Miss Tanzania refutes Sitti’s age cheating claims
The organizers of Miss Tanzania beauty pageant, Lino International Agency played down the allegations of age cheating facing the recent crowned Sitti Mtemvu, insisting that she is still being regarded as eventual winner unless proved otherwise.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
Salon02 Dec
Tanzania government refutes claims that it will sell Maasai homeland
Salon
Salon
Tanzania government refutes claims that it will sell Maasai homeland EnlargeFILE - In this Monday, Aug. 12, 2013 file photo, Maasai tribeswomen gather at a village on the outskirts of the Serengeti, in northern Tanzania. (Credit: AP/Nariman El-Mofty).
Tanzania denies plans to evict MaasaiWorld Magazine
The Maasai Tribe in Tanzania Could Lose Its HomeVocativ
Tanzania denies plan to evict Masai tribes to set up hunting...
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Sitti aiponza Miss Tanzania
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kupitia Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), wanatarajia kuifanyia tathmini Kamati ya Miss Tanzania kujua mapungufu yaliyopo ili kuchukua hatua stahiki.
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Sitti ndiye Miss Tanzania 2014
Mrembo kutoka Temeke Sitti, Mtemvu ametwaa taji la Reds Miss Tanzania 2014 katika mashindano yaliyofanyika usiku wa kuamkia jana kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DkRfQoehpOrQSv8I2weOw-sIRAgZmBmZYwd8-HA8YCk-W0VXvEiRdWl4PgJn1WY0v*b8AHpg2ydxWt0Y3fehZnToQ*LArB3U/1.jpg)
SITTI MTEMVU AVISHWA TAJI LA MISS TANZANIA 2014
Washiriki 30 wa kinyanganyiro cha kumsaka Miss Tanzania wakijitambulisha kwa shoo. Warembo wakipita na vazi la ufukweni. Mkurugenzi wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga (kushoto), akiwa na katibu wa kamati hiyo, Bosco Majaliwa.…
10 years ago
Mwananchi21 Jun
Sitti Mtemvu: Mimi si sababu ya Miss Tanzania kufungiwa
Kufungiwa kwa Miss Tanzania siku chache baada ya kamati inayoendesha shindano hilo kumvua taji Sitti Mtemvu, kunaweza kuelezwa kuwa kuna uhusiano.
10 years ago
GPL13 Oct
SITTI MTEMVU ALIVYOTWAA TAJI LA MISS TANZANIA 2014
MREMBO Sitti Mtemvu aliyekuwa Miss Temeke 2014, Oktoba 11, 2014 aliibuka kidedea katika fainali za shindano la Miss Tanzania 2014 na kujinyakulia taji hilo sambamba na shilingi milioni 18. Katika shindano hilo lililofanyika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar, nafasi ya pili ilikwenda kwa Lilian Kamazima ambaye alijishindia shilingi milioni 6 huku nafasi ya tatu ikichukuliwa na Jihan Dimachk. Dorice Mollel alishika nafasi ya nne...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MISS TANZANIA 2014, SITTI MTEMVU AJIVUA TAJI
Aliyekuwa Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Mtemvu katika pozi na mshindi wa pili, Lillian Kamazima (kulia) pamoja na mshindi wa tatu, Jihhan Dimachk. Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu amejivua taji hilo leo, mshindi wa pili, Lillian Kamazima amrithi, Lundenga athibitisha. Habari kamili kuwajia…
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Sitti Mtemvu avua taji Redd’s Miss Tanzania
REDD’S Miss Tanzania Sitti Abbas Mtemvu ameamua kuvua taji la Redds Miss Tanzania alilovikwa usiku wa Oktoba 11 mwaka huu katika Ukumbi wa Mliamani City, jijini Dar es Salaam. Katika...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania