […]

 

9 years ago

Bongo5

Mchumba wa Bobbi Kristiana hatiani tena, adaiwa alimchanganyia pombe hatari

Nick Gordon, anakabiliwa na mashtaka mapya kwamba alimchanganyia mpenzi wake Bobbi Kristina Brown vilevi vyenye madhara, kwa mujibu wa nyaraka mpya za mahakamani zilizopatikana Ijumaa hii. Mashtaka hayo yanadai “Ms. Brown died due to a violent altercation with Defendant (Gordon) after which he placed her in a bathtub, unconscious, after he injected her with a […]

 

11 years ago

Habarileo

Bajeti Wizara ya Afya Z'bar kupitiwa tena

WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi watapitia tena vifungu vya bajeti ya Wizara ya Afya ambayo ilikwama mwishoni mwa wiki, baada ya wajumbe wengi kutoridhishwa na mgawanyo wa fedha katika maeneo muhimu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani