Tutegemee tena Bajeti ya sigara, pombe, soda?
Bajeti ya Serikali kwa mwaka ujao wa fedha itawasilishwa kesho bungeni mjini Dodoma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar31 Aug
Jee Wtz tutegemee changing gani ikiwa Mh Pombe Makufuli anasema atalinda sera na ilani zote za ccm kama wale walomtangulia kabla yake ?
Ccm ni miaka 51(nusu karne) imeshika madaraka na bado Wtz waakawaida ni maskini na Serekali inayo ongozwa na Ccm 80% inaomba budget yake ya kila mwaka kwa misada ya kigeni. Jee kweli Makufuli 1 ambaye kila […]
The post Jee Wtz tutegemee changing gani ikiwa Mh Pombe Makufuli anasema atalinda sera na ilani zote za ccm kama wale walomtangulia kabla yake ? appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
BBCSwahili27 May
'Baba alinifunza kunywa pombe na kuvuta sigara'
11 years ago
Mwananchi01 Jul
AFYA: Wazee watakiwa kuacha pombe, sigara
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Pombe, sigara, chumvi chanzo cha saratani ya utumbo
10 years ago
Mtanzania12 Jun
Bajeti yaweka kando bia, sigara
NA WAANDISHI WETU, DODOMA/DAR
WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya Salum, amewasilisha Bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/16 ya Sh trilioni 22.1 huku kwa mara ya kwanza ikiwa haijapandisha kodi ya sigara na vileo kama ilivyokuwa kwa miaka iliyopita.
Akiwasilisha mapendekezo hayo jana bungeni mjini Dodoma, Waziri Saada alisema kwa mwaka huu wa fedha bajeti hiyo itajikitaka katika kutekeleza vipaumbele vya Uchaguzi Mkuu, msukumo katika kukamilisha miradi inayoendelea sasa, msukumo maalumu kwenye miradi...
11 years ago
Mwananchi31 May
Dk Bilali- Pombe, sigara vinachangia maambukizi ya saratani ya koo na ini
11 years ago
Bongo521 Jul
Kampuni ya sigara yaamriwa kumlipa mjane wa mvuta sigara aliyekufa kwa kansa ya mapafu dola bil.26.6!
9 years ago
Bongo510 Oct
Mchumba wa Bobbi Kristiana hatiani tena, adaiwa alimchanganyia pombe hatari
11 years ago
Habarileo10 Jun
Bajeti Wizara ya Afya Z'bar kupitiwa tena
WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi watapitia tena vifungu vya bajeti ya Wizara ya Afya ambayo ilikwama mwishoni mwa wiki, baada ya wajumbe wengi kutoridhishwa na mgawanyo wa fedha katika maeneo muhimu.