Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JB AFUNGUKIA KABURI LA KUAMBIANA

Staa wa filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’. GLADNESS MALLYA BAADA ya wadau mbalimbali kuhoji kwa nini staa wa filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’ ameliacha kaburi la aliyekuwa mwongozaji wa filamu katika kampuni yake, marehemu Adam Kuambiana mwenyewe amefunguka kwamba hali ya kifedha ni ngumu kwa sasa. Akipiga stori na Centre Spread, JB alisema anatamani kulikarabati kaburi la Kuambiana ambalo limetoboka na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KABURI LA KUAMBIANA LAZIDI KUBOMOKA

Stori: Waandishi Wetu INASIKITISHA! Tofauti na makaburi mengine ya wasanii mbalimbali wa filamu yaliyopo Kinondoni jijini Dar, la marehemu Adam Kuambiana limeendelea kubomoka na kuwa na mashimo huku likionekana kutelekezwa. Kaburi la marehemu Adam Phillip Kuambiana. Gazeti hili lilitembelea makaburini hapo na kushuhudia kaburi hilo likiwa na mashimo mengi pembeni tofauti na yale yaliyowahi kuripotiwa awali na magazeti Pendwa...

 

11 years ago

GPL

KABURI LA KUAMBIANA LATOBOKA KIMAAJABU

SIKU chache baada ya kukutwa mauzauza katika kaburi la mwigizaji Rachel Haule ‘Recho’, kaburi la mwigizaji Adam Kuambiana (pichani)limekutwa limetoboka kimaajabu. Kaburi la aliyekuwa mwigizaji wa muvi Bongo, Adam Phillip Kuambiana. Gazeti la Risasi Jumamosi toleo la Julai 19, mwaka huu lilikuwa na babari yenye kichwa cha habari kisemacho: ‘Uchawi kaburini kwa Recho.’ Kwenye habari hiyo, ilielezwa kuwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

JB Asema Haya Kuhusu Kaburi la Kuambiana

Kufuatia wadau mbalimbali kuhoji kwa nini staa wa filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’ ameliacha kaburi la aliyekuwa mwongozaji wa filamu katika kampuni yake, marehemu Adam Kuambiana mwenyewe amefunguka kwamba hali ya kifedha ni ngumu kwa sasa.

Akiongea na gazeti la Amani, JB alisema anatamani kulikarabati kaburi la Kuambiana ambalo limetoboka na mpango huo upo kwenye ratiba yake ila kwa sasa hali ya kifedha ni ngumu ikiwa nzuri ataanza ujenzi wake mara moja.

“Unajua ni muda mrefu nilikuwa...

 

11 years ago

GPL

LULU AFUNGUKIA WABAYA WAKE

Stori: shakoor jongo
Kumbe! Sexy lady wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kwamba amewajua wabaya wake wanaomfuatilia na kumsakama kwa ubaya katika maisha yake, amewaonya kuwa dawa yao ipo jikoni. Sexy lady wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Akizungumza na Ijumaa Wikienda wikiendi iliyopita jijini Dar, Lulu alisema kuwa kila kukicha lazima watu hao waibuke na jipya...

 

10 years ago

GPL

KHADJA NITO AFUNGUKIA MAPENZI

Musa Mateja
MREMBO anayesumbua katika Bongo Fleva na singo yake ya  Maumivu, Khadija Maige ‘Khadja Nito’, juzikati alianika kuwa kama kuna kitu kinamvutia, basi ni kufanya mapenzi kila siku maana ndiyo starehe pekee anayoifurahia. MREMBO anayesumbua katika Bongo Fleva na singo yake ya  Maumivu, Khadija Maige ‘Khadja Nito’ Akizungumza na gazeti hili ofisini Bamaga Mwenge jijini Dar es Salaam,...

 

10 years ago

GPL

STEVE NYERERE AFUNGUKIA MADAI

Mwandishi Wetu STAA wa uchekeshaji na filamu Bongo, Steve Mengere ‘Steve Nyerere’ amefungukia madai ya kujiondoa Chama Cha Mapinduzi na kujiunga na umoja wa UKAWA akisema kushindwa kwake katika kura za maoni hakuwezi kuondoa heshima yake kwa Mwenyekiti wake, Jakaya Kikwete. ...Soma zaidi===> http://bit.ly/1P5OMBB

 

9 years ago

GPL

MASOGANGE AFUNGUKIA PENZI LA DAVIDO

VIDEO Queen mwenye umbo tata Bongo, Agness Jerald ‘Masogange’ alifungukia penzi lake na staa wa muziki kutoka Nigeria, Davido. Video Queen mwenye umbo tata Bongo, Agness Jerald ‘Masogange’ . Akizungumza na Amani Masogange alisema kuwa kuna uvumi unaovumishwa na baadhi ya watu kwamba amekuwa akitoka kimalovee na Davido jambo ambalo halina ukweli wowote. “Kwanza kabisa Davido ni shemeji...

 

10 years ago

GPL

MISS TZ NA.3 AFUNGUKIA USHINDI WA SITTI

Na Hamida Hassan na Imelda Mtema
Gumzo mtaani kwa sasa kwenye ulimwengu wa urembo ni ushindi wa mwanadada Sitti Abbas Mtevu ambaye hivi karibuni aliibuka mshindi katika Shindano la Miss Tanzania 2014. Tutakumbuka baada ya Sitti kutangazwa mshindi, maneno yalikuwa mengi, mara alipendelewa, mara alidanganya umri, wengine wakasema eti ana mtoto. Miss Tanzania namba tatu, Jihan Dimachk. Yameongelewa mengi na kimsingi mpaka sasa...

 

9 years ago

Global Publishers

Masogange afungukia mimba ya Davido

Aggy3 Agness Jerald ‘Masogange’.

Na Imelda Mtema
Video queen maarufu Bongo, Agness Jerald ‘Masogange’ amefungukia taarifa zinazoendelea kuenea kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii pamoja na mitaani kwamba amedungwa mimba na mwanamuziki ‘chakaramu’ kutoka nchini Nigeria, David Adedeji Adeleke ‘Davido’.

Akizungumza na mwandishi wetu, Masogange anayesifika kwa kuwa na umbo matata, alikanusha vikali taarifa hizo na kuongeza kuwa anashangazwa sana na watu wanaoendelea kumzushia wakati hana uhusiano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani