Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PICHA ZA NGONO ZA NAY ZAMLIZA MCHUMBA’KE!

Na Musa MAteja
Udhalilishaji! Picha za ngono zilizozagaa katika mitandao ya kijamii za Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, zikimuonesha akifanya ufuska na mrembo chumbani zimemliza mchumba’ke, Siwema ambaye ameamua kumsusia mtoto wao mchanga. Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, akifanya ufuska na mrembo chumbani. Habari kutoka chanzo cha kuaminika...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TAZAMA PICHA ALIZOPOSTI MCHUMBA WA NAY MTANDAONI

Mchumba wa staa wa Bongo Fleva, Emanuel Elibariki 'Nay wa Mitego' , Siwema Edson ' Mama Curtis' amepost leo picha za mahaba akiwa kitandani na mzazi mwenzie huyo kupitia Account yake ya Instagram.…

 

11 years ago

Michuzi

KIJANA MTANASHATI ATAFUTA MCHUMBA WA KUOA: Ona picha yake na sifa za mchumba huyo anayemtaka apo chini


Master Oscar John
Mimi ni kijana wa kitanzania ambaye nimekulia katika maadili ya kidini na malezi mazuri ya kifamia, napenda nichukue fursa hii nitangaze nafasi ya mchumba ambaye kama ata kidhi vigezo vyangu atakuwa ndio mke wangu wa ndoa. Kifupi mi ni mtaalam wa IT naishi Dar es salaam.  Mchumba ninaye mtaka ni vema awe amekulia malezi ya kidini kwa sababu mimi ni mcha Mungu na napenda kusali kwa hiyo napenda na yeye awe hivyo, malezi yangu ni ya dini ya kikristo ni vema na yeye akawa...

 

10 years ago

GPL

NAY AMFUMANIA MCHUMBA'KE KITANDANI

Musa mateja
KABAANG! Mkali wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, amedaiwa kumfumania ‘laivu’ mchumba wake Siwema akiwa kitandani na ‘serengeti boy’ wake ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja, Ijumaa lina full stori. Mkali wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’. NI MWANZA
Kwa mujibu wa chanzo kilichoshuhudia mwanzo mwisho, tukio hilo...

 

10 years ago

Bongo5

Nay wa Mitego na mchumba wake wapata mtoto wa kiume

Mchumba wa rapper Nay wa Mitego, Siwema amejifungua mtoto wa kiume jana ambapo pia ilikuwa ni siku ya kuzaliwa kwa mama wa msanii huyo. Mtoto wa Nay akiwa na bibi yake Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Nay ameandika:Ooooooh my goooooood!!!! Leo ni cku ya kuzaliwa mama angu mzazi,,, tukiwa 2nakata cake napigiwa cm nimepata mtoto […]

 

10 years ago

Bongo5

Exclusive Pics: Mchumba wa Nay wa Mitego, Siwema ni mjamzito tena!

Baada ya kuharibika kwa mimba ya kwanza ya mchumba Nay Wa Mitego, Siwema, hatimaye mwanadada huyo anatatarajia kuwa mama tena na anatarajia kujifungua hivi karibuni. Nay wa Mitego akiwa na mpenzi wake Siwema “Umemuona mama kijacho,” Nay alimwambia wa Bongo5 baada ya kutembelewa na mpenzi wake katika uwanja ndege wa Mwanza akijiandaa kuekelea Dar es […]

 

11 years ago

GPL

MCHUMBA: MSINIUMIZE NA PICHA FEKI ZA MAREHEMU RECHO

Mume wa Marehemu Rachel aitwaye George Sagunda. Hapa ndipo alipozikwa marehemu Sheila Haule ‘Recho’. Shimo dogo ndo alizikwa mtoto wake aliyefariki muda mfupi baada ya kumzaa!… Stori: Erick Evarist
MCHUMBA ambaye alifikia hadhi ya mume wa mwigizaji marehemu Sheila Haule…

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha ya Wema Sepetu na ‘Mchumba’ wa Linnah Yazua Utata

Picha iliyosambaa mtandaoni ya Staa wa Bongo Movie,Wema Sepetu akiwa na aliyekuwa mchumba wa msanii wa Bongo Fleva,Linnah Sanga aitwaye Naga imezua utata baada ya mashabiki wa mwigizaji huyo kuhisi huenda amejiweka kwa mwanaume huyo baada ya kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinumz.

Taarifa kutoka ‘kitaani’zinasema kuwa wawili hao wameingia kwenye uhusiano wa kimapenzi ili kulipiza kisasi cha miaka kadhaa iliyopita baada ya kusemekana kuwa Linnah aliwahi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Picha za ngono zatua bungeni

SIKU chache baada ya kusambazwa picha za ngono zikiwahusisha baadhi ya wabunge katika mitandao ya kijamii, serikali imesema inawasaka waliozisambaza kwa kuwa ina uwezo wa kuwabaini. Waziri wa Mawasiliano Sayansi...

 

9 years ago

Mwananchi

Picha za ngono ni hatari kwa afya ya ubongo

Utandawazi na ongezeko la maarifa katika teknolojia ya vifaa ya mawasiliano ya kidijitali, umesababisha kusambaa picha na video za ngono.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani