Picha za ngono zatua bungeni
SIKU chache baada ya kusambazwa picha za ngono zikiwahusisha baadhi ya wabunge katika mitandao ya kijamii, serikali imesema inawasaka waliozisambaza kwa kuwa ina uwezo wa kuwabaini. Waziri wa Mawasiliano Sayansi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM10 Jun
SAKATA LA KUSAMBAA KWA PICHA ZA NGONO MITANDAONI LAIBUKA BUNGENI
SIKU chache baada ya kusambazwa picha za ngono zikiwahusisha baadhi ya wabunge katika mitandao ya kijamii, serikali imesema inawasaka waliozisambaza kwa kuwa ina uwezo wa kuwabaini.
Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa, alitoa kauli hiyo jana bungeni baada ya Spika Anne Makinda, kumtaka azungumzie picha chafu za baadhi ya wabunge zilizotolewa na kusambazwa kwenye mitandao.
Waziri Mbarawa, alisema serikali inafuatilia na kuchunguza waliosambaza picha hizo...
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Picha za ngono ni hatari kwa afya ya ubongo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uFCQvH3jdgDCWoLVWzuTtrxGL0Qz*L*UANpnp1vCnuAzCzkbyyQRgnHcFqIsGGDYZLRdNYthv1kAdPukRc6ze3fIKbK1lmWV/NEY.jpg)
PICHA ZA NGONO ZA NAY ZAMLIZA MCHUMBA’KE!
10 years ago
Mwananchi30 Mar
Wasambaza picha za ngono kufungwa miaka saba jela
11 years ago
Mwananchi01 Feb
HEKAYA ZA MLEVI: Eti, mwanangu acheze picha ya ngono?
11 years ago
Mwananchi09 Aug
BIASHARA CHAFU: Mwanafunzi chuo kikuu alazimishwa kurekodi picha za ngono
10 years ago
Bongo510 Dec
Zari: ‘Mkanda wa ngono kitu gani’ afurahia likizo na wanae (Picha)
9 years ago
Bongo517 Nov
Watu wanaopenda picha za utupu na filamu za ngono huathiri mahusiano yao ya kimapenzi
![unhappy-man-sad-795x529 (1)](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/unhappy-man-sad-795x529-1-300x194.jpg)
Nilikuwa nasoma makala kwenye gazeti moja nikakutana na habari ya mtu huyu ambaye ameathirika na kitendo cha kutazama picha za ngono na tendo la kufanya punyeto tokea akiwa shule ya sekondari.
Akaendelea kusema kwa sasa amekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitatu lakini tatizo hilo linaendelea ingawa mke wake hajui jambo hilo linavyomsumbua. Kinachotokea ni kwamba anapokuwa peke yake ndani ya nyumba peke yake huangalia picha hizo na kuanza kupiga punyeto, ingawa alidhani angeacha mara tu baada ya...
5 years ago
BBCSwahili15 May
Zoom yashtakiwa na Kanisa baada ya mafunzo ya bibilia kuvamiwa kwa picha za ngono dhidi ya watoto