Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MISS TZ NA.3 AFUNGUKIA USHINDI WA SITTI

Na Hamida Hassan na Imelda Mtema
Gumzo mtaani kwa sasa kwenye ulimwengu wa urembo ni ushindi wa mwanadada Sitti Abbas Mtevu ambaye hivi karibuni aliibuka mshindi katika Shindano la Miss Tanzania 2014. Tutakumbuka baada ya Sitti kutangazwa mshindi, maneno yalikuwa mengi, mara alipendelewa, mara alidanganya umri, wengine wakasema eti ana mtoto. Miss Tanzania namba tatu, Jihan Dimachk. Yameongelewa mengi na kimsingi mpaka sasa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

JOKATE AFUNGUKIA USHINDI WAKE!

BRIGHTON MASALU SIKU chache baada ya kupata ushindi wa Tuzo ya Muigizaji Bora wa Kike kupitia filamu ya Mikono Salama, muigizaji Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amesema kamwe hakubahatisha na kwamba ataendelea kuongeza bidii katika uigizaji wake japo hajaweka nia thabiti juu ya kazi hiyo. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1HwWeQC

 

9 years ago

Bongo5

Miss Colombia atoa ya moyoni kuhusu kuporwa ushindi wa Miss Universe

miss universe

Baada ya shindano la Miss Universe lililofanyika Jumapili iliyopita (Dec 20) kukumbwa na dosari ya MC kukosea kumtaja mshindi, Miss Colombia ambaye alitangazwa mshindi na dakika chache baadaye kupigwa na butwaa baada ya MC Steve Harvey kurudi na kutangaza kuwa alipewa ushindi kimakosa, hatimaye mrembo huyo ametoa ya moyoni na kumpongeza mshindi wa mwaka huu Miss Ufilipino.

miss universe

Kupitia Instagram yake Miss Colombia , Ariadna Gutierrez aliandika ujumbe mrefu wa kugusa kuhusu kilichotokea,...

 

10 years ago

Mwananchi

Sitti aiponza Miss Tanzania

Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kupitia Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), wanatarajia kuifanyia tathmini Kamati ya Miss Tanzania kujua mapungufu yaliyopo ili kuchukua hatua stahiki.

 

10 years ago

GPL

SITTI MTEMVU MISS TEMEKE 2014

Mshindi wa taji la Miss Temeke 2014, Sitti Mtemvu akipungia mkono mara tu baada ya kutangazwa rasmi kuwa ndie aliestahili kupata taji hilo katika shindano lililomalizika usiku wa kuamkia leo kwenye Ukumbi wa TCC Club, Chang'ombe jijini Dar es salaam.Kushoto ni Mshindi wa pili,Salama Saleh na kulia ni Mshindi wa tatu,Neema Mollely. Miss Temeke 2014,Sitti Mtemvu akiwa ni mwenye tabasamu zito mara baada ya kutwaa taji… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Sitti ndiye Miss Tanzania 2014

Mrembo kutoka Temeke Sitti, Mtemvu ametwaa taji la Reds Miss Tanzania 2014 katika mashindano yaliyofanyika usiku wa kuamkia jana kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

MISS TANZANIA 2014, SITTI MTEMVU AJIVUA TAJI

Aliyekuwa Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Mtemvu katika pozi na mshindi wa pili, Lillian Kamazima (kulia) pamoja na mshindi wa tatu, Jihhan Dimachk. Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu amejivua taji hilo leo, mshindi wa pili, Lillian Kamazima amrithi, Lundenga athibitisha. Habari kamili kuwajia…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sitti Mtemvu avua taji Redd’s Miss Tanzania

REDD’S Miss Tanzania Sitti Abbas Mtemvu ameamua kuvua taji la Redds Miss Tanzania alilovikwa usiku wa Oktoba 11 mwaka huu katika Ukumbi wa Mliamani City, jijini Dar es Salaam. Katika...

 

10 years ago

TheCitizen

Miss Tanzania refutes Sitti’s age cheating claims

The organizers of Miss Tanzania beauty pageant, Lino International Agency played down the allegations of age cheating facing the recent crowned Sitti Mtemvu, insisting that she is still being regarded as eventual winner unless proved otherwise.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani