JB AFUNGUKIA KABURI LA KUAMBIANA
![](http://api.ning.com:80/files/xkVCMRT4uG-phqV3RMMROQDz7LYXXWfLkf6FWueW4CwMbOFFVrsNwlrd7XEOlqjT5NRPJChDLte73btAwiZIfYJE126zJX83/JB.jpg?width=650)
Staa wa filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’. GLADNESS MALLYA BAADA ya wadau mbalimbali kuhoji kwa nini staa wa filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’ ameliacha kaburi la aliyekuwa mwongozaji wa filamu katika kampuni yake, marehemu Adam Kuambiana mwenyewe amefunguka kwamba hali ya kifedha ni ngumu kwa sasa. Akipiga stori na Centre Spread, JB alisema anatamani kulikarabati kaburi la Kuambiana ambalo limetoboka na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0EnpUkUMSWoYBm3pBv4851YwZShzCotcjTaTAbCcnMMpH2C8zKiOf03yKtWSz2D-aB2ZQEZ8*wVYUfbW3kVub5NvU6ywxe8/kuambiana.gif)
KABURI LA KUAMBIANA LAZIDI KUBOMOKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k6vps1xRgmbf2C-PK7fVgkiRUNhNtbH*E31oFI9n39Pwq6sJ81T4V2AGL1V3ItQPluZTw-Zw0ueqVygvn2pLn0L/BACK.jpg?width=650)
KABURI LA KUAMBIANA LATOBOKA KIMAAJABU
10 years ago
Bongo Movies16 Apr
JB Asema Haya Kuhusu Kaburi la Kuambiana
Kufuatia wadau mbalimbali kuhoji kwa nini staa wa filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’ ameliacha kaburi la aliyekuwa mwongozaji wa filamu katika kampuni yake, marehemu Adam Kuambiana mwenyewe amefunguka kwamba hali ya kifedha ni ngumu kwa sasa.
Akiongea na gazeti la Amani, JB alisema anatamani kulikarabati kaburi la Kuambiana ambalo limetoboka na mpango huo upo kwenye ratiba yake ila kwa sasa hali ya kifedha ni ngumu ikiwa nzuri ataanza ujenzi wake mara moja.
“Unajua ni muda mrefu nilikuwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akQykxR3cVykaBL9h0vaaxMAGO7kuxhap5gv3CmTljzWgMWmlUhkAKZuEzAxIPEndj*gGlKSRvMAjRSjmjKnv7aw/LULU.jpg)
LULU AFUNGUKIA WABAYA WAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBuB*Bfw0mud0sqfgVQwdqokCFvVIemTy2GDemXCX0h9S*3x6otOcGgMVPpjiy2TuNcUhyttpWgofuEDfKCJL3lh/4.jpg?width=650)
KHADJA NITO AFUNGUKIA MAPENZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSkVT8NUzNmEnwoMieUIWix-ZckMbASZXUs4tLQjrZ5Noqi8bm5eZlgr96ju2xbGMRP0mDdvrDYGzU1SQRAKYyYS/steve.jpg?width=650)
STEVE NYERERE AFUNGUKIA MADAI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ccv79ba4KWAd2biNNxwTAVdf*g6*1ilswfXSoXs8KO6ndQ6A2pgkAX2uN1ia2*zJWiqc2O67N4ADefw*LZKh4W8r3w0MdK6b/maso.jpg?width=650)
MASOGANGE AFUNGUKIA PENZI LA DAVIDO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNXAyLj5-z-VtqFFbXJD-YA2jnIty7XjYVlTIhze0ijlwxy6FPxDSo1Ri7WiM3YkjNCG6Qlj*5Fvy3QKBqm1Zjde/miss.jpg?width=650)
MISS TZ NA.3 AFUNGUKIA USHINDI WA SITTI
9 years ago
Global Publishers23 Dec
Masogange afungukia mimba ya Davido
Agness Jerald ‘Masogange’.
Na Imelda Mtema
Video queen maarufu Bongo, Agness Jerald ‘Masogange’ amefungukia taarifa zinazoendelea kuenea kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii pamoja na mitaani kwamba amedungwa mimba na mwanamuziki ‘chakaramu’ kutoka nchini Nigeria, David Adedeji Adeleke ‘Davido’.
Akizungumza na mwandishi wetu, Masogange anayesifika kwa kuwa na umbo matata, alikanusha vikali taarifa hizo na kuongeza kuwa anashangazwa sana na watu wanaoendelea kumzushia wakati hana uhusiano...