MCHUMBA WA KUAMBIANA AIBUKA!
![](http://api.ning.com:80/files/vuUh0rgUyT4JcAqmnM2sO00p5pCpLeCOivHGXerm8P4jwXyuqjjRwalnzDkMIbxJ6KVUf457a*oVFT0VieH0J64jg5nCBcSY/adam.jpg)
Stori: Hamida Hassan na Musa Mateja MAMBO yameanza! Siku mbili tu baada ya mazishi ya mwigizaji na mwongoza filamu mahiri Bongo, marehemu Adam Kuambiana, mrembo mmoja ameibuka na kusema alikuwa mchumba wa marehemu, Ijumaa linakujuza. Mrembo anayejulikana kwa jina la Lulu Jumanne ‘Selina’. Kwa mujibu wa mrembo huyo, Lulu Jumanne ‘Selina’, alifahamiana na marehemu Kuambiana mwaka 2006 akamwambia ndoa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi18 Feb
KIJANA MTANASHATI ATAFUTA MCHUMBA WA KUOA: Ona picha yake na sifa za mchumba huyo anayemtaka apo chini
![](https://4.bp.blogspot.com/-yF_B61RPSXE/UwNobcg0nQI/AAAAAAAABqg/22IqbDfuLN4/s1600/OSCAR.jpg)
Master Oscar John
Mimi ni kijana wa kitanzania ambaye nimekulia katika maadili ya kidini na malezi mazuri ya kifamia, napenda nichukue fursa hii nitangaze nafasi ya mchumba ambaye kama ata kidhi vigezo vyangu atakuwa ndio mke wangu wa ndoa. Kifupi mi ni mtaalam wa IT naishi Dar es salaam. Mchumba ninaye mtaka ni vema awe amekulia malezi ya kidini kwa sababu mimi ni mcha Mungu na napenda kusali kwa hiyo napenda na yeye awe hivyo, malezi yangu ni ya dini ya kikristo ni vema na yeye akawa...
11 years ago
MichuziBURIANI ADAM KUAMBIANA
Adam Kuambiana enzi za uhai wake.
MWIGIZAJI na Muongozaji filamu maarufu Bongo, Adam Kuambiana amefariki dunia wakati akipelekwa hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam kwa matibabu alfajiri ya leo.
Habari zinasema Marehemu alianguka chooni akiwa location katika hoteli ya Silver Rado iliyopo Sinza kwa Remmy, Dar es salaam . Kabla ya mauti kumfika, Adam alikuwa akilalamika kuwa anasumbuliwa na tumbo. Globu ya Jamii inaungana na familia ya marehemu, ndugu,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFWj6E38HeRYK2ox-XSH*JcVbhV5ixt*ctYo*xSuc4e9TqqYmeOJNSrIrQQnrzO1*-JgqXvSlN51KxGzY*8oVZqj/daktari.jpg?width=650)
DAKTARI: KUAMBIANA AMEJIUA
9 years ago
Bongo Movies16 Aug
Kuambiana Amliza Niva
Zuberi Mohamed ‘Niva’ amesema filamu ya ‘Kipaji Changu’ aliyoigiza na marehemu Adam Kuambiana (Pichani),humtoa machozi kila anapoitazama.
“Kipaji Changu” imetoka wiki iliyopita lakini filamu hiyo ilichezwa muda mfdupi kabla ya kufariki kwa Kuambiana Mei Mwaka jana.
Akizungumza swala hilo, Niva alisema “Filamu hii imenipa mawazo ambayo nahisi kama bado kuambiana yupo.”
Chanzo: Nipashe
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qeusznqd6YmKwyVodFwtfArPFQKa*Zn99NY4MHn5V-82XnCG4bS8ahY7zenH2F2BSDniHhX95Wztm*L6y77wlRs6ut9pDXkt/JB.jpg?width=650)
JB AWAZUNGUMZIA KANUMBA, KUAMBIANA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
ADAM KUAMBIANA AZIKWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xkVCMRT4uG-phqV3RMMROQDz7LYXXWfLkf6FWueW4CwMbOFFVrsNwlrd7XEOlqjT5NRPJChDLte73btAwiZIfYJE126zJX83/JB.jpg?width=650)
JB AFUNGUKIA KABURI LA KUAMBIANA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vuUh0rgUyT5wTNpV7mugjAZZNhUaLQzaU6baBFcsmwg2xXs5AsH-ddp0*FjA1xKhqIpquxu7KF7f4aYpgkNkCVrfspO4Ks15/shamsa.jpg)
SHAMSA: KUAMBIANA ALIKUWA JINIAZ
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0EnpUkUMSWoYBm3pBv4851YwZShzCotcjTaTAbCcnMMpH2C8zKiOf03yKtWSz2D-aB2ZQEZ8*wVYUfbW3kVub5NvU6ywxe8/kuambiana.gif)
KABURI LA KUAMBIANA LAZIDI KUBOMOKA