KIJANA MTANASHATI ATAFUTA MCHUMBA WA KUOA: Ona picha yake na sifa za mchumba huyo anayemtaka apo chini
Master Oscar John
Mimi ni kijana wa kitanzania ambaye nimekulia katika maadili ya kidini na malezi mazuri ya kifamia, napenda nichukue fursa hii nitangaze nafasi ya mchumba ambaye kama ata kidhi vigezo vyangu atakuwa ndio mke wangu wa ndoa. Kifupi mi ni mtaalam wa IT naishi Dar es salaam.
Mchumba ninaye mtaka ni vema awe amekulia malezi ya kidini kwa sababu mimi ni mcha Mungu na napenda kusali kwa hiyo napenda na yeye awe hivyo, malezi yangu ni ya dini ya kikristo ni vema na yeye akawa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL22 Nov
11 years ago
GPLMCHUMBA: MSINIUMIZE NA PICHA FEKI ZA MAREHEMU RECHO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uFCQvH3jdgDCWoLVWzuTtrxGL0Qz*L*UANpnp1vCnuAzCzkbyyQRgnHcFqIsGGDYZLRdNYthv1kAdPukRc6ze3fIKbK1lmWV/NEY.jpg)
PICHA ZA NGONO ZA NAY ZAMLIZA MCHUMBA’KE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0uMX6j0VBUn4lfvicKg3Etf3SvE3gT9DiLa9C4Ie3jLvoZPCVcSZl1yzKFUfYcg3ocZ0TfZ9QwyAoCEONm7lPU9e5NxmUyIp/10903276_929371630406866_1704915966_n.jpg?width=750)
TAZAMA PICHA ALIZOPOSTI MCHUMBA WA NAY MTANDAONI
10 years ago
Bongo Movies06 Jun
Picha ya Wema Sepetu na ‘Mchumba’ wa Linnah Yazua Utata
Picha iliyosambaa mtandaoni ya Staa wa Bongo Movie,Wema Sepetu akiwa na aliyekuwa mchumba wa msanii wa Bongo Fleva,Linnah Sanga aitwaye Naga imezua utata baada ya mashabiki wa mwigizaji huyo kuhisi huenda amejiweka kwa mwanaume huyo baada ya kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinumz.
Taarifa kutoka ‘kitaani’zinasema kuwa wawili hao wameingia kwenye uhusiano wa kimapenzi ili kulipiza kisasi cha miaka kadhaa iliyopita baada ya kusemekana kuwa Linnah aliwahi...
10 years ago
Bongo Movies02 Jun
Mchumba wa Chilole, Nuh Mziwanda Amkana Msichana Aliyedai Kuwa na Mimba Yake
Mchumba wa Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva Zuwena Mohammed ‘Shilole’, Nuh Mziwanda amefunguka baada ya msichana Rose John kudai kuwa ana ujauzito wa miezi miwili wa msanii huyo.
Msichana huyo alizungumza jana kupitia Uheard na Soud Brown ambapo alisema kuwa amekuwa na uhusiano na Nuh kwa miaka miwili lakini walitengana baada ya kusikia ana uhusiano na msanii Shilole na kwamba amechora tatuu ya jina lake.
Niliachana naye baada ya kusikia na uhusiano na Shilole na pia amechora tatuu ya...
10 years ago
Bongo Movies11 May
Kauli ya Shilole na Mchumba Wake Juu ya Picha Chafu za Shilole Akiwa Stejini
Haya ndiyo maelezo ya wawili hao kuhusiana na picha za mwanadada shilole zikimuonyesha wazi sehemu ya kifua chake wakati akiwa stejini anatumbuiza huko nchini Ubelgiji.
Show ni movement na uwezi mkataza mtu kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo za show na nguo za kutoka out kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi kuchomoka akina dada mnafaham na mtu yupo stejini anakua hajitambui kama nini kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana wengine...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-QeuZ5mkMREw/VWddrRSEa1I/AAAAAAADo1I/Uf3cyrAnhOU/s72-c/Ally.jpg)
EXCLUSIVE: ALLY REHMTULA ATAFUTA MWANAMKE WA KUOA
![](http://1.bp.blogspot.com/-QeuZ5mkMREw/VWddrRSEa1I/AAAAAAADo1I/Uf3cyrAnhOU/s640/Ally.jpg)
Ni exclusive news kutoka kwa Fashion Designer Ally Rehmtullah, ambaye 2014 alimake headline kwenye mitandao ya kijamii mara baada ya kuandaa keki kwenye birthday yake iliyoleta utata katika jamii kufuatia shape ya keki hiyo kuwa na umbile la mwanaume na hatimaye Ally kunyonya umbo lenye shape ya uume kwenye ile keki. Mbali na hilo hii ni mpya nyingine kutoka kwa designer huyo ambaye ametoa exclusive nyingine ya kutafuta mke
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fi2.wp.com%2Fteamtz.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F05%2Fall-remtula.jpg%3Fresize%3D390%252C519&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vuUh0rgUyT4JcAqmnM2sO00p5pCpLeCOivHGXerm8P4jwXyuqjjRwalnzDkMIbxJ6KVUf457a*oVFT0VieH0J64jg5nCBcSY/adam.jpg)
MCHUMBA WA KUAMBIANA AIBUKA!